Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Acha kujidharu ha kuhandle over sovereinity yako. We huna sautu kweli? Umeipelwka wapi. Hivi mbona mnawaona maaskofu kwa miungu hivi. Karibu I kwenye uislam dini ya haki ambapo kila mtu ni sawa hakuna kuabudiana. Dini ya mwenyezi mungu Huwa Haina superior over others.
Kuvaa mabomu na kuwalipua wengine ndio haki hiyo unayoisemea wewe?
 
Bora niwe Mpagani kuliko kuwa wa hio Imani. Binafsi naichukulia ni Imani ya wajinga.
Kwahiyo, Imani sahihi ni kulipiga jiwe la Al Kaaba na kudhani kuwa unampiga shetani?
Toka lini, jiwe likawa SHETANI?, Hiyo ndio akili unayoisema?( Nakushauri: Kabla ya kuongea FIKIRI kwanza).
 
Hii ishu ya TEC sio sahihi... huu sasa ndo uhaini. Huu uchochezi unaofanywa na TEC lengo lake ni ovu. Nitaishangaa serikali kushindwa kuwadhibiti hawa wahuni. Hii itasababisha watu waliokuwa wakisema nchi yetu ina mfumo kristo kuthibitisha kauli yao. Kwa tulipofikia serikali inabidi iwadhibiti TEC ili kulinda heshima na hadhi yake.
Tatizo ni mkataba na siyo TEC.
Ukiondolewa mkataba, tatizo limeisha.
TEC hawawezi kuacha kufanya kazi yao.
NB
TEC, hawajakurupuka wameusoma mkataba na kuuelewa.
Tujiulize swali, lengo la kukabidhi uwekezaji wote wa BANDARI kwa WAARABU WA DUBAI chini ya MASHARTI YA MILELE, ni nini?
 
Bora niwe Mpagani kuliko kuwa wa hio Imani. Binafsi naichukulia ni Imani ya wajinga.
Halafu mwisho wa siku unasherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutumia kalenda iliyoasisiwa na mjinga Glegorian ambaye ni mkatoliki,,,,hahahahaaaa wakatoliki wakiwa wajinga basi Dunia nzima tu wajinga
 
Tulifikirie hili swala bila jazba kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi. Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.

TEC imetoa tamko na serikali imesikia, hiyo inatosha. Serikali iingize mkono Kanisani. That is my robotic advice. Vinginevyo sasa, tutakuwa na serikali ngapi?
Tafadhali sana usi waponze wenzio, serikali haina ubavu huo!
 
Tatizo ni mkataba na siyo TEC.
Ukiondolewa mkataba, tatizo limeisha.
TEC hawawezi kuacha kufanya kazi yao.
NB
TEC, hawajakurupuka wameusoma mkataba na kuuelewa.
Tujiulize swali, lengo la kukabidhi uwekezaji wote wa BANDARI kwa WAARABU WA DUBAI chini ya MASHARTI YA MILELE, ni nini?
hao waarabu wanaanzaga kidogo kidogo (Mfano halisi Loliondo) wakiisha kamilishiwa kila kitu watataka na kusilimisha Taifa! Kwa kifupi hawafai!
 
Acha kujidharu ha kuhandle over sovereinity yako. We huna sautu kweli? Umeipelwka wapi. Hivi mbona mnawaona maaskofu kwa miungu hivi. Karibu I kwenye uislam dini ya haki ambapo kila mtu ni sawa hakuna kuabudiana. Dini ya mwenyezi mungu Huwa Haina superior over others.
Mkuu hauko sawa na haupo daraja moja na kipenzi cha Allah
 
Siungi mkono dini kuchanganywa na siasa.ila tuache UNAFIKI. KWANI HUYU ANATOLEA MATAMKO HAYA WAPI KAMA SIYO NYUMBA YA IBADA!!!😴
 
Acha kujidharu ha kuhandle over sovereinity yako. We huna sautu kweli? Umeipelwka wapi. Hivi mbona mnawaona maaskofu kwa miungu hivi. Karibu I kwenye uislam dini ya haki ambapo kila mtu ni sawa hakuna kuabudiana. Dini ya mwenyezi mungu Huwa Haina superior over others.

Endeleeni na ufugaji wa majini na pepo wachafu, ila wenye akili (TEC) wanajaribu kuuondoa utando wa tongotongo machoni. Acha kula nguruwe kizani we agiza tu isiyo na mafuta mengi kamua kwenye mwanga.
 
Back
Top Bottom