Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Huwezi shindana na taifa la Mungu.
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Pumbavu, hivi wafikili, katoliki ni kama makanisa yenu ya mchongo ,ya Mwamposa, au Gwajima , katolic hata mkisema leo hii iendeshe nchi inaweza ,
Tunasubili tamko la kkt

Ngoma inaanza upya , alisema aliekua mbunge , mzee Bwege
 
Buti haliwezi ingia Kanisani hasa Kanisa Katoliki. Hata aje kiongozi mjinga kiasi gani Hilo haliwezekaniki.

Kiongozi yeyote awe wa dini au wq kisiasa akifanya Wema huyo anampendeza Muumbaji.

Hapa tunazungumzia mifumo.
Serikali ni nchi tuu Wakati ukatoliki ni Dunia nzima.
Ni Sawa na mtu mmoja ajiingize mkenge kupambana na serikali (taifa) Hilo haliwezekaniki.
Huwezi shindana na Ukatoliki ukatoboa.

Ni Sawa na vyama vya upinzani haviwezi kushindana na CCM vikatoboa Kwa sababu mifumo iliyopo ni ya kiccm.
Bado hujanipata
Nakupata vyema! Swali Je wana ufahamu ulio nao wewe? Jibu ni Nina mashaka unanipata? Na huo unakua mwanzo wa kuanguka kwao! Nisome vizuri Robert! Aina ya watu wenye madaraka tulio nao subiri aina ya matamko kesho.
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Kuna baadhi ya mapadre wanatamani milele yote rais wa nchi hii awe mkatoliki mwenzetu, ni mtazamo mmoja mbaya sana na haufai kuachwa ukakua.
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Thubutu!!!
 
Anafikiria kila mtu anapigwa pigwa tu......watu wa mudi bana akili kisoda kweli
Hawa wenye vijikanisa vya mtu wanaogopa sababu vitafutiwa usajili! Sasa waje kwenye Taifa kubwa kama watajaribu hata kupendekeza kulifuta kanisa Katoliki Tanzania tu!
 
Kama Serikali inajiamini mkataba upo sawa, yanini kuzuia waraka kusomwa makanisani, acha Sisi waumini pia tusikie Maaskofu wetu walivyoudadavua huu mkataba,
 
Nakupata vyema! Swali Je wana ufahamu ulio nao wewe? Jibu ni Nina mashaka unanipata? Na huo unakua mwanzo wa kuanguka kwao! Nisome vizuri Robert! Aina ya watu wenye madaraka tulio nao subiri aina ya matamko kesho.

Ninaamini wanaufahamu na uzoefu wa Jambo Hilo. Ni tofauti na jpm yeye nafikiri hakuwa na ufahamu huo labda ni Kutokana na kusoma masomo ya sayansi. Lakini Kwa waliosoma history na Siasa hawawezi kufanya Makosa kama hayo.

Kuna mambo ya kucheza nayo lakini sio MTU acheze na serikali.
Au serikali icheze na Dini kubwa kama Ukatoliki. Lazima ianguke. Hiyo ni utake usitake.
 
Kuna baadhi ya mapadre wanatamani milele yote rais wa nchi hii awe mkatoliki mwenzetu, ni mtazamo mmoja mbaya sana na haufai kuachwa ukakua.
Ulishakaa nao hata mara moja hao mapadre wakakueleza hiyo tamaa yao? Na wakakuambia ni Kwa Nini wanatamani hivyo? Unadhani kanisa inategemea fadhila ya Rais?

Kama huna huo ushahidi ni vyema ukanyamaza kimya milele.

Unakumbuka wavaa kubazi walimlalamikia JK kwamba kwenye misiba au sherehe za waislamu haendi akawajibu Nini? Aliwajibu kwamba wenzetu shughuli zao Zina taarifa ya awali na Mimi ni Rais Nina Ratiba za kiserikali huwezi kunikurupusha!
 
Asomaye na aelewe
Ninaamini wanaufahamu na uzoefu wa Jambo Hilo. Ni tofauti na jpm yeye nafikiri hakuwa na ufahamu huo labda ni Kutokana na kusoma masomo ya sayansi. Lakini Kwa waliosoma history na Siasa hawawezi kufanya Makosa kama hayo.

Kuna mambo ya kucheza nayo lakini sio MTU acheze na serikali.
Au serikali icheze na Dini kubwa kama Ukatoliki. Lazima ianguke. Hiyo ni utake usitake.
 
Ulishakaa nao hata mara moja hao mapadre wakakueleza hiyo tamaa yao? Na wakakuambia ni Kwa Nini wanatamani hivyo? Unadhani kanisa inategemea fadhila ya Rais?

Kama huna huo ushahidi ni vyema ukanyamaza kimya milele.

Unakumbuka wavaa kubazi walimlalamikia JK kwamba kwenye misiba au sherehe za waislamu haendi akawajibu Nini? Aliwajibu kwamba wenzetu shughuli zao Zina taarifa ya awali na Mimi ni Rais Nina Ratiba za kiserikali huwezi kunikurupusha!
Huhitaji kuelezwa na mmoja wao unaona tu hulka zao za wakati wa SSH na zile za wakati wa JPM. Father Kitima wa wakati wa JPM sio huyu wa sasa. Nimetumia neno baadhi kwani nasali kanisa katoliki hivyo nawafahamu.
 
Unateseka ukiwa wapi? It is too late to fight the Church of God.
Siyo too late, boss.
Serikali iwakamate hao mapdre wanaowashwawashwa iwasweke ndani, kwa kesi ya uhaini, halafu jioni wawasafirishe kwenda kutalii mbeya kwa siku tano. Baada ya siku tano, wawarudishe Dar. shitaka libadilishwe liwe uchochezi, wajidhamini, warudi nyumbani kwao. Mchezo umeisha
 
Huhitaji kuelezwa na mmoja wao unaona tu hulka zao za wakati wa SSH na zile za wakati wa JPM. Father Kitima wa wakati wa JPM sio huyu wa sasa. Nimetumia neno baadhi kwani nasali kanisa katoliki hivyo nawafahamu.
Tupe tafsiri sahihi ya Hulka na namna Gani inaakisi mtazamo wa baadhi ya watu!
Fr Kitima yafaa ujue nafasi yake! Yeye ni mic ya Baraza la maaskofu sio yeye mwenyewe! Umsikilize vyema mawasilisho yake wakati wa JPM na wakati huu! Hajawahi kunyamaza kisa jiwe alikua Mkatoliki! Fuatilia nyaraka za kwaresma na pasaka! Rejea yaliyomkuta Niwemugizi na Sabah (RIP)
wachunguzi wa mambo wanasema Kilaini aligamishiwa bukoba Kwa sababu tu ya mambo ya kisiasa! Jitafutie maarifa stevoo!!!
 
Siyo too late, boss.
Serikali iwakamate hao mapdre wanaowashwawashwa iwasweke ndani, kwa kesi ya uhaini, halafu jioni wawasafirishe kwenda kutalii mbeya kwa siku tano. Baada ya siku tano, wawarudishe Dar. shitaka libadilishwe liwe uchochezi, wajidhamini, warudi nyumbani kwao. Mchezo umeisha
Hahaahahaa hii ni Bange tena imaechanganywa na nnya ya mbuzi. Unawasababishia matatizo wenzio
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Ni haki ya waumini kujua Kanisa linafanya nini kunusuru Amani ya nchi!
 
Back
Top Bottom