Serikali isipowapiga marufuku 'Mitume na Manabii' wa mchongo, miaka michache ijayo tutakuwa na Taifa la ovyo sana

Serikali isipowapiga marufuku 'Mitume na Manabii' wa mchongo, miaka michache ijayo tutakuwa na Taifa la ovyo sana

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia huduma zinazotolewa na hawa manabii na mitume wanaoibuka kama uyoga hapa nchini.

Nimegundua Serikali isipochukua maamuzi magumu kuwapiga marufuku hawa watu, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa na kizazi zembe na ovyo sana. Sisemi maneno matupu bali nina ushahidi kuntu juu ya hili jambo.


View attachment 2411428
Nimezaliwa Kenya lakini kwa bahati nzuri nimekulia jiji la Dar ambako manabii na mitume wengi huibukia na kuanza kazi yao ovu ya kuwarubuni akina mama na watoto wakiwakamua fedha bila huruma.

Mwanzoni aliibuka nabii Tito lakini huyu jamaa Mungu alimpiga kipapai na kumuondoa kwenye ushetani moja kwa moja. Baadaye alikuja Mtume na Nabii Josepahat Mwingira ambaye hadi sasa yupo na anajaribu kujitanua hadi nchi za nje ijapokuwa soko limekuwa gumu baada ya kuibuka manabii wengine. Hajakaa sana akaja mama wa upepo wa kisulisuli kutoka mlima wa moto. Naye alizipiga sana kabla ya kuitwa na Mungu wa ukweli kwenye nyumba yake ya milele.


View attachment 2411459
Alifuata Nabii Lusekelo (Mzee wa Upako) akawadanganya sana akina mama kwamba atawapa upako wa kununua magari na kuwajaza mali nyingine kedekede. Pia aliwarubuni kuwa atawapa upako wa kuhamia nje ya nchi wakaishi maisha mazuri huko (kumbuka Wasabato masalia waliokusanyika uwanja wa ndege kutaka kwenda Marekani pasipokuwa na pasipoti wala nauli ya kuendea huko). Mzee wa Upako aliwapiga sana hela akina mama kabla ya Mungu wa kweli kumuumbua kwenye ulevi na huo ndio ukawa mwisho wake.

Kisha alikuja Josephat Gwajima ambaye hakudumu sana kwenye fani ya upigaji wa kimiujiza baada ya kuanza kuchanganya dini na siasa. Akaanza hadithi zake za Daudi Bashite, kitendo kilichopelekea kupoteza mvuto mbele za waumini. Baadaye aliamua kuzama jumla kwenye siasa ambapo alishiriki katika wizi wa uchaguzi kwa kushirikiana na mwendazake. Kwa sasa amepoteza kabisa mvuto wa upigaji kwenye dini amehamishia upigaji wake kwenye siasa. Amegundua upigaji wa kwenye siasa hautumii nguvu kubwa sana.

Hatimaye amekuja Nabii Mwamposa (Bulldozer); sasa hivi huyu ndiye yupo kwenye chati. Uzuri ni kwamba baada ya nabii mmoja kuwa maarufu na kuongezeka kiwango cha upigaji, Mungu humshusha ghafla na kumrudisha chini kabisa. Mungu ni mkubwa na wala hajawahi kudhihakiwa. Huyu Bulldozer sasa hivi amekuwa mwiba kwenye kuwaibia fedha akina mama. Eti anawaambia watoe pesa zote walizonazo wampe kama sadaka (kujimaliza) kisha atawaombea wapate utajiri.

Makubwa! Kama ana uwezo wa kuwabariki wenzake wapate fedha, kwanini asijibariki yeye mwenyewe apate mamilioni ya fedha badala ya kutumia ulaghai kuwauzia wafuasi wake mafuta, maji na udongo wa upako? Hana tofauti na mganga wa jadi anayekuambia umlipe pesa akupe pesa za majini. Kwanini yeye asitengeneze hizo fedha za majini badala yake anawaomba wateja fedha halali halafu anawaahidi fedha za majini? Nonsense!

