hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 3,553
- 7,334
Je kanisa linaweza kuishinda serikali?Nafikiri wengi hawajui maana ya Kanisa.
Unafkiri wakatoliki kutoa waraka wameanza leo.
Tangu enzi za JK wamekuwa wskija na waraka mbalimbali za kupinga kukosoa na hata kuamrisha.
JK alipuuza na hakuna chochote kilichotokea
Na hata waraka huu utapuuzwa na serikali na bandari atapew DP world na hakuna mtakachofanya.
Unabisha?