25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
hacha watu wapige hela wewe hao serikali wamajazana huko nani wa kuwapiga marufuku kwa mfano aanzie wapi? serikali ikijaribu tu nyote hapa mtasema kwa sababu rais ni muisilamu kikombe cha babu loliyondo hili uwe mrokole shariti uwe mwehuSijui kwanini hawa akina mama wanakuwa easily carried over by these bogus prophets. Mungu awafanyie wepesi awafungue ufahamu washtukie huu upigaji wanaopigwa kila kukicha.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app