Baada ya watu wengi kugundua utume na unabii ni njia ya kutoka kimaisha, kila mtu sasa anataka kukimbilia huko. Eti hadi Masanja Mkandamizaji naye kafungua kijiwe cha kupigia hela, anajiita “Askofu”. Ni askofu gani ambaye anaibuka from no where hajaenda hata bible college akasome theology anakuja hapa kuwadanganya watanzania kwamba yeye ni Askofu? Hivi hawa watu wanatuonaje?

Wanwake wengi wamewaacha waume zao baada ya kupigiwa ramli na manabii zao kwamba waume walio nao kwa sasa sio waume sahihi, hivyo kupelekea ndoa nyingi kuvunnjika na kusababisha maumivu kwa watoto wasiokuwa na hatia na wengi wao wamegeuka kuwa ombamba na watoto wa mitaani. Inauma sana.

Akina mama wapo tayari kugegedwa na manabii au kukubali kushiriki ujinga wowote ilmradi tu waahidiwe mafanikio hewa. Akina mama wasiopata mimba kwa muda mrefu ni rahisi kurubuniwa na manabii wanaojidai kuingiza upako ukeni kupitia uume. Na kwa akili zao finyu, wanawake hawakatai wala kupinga kila masharti wanayopewa na mitume na manabii hawa wa mchongo.

Mh mama Samia, wanawake wenzako na wapigakura wako wanaaangamizwa kwa kukosa maarifa. Wanapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana na hawa manabii na mitume wa mchongo. Hakuna fedha/mafanikio yanayopatikana pasipo kufanya kazi.

Kama tukiendelea na tabia hii ya kuishi kwa kutegemea miujiza, baada ya miaka michache ijayo taifa hili litakuwa na watu wa ajabu sana, wasiopenda kufanya kazi lakini wanataka mafanikio ya haraka kupitia miujiza ya kufikirika.

Tazama hata wazungu waliotuletea hizi dini za ajabu tukasahau dini zetu za jadi wao hawashiriki kwenye miujiza hii ya kufikirika. Wachina wajapan, wahindi na makabila mengine huko Ulaya na Asia huwezi kuwaona wakiamninishwa kirahi kama sisi waswahili.

Amkeni kumekuch nia!
Huu ni ukweli familia zinavurugika kwa Mambo haya,watu hawafanyi kazi kwa Mambo haha,watu wanaacha njia za tiba za kisayansi kwa Mambo haya,kuzaliana hivyo kunazidi ota mizizi kwa Mambo haya,umaskini unaongezeka kwa Mambo haya,elimu inaporomoka kwa Mambo haya,japo waaminio na wafanyao kuwa Ndio shambani kwao na ndipo wavunapo watapinga kwa herufi kubwa Ila watakuwa ni waongo na wenye kuhakikisha maslahi yao hayaingiliwi.
 
Kuna uyu namsikiaga kwenye redio sitoitaja usiku..[emoji23][emoji23]yeye huwa anasema tuma pesa (Sadaka) ikiingia tu anakuona paka Ulipo kwanzia ukivozaliwa[emoji23][emoji23]aseee aanaanza kutumia sayansi sasa tatizo nimekaaa siku nnne nasikiliza nakuja kugundua sjui wameweka record ya zile simu..[emoji23][emoji23][emoji23]dadeq kila siku kinajirudia. Ukipiga haumptaji..Alafu anasema mje kanisani watu wanamilestones bhn[emoji23] we kaa kizembe tu
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia huduma zinazotolewa na hawa manabii na mitume wanaoibuka kama uyoga hapa nchini.

Nimegundua Serikali isipochukua maamuzi magumu kuwapiga marufuku hawa watu, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa na kizazi zembe na ovyo sana. Sisemi maneno matupu bali nina ushahidi kuntu juu ya hili jambo.


View attachment 2411428
Nimezaliwa Kenya lakini kwa bahati nzuri nimekulia jiji la Dar ambako manabii na mitume wengi huibukia na kuanza kazi yao ovu ya kuwarubuni akina mama na watoto wakiwakamua fedha bila huruma.

Mwanzoni aliibuka nabii Tito lakini huyu jamaa Mungu alimpiga kipapai na kumuondoa kwenye ushetani moja kwa moja. Baadaye alikuja Mtume na Nabii Josepahat Mwingira ambaye hadi sasa yupo na anajaribu kujitanua hadi nchi za nje ijapokuwa soko limekuwa gumu baada ya kuibuka manabii wengine. Hajakaa sana akaja mama wa upepo wa kisulisuli kutoka mlima wa moto. Naye alizipiga sana kabla ya kuitwa na Mungu wa ukweli kwenye nyumba yake ya milele.


View attachment 2411459
Alifuata Nabii Lusekelo (Mzee wa Upako) akawadanganya sana akina mama kwamba atawapa upako wa kununua magari na kuwajaza mali nyingine kedekede. Pia aliwarubuni kuwa atawapa upako wa kuhamia nje ya nchi wakaishi maisha mazuri huko (kumbuka Wasabato masalia waliokusanyika uwanja wa ndege kutaka kwenda Marekani pasipokuwa na pasipoti wala nauli ya kuendea huko). Mzee wa Upako aliwapiga sana hela akina mama kabla ya Mungu wa kweli kumuumbua kwenye ulevi na huo ndio ukawa mwisho wake.

Kisha alikuja Josephat Gwajima ambaye hakudumu sana kwenye fani ya upigaji wa kimiujiza baada ya kuanza kuchanganya dini na siasa. Akaanza hadithi zake za Daudi Bashite, kitendo kilichopelekea kupoteza mvuto mbele za waumini. Baadaye aliamua kuzama jumla kwenye siasa ambapo alishiriki katika wizi wa uchaguzi kwa kushirikiana na mwendazake. Kwa sasa amepoteza kabisa mvuto wa upigaji kwenye dini amehamishia upigaji wake kwenye siasa. Amegundua upigaji wa kwenye siasa hautumii nguvu kubwa sana.

Hatimaye amekuja Nabii Mwamposa (Bulldozer); sasa hivi huyu ndiye yupo kwenye chati. Uzuri ni kwamba baada ya nabii mmoja kuwa maarufu na kuongezeka kiwango cha upigaji, Mungu humshusha ghafla na kumrudisha chini kabisa. Mungu ni mkubwa na wala hajawahi kudhihakiwa. Huyu Bulldozer sasa hivi amekuwa mwiba kwenye kuwaibia fedha akina mama. Eti anawaambia watoe pesa zote walizonazo wampe kama sadaka (kujimaliza) kisha atawaombea wapate utajiri.

Makubwa! Kama ana uwezo wa kuwabariki wenzake wapate fedha, kwanini asijibariki yeye mwenyewe apate mamilioni ya fedha badala ya kutumia ulaghai kuwauzia wafuasi wake mafuta, maji na udongo wa upako? Hana tofauti na mganga wa jadi anayekuambia umlipe pesa akupe pesa za majini. Kwanini yeye asitengeneze hizo fedha za majini badala yake anawaomba wateja fedha halali halafu anawaahidi fedha za majini? Nonsense!

Baada ya watu wengi kugundua utume na unabii ni njia ya kutoka kimaisha, kila mtu sasa anataka kukimbilia huko. Eti hadi Masanja Mkandamizaji naye kafungua kijiwe cha kupigia hela, anajiita “Askofu”. Ni askofu gani ambaye anaibuka from no where hajaenda hata bible college akasome theology anakuja hapa kuwadanganya watanzania kwamba yeye ni Askofu? Hivi hawa watu wanatuonaje?

Wanwake wengi wamewaacha waume zao baada ya kupigiwa ramli na manabii zao kwamba waume walio nao kwa sasa sio waume sahihi, hivyo kupelekea ndoa nyingi kuvunnjika na kusababisha maumivu kwa watoto wasiokuwa na hatia na wengi wao wamegeuka kuwa ombamba na watoto wa mitaani. Inauma sana.

Akina mama wapo tayari kugegedwa na manabii au kukubali kushiriki ujinga wowote ilmradi tu waahidiwe mafanikio hewa. Akina mama wasiopata mimba kwa muda mrefu ni rahisi kurubuniwa na manabii wanaojidai kuingiza upako ukeni kupitia uume. Na kwa akili zao finyu, wanawake hawakatai wala kupinga kila masharti wanayopewa na mitume na manabii hawa wa mchongo.

Mh mama Samia, wanawake wenzako na wapigakura wako wanaaangamizwa kwa kukosa maarifa. Wanapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana na hawa manabii na mitume wa mchongo. Hakuna fedha/mafanikio yanayopatikana pasipo kufanya kazi.

Kama tukiendelea na tabia hii ya kuishi kwa kutegemea miujiza, baada ya miaka michache ijayo taifa hili litakuwa na watu wa ajabu sana, wasiopenda kufanya kazi lakini wanataka mafanikio ya haraka kupitia miujiza ya kufikirika.

Tazama hata wazungu waliotuletea hizi dini za ajabu tukasahau dini zetu za jadi wao hawashiriki kwenye miujiza hii ya kufikirika. Wachina wajapan, wahindi na makabila mengine huko Ulaya na Asia huwezi kuwaona wakiamninishwa kirahi kama sisi waswahili.

Amkeni kumekucha!
Huwezi kusikia shekhe anajiita mtume/nabii wala kusikia kaanzisha msikiti


Lakini hawa wa upande wa 2 ni matatizo kweli kwel
 
Haitasaidia kitu.

Hayo mambo yatapungua mpaka pale watu wengi watakapokuwa vizuri kiuchumi. Tofauti na hapo wataendelea kwenda tu. Kumbuka wengi ni masikini na wanaahidiwa miujiza + pesa
Na hivyo ndivyo taifa linageuka kuwa taifa la miujiza kila kitu kinasubiri miujiza ili kitokee,ili kifanyike🥱
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia huduma zinazotolewa na hawa manabii na mitume wanaoibuka kama uyoga hapa nchini.

Nimegundua Serikali isipochukua maamuzi magumu kuwapiga marufuku hawa watu, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa na kizazi zembe na ovyo sana. Sisemi maneno matupu bali nina ushahidi kuntu juu ya hili jambo.


View attachment 2411428
Nimezaliwa Kenya lakini kwa bahati nzuri nimekulia jiji la Dar ambako manabii na mitume wengi huibukia na kuanza kazi yao ovu ya kuwarubuni akina mama na watoto wakiwakamua fedha bila huruma.

Mwanzoni aliibuka nabii Tito lakini huyu jamaa Mungu alimpiga kipapai na kumuondoa kwenye ushetani moja kwa moja. Baadaye alikuja Mtume na Nabii Josepahat Mwingira ambaye hadi sasa yupo na anajaribu kujitanua hadi nchi za nje ijapokuwa soko limekuwa gumu baada ya kuibuka manabii wengine. Hajakaa sana akaja mama wa upepo wa kisulisuli kutoka mlima wa moto. Naye alizipiga sana kabla ya kuitwa na Mungu wa ukweli kwenye nyumba yake ya milele.


View attachment 2411459
Alifuata Nabii Lusekelo (Mzee wa Upako) akawadanganya sana akina mama kwamba atawapa upako wa kununua magari na kuwajaza mali nyingine kedekede. Pia aliwarubuni kuwa atawapa upako wa kuhamia nje ya nchi wakaishi maisha mazuri huko (kumbuka Wasabato masalia waliokusanyika uwanja wa ndege kutaka kwenda Marekani pasipokuwa na pasipoti wala nauli ya kuendea huko). Mzee wa Upako aliwapiga sana hela akina mama kabla ya Mungu wa kweli kumuumbua kwenye ulevi na huo ndio ukawa mwisho wake.

Kisha alikuja Josephat Gwajima ambaye hakudumu sana kwenye fani ya upigaji wa kimiujiza baada ya kuanza kuchanganya dini na siasa. Akaanza hadithi zake za Daudi Bashite, kitendo kilichopelekea kupoteza mvuto mbele za waumini. Baadaye aliamua kuzama jumla kwenye siasa ambapo alishiriki katika wizi wa uchaguzi kwa kushirikiana na mwendazake. Kwa sasa amepoteza kabisa mvuto wa upigaji kwenye dini amehamishia upigaji wake kwenye siasa. Amegundua upigaji wa kwenye siasa hautumii nguvu kubwa sana.

Hatimaye amekuja Nabii Mwamposa (Bulldozer); sasa hivi huyu ndiye yupo kwenye chati. Uzuri ni kwamba baada ya nabii mmoja kuwa maarufu na kuongezeka kiwango cha upigaji, Mungu humshusha ghafla na kumrudisha chini kabisa. Mungu ni mkubwa na wala hajawahi kudhihakiwa. Huyu Bulldozer sasa hivi amekuwa mwiba kwenye kuwaibia fedha akina mama. Eti anawaambia watoe pesa zote walizonazo wampe kama sadaka (kujimaliza) kisha atawaombea wapate utajiri.

Makubwa! Kama ana uwezo wa kuwabariki wenzake wapate fedha, kwanini asijibariki yeye mwenyewe apate mamilioni ya fedha badala ya kutumia ulaghai kuwauzia wafuasi wake mafuta, maji na udongo wa upako? Hana tofauti na mganga wa jadi anayekuambia umlipe pesa akupe pesa za majini. Kwanini yeye asitengeneze hizo fedha za majini badala yake anawaomba wateja fedha halali halafu anawaahidi fedha za majini? Nonsense!

Baada ya watu wengi kugundua utume na unabii ni njia ya kutoka kimaisha, kila mtu sasa anataka kukimbilia huko. Eti hadi Masanja Mkandamizaji naye kafungua kijiwe cha kupigia hela, anajiita “Askofu”. Ni askofu gani ambaye anaibuka from no where hajaenda hata bible college akasome theology anakuja hapa kuwadanganya watanzania kwamba yeye ni Askofu? Hivi hawa watu wanatuonaje?

Wanwake wengi wamewaacha waume zao baada ya kupigiwa ramli na manabii zao kwamba waume walio nao kwa sasa sio waume sahihi, hivyo kupelekea ndoa nyingi kuvunnjika na kusababisha maumivu kwa watoto wasiokuwa na hatia na wengi wao wamegeuka kuwa ombamba na watoto wa mitaani. Inauma sana.

Akina mama wapo tayari kugegedwa na manabii au kukubali kushiriki ujinga wowote ilmradi tu waahidiwe mafanikio hewa. Akina mama wasiopata mimba kwa muda mrefu ni rahisi kurubuniwa na manabii wanaojidai kuingiza upako ukeni kupitia uume. Na kwa akili zao finyu, wanawake hawakatai wala kupinga kila masharti wanayopewa na mitume na manabii hawa wa mchongo.

Mh mama Samia, wanawake wenzako na wapigakura wako wanaaangamizwa kwa kukosa maarifa. Wanapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana na hawa manabii na mitume wa mchongo. Hakuna fedha/mafanikio yanayopatikana pasipo kufanya kazi.

Kama tukiendelea na tabia hii ya kuishi kwa kutegemea miujiza, baada ya miaka michache ijayo taifa hili litakuwa na watu wa ajabu sana, wasiopenda kufanya kazi lakini wanataka mafanikio ya haraka kupitia miujiza ya kufikirika.

Tazama hata wazungu waliotuletea hizi dini za ajabu tukasahau dini zetu za jadi wao hawashiriki kwenye miujiza hii ya kufikirika. Wachina wajapan, wahindi na makabila mengine huko Ulaya na Asia huwezi kuwaona wakiamninishwa kirahi kama sisi waswahili.

Amkeni kumekucha!
Aanze kupiga marufuku misikiti kwanza!
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia huduma zinazotolewa na hawa manabii na mitume wanaoibuka kama uyoga hapa nchini.

Nimegundua Serikali isipochukua maamuzi magumu kuwapiga marufuku hawa watu, miaka michache ijayo tutakuwa na taifa na kizazi zembe na ovyo sana. Sisemi maneno matupu bali nina ushahidi kuntu juu ya hili jambo.


View attachment 2411428
Nimezaliwa Kenya lakini kwa bahati nzuri nimekulia jiji la Dar ambako manabii na mitume wengi huibukia na kuanza kazi yao ovu ya kuwarubuni akina mama na watoto wakiwakamua fedha bila huruma.

Mwanzoni aliibuka nabii Tito lakini huyu jamaa Mungu alimpiga kipapai na kumuondoa kwenye ushetani moja kwa moja. Baadaye alikuja Mtume na Nabii Josepahat Mwingira ambaye hadi sasa yupo na anajaribu kujitanua hadi nchi za nje ijapokuwa soko limekuwa gumu baada ya kuibuka manabii wengine. Hajakaa sana akaja mama wa upepo wa kisulisuli kutoka mlima wa moto. Naye alizipiga sana kabla ya kuitwa na Mungu wa ukweli kwenye nyumba yake ya milele.


View attachment 2411459
Alifuata Nabii Lusekelo (Mzee wa Upako) akawadanganya sana akina mama kwamba atawapa upako wa kununua magari na kuwajaza mali nyingine kedekede. Pia aliwarubuni kuwa atawapa upako wa kuhamia nje ya nchi wakaishi maisha mazuri huko (kumbuka Wasabato masalia waliokusanyika uwanja wa ndege kutaka kwenda Marekani pasipokuwa na pasipoti wala nauli ya kuendea huko). Mzee wa Upako aliwapiga sana hela akina mama kabla ya Mungu wa kweli kumuumbua kwenye ulevi na huo ndio ukawa mwisho wake.

Kisha alikuja Josephat Gwajima ambaye hakudumu sana kwenye fani ya upigaji wa kimiujiza baada ya kuanza kuchanganya dini na siasa. Akaanza hadithi zake za Daudi Bashite, kitendo kilichopelekea kupoteza mvuto mbele za waumini. Baadaye aliamua kuzama jumla kwenye siasa ambapo alishiriki katika wizi wa uchaguzi kwa kushirikiana na mwendazake. Kwa sasa amepoteza kabisa mvuto wa upigaji kwenye dini amehamishia upigaji wake kwenye siasa. Amegundua upigaji wa kwenye siasa hautumii nguvu kubwa sana.

Hatimaye amekuja Nabii Mwamposa (Bulldozer); sasa hivi huyu ndiye yupo kwenye chati. Uzuri ni kwamba baada ya nabii mmoja kuwa maarufu na kuongezeka kiwango cha upigaji, Mungu humshusha ghafla na kumrudisha chini kabisa. Mungu ni mkubwa na wala hajawahi kudhihakiwa. Huyu Bulldozer sasa hivi amekuwa mwiba kwenye kuwaibia fedha akina mama. Eti anawaambia watoe pesa zote walizonazo wampe kama sadaka (kujimaliza) kisha atawaombea wapate utajiri.

Makubwa! Kama ana uwezo wa kuwabariki wenzake wapate fedha, kwanini asijibariki yeye mwenyewe apate mamilioni ya fedha badala ya kutumia ulaghai kuwauzia wafuasi wake mafuta, maji na udongo wa upako? Hana tofauti na mganga wa jadi anayekuambia umlipe pesa akupe pesa za majini. Kwanini yeye asitengeneze hizo fedha za majini badala yake anawaomba wateja fedha halali halafu anawaahidi fedha za majini? Nonsense!

Baada ya watu wengi kugundua utume na unabii ni njia ya kutoka kimaisha, kila mtu sasa anataka kukimbilia huko. Eti hadi Masanja Mkandamizaji naye kafungua kijiwe cha kupigia hela, anajiita “Askofu”. Ni askofu gani ambaye anaibuka from no where hajaenda hata bible college akasome theology anakuja hapa kuwadanganya watanzania kwamba yeye ni Askofu? Hivi hawa watu wanatuonaje?

Wanwake wengi wamewaacha waume zao baada ya kupigiwa ramli na manabii zao kwamba waume walio nao kwa sasa sio waume sahihi, hivyo kupelekea ndoa nyingi kuvunnjika na kusababisha maumivu kwa watoto wasiokuwa na hatia na wengi wao wamegeuka kuwa ombamba na watoto wa mitaani. Inauma sana.

Akina mama wapo tayari kugegedwa na manabii au kukubali kushiriki ujinga wowote ilmradi tu waahidiwe mafanikio hewa. Akina mama wasiopata mimba kwa muda mrefu ni rahisi kurubuniwa na manabii wanaojidai kuingiza upako ukeni kupitia uume. Na kwa akili zao finyu, wanawake hawakatai wala kupinga kila masharti wanayopewa na mitume na manabii hawa wa mchongo.

Mh mama Samia, wanawake wenzako na wapigakura wako wanaaangamizwa kwa kukosa maarifa. Wanapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana na hawa manabii na mitume wa mchongo. Hakuna fedha/mafanikio yanayopatikana pasipo kufanya kazi.

Kama tukiendelea na tabia hii ya kuishi kwa kutegemea miujiza, baada ya miaka michache ijayo taifa hili litakuwa na watu wa ajabu sana, wasiopenda kufanya kazi lakini wanataka mafanikio ya haraka kupitia miujiza ya kufikirika.

Tazama hata wazungu waliotuletea hizi dini za ajabu tukasahau dini zetu za jadi wao hawashiriki kwenye miujiza hii ya kufikirika. Wachina wajapan, wahindi na makabila mengine huko Ulaya na Asia huwezi kuwaona wakiamninishwa kirahi kama sisi waswahili.

Amkeni kumekucha!
Walio na afya hawahitaji tabibu!
 
Kuna mambo mengi yanasababisha watu kuingia huko wakitegemea kupata wepesi wa maisha.

Ukiangalia wanawake wengi wanaoingia huko ni wale ambao wametelekezwa, wamenyanyasika katika ndoa, wamezalishwa na kuachwa na wametendwa na wanaume. Hivyo sisi wanaume tuna changia tatizo hili kwa kiasi kikubwa. Wanawake hawa huingia huko ili kupata faraja, kupata matumaini, kutetea ndoa zao n.k.

Pili ni ukosefu wa ajira. Kama watu wangekuwa busy na shughuli zao zinazo waingizia kipata cha kutosha wasingeoata muda wa kwenda huko. Lakini hujikuta wakiingia huko wakidhani kwamba labda mungu atawafungulia wapate kazi, biashara n.k.

Hat hivyo, Mimi nadhani ni upepo tu na unapita. Miongo miwili ijayo sidhani kama watapata mtu wa kumfanyia haya. Watu watajitambua na kuona kuwa wamepotezewa muda bila mafanikio waliyo tarajia.

Cha msingi kila mtu aelimisha watu wake wa karibu ambao wamejiingiza huko.

Mimi dada yangu alikuwa huko..nimeongea naye sana nikajaribu kumwelewesha..ingawa ilichuka muda hatimaye amatoka. Nilimwambia vitu vinne.
1. Ajenge tabia ya kusali na kumuomba mwenyezi mungu akiwa peke yake. Kila mtu anauwezo wa kuomba na kusikilizwa na mungu bila kuhitaji kuombewa. Mungu hana wakala na haitaji wakala. Hivyo kama ni swala la maombi afanye mwenyewe na mungu atamsikiliza.
2. Makanisa ni social gathering. Si jambo baya watu wenye imani inayofanana kuunda umoja kama ilivyo saccoss, vicoba etc. Lakini mwisho wa siku Mungu huangalia imani na matendo ya mmoja mmoja na anambariki kwao. Hivyo haubarikiwi.kwa sababu unasali au uko kwenye kanisa fulani.
3. Hawa wanaojiita mitume ni wapiga kama wapigaji wengine. Nikamwambia, je fedha zote ambazo wanakusanya kwa waumini huwa wanazipeleka wapi? Umewahi kusikia hata wameanzisha kituo cha watoto yatima? umewahi kusikia hata wana support watoto walio kwenye mazingira magumu kusoma? umewahi kusikia hata wameanzisha zahanati. Umewahi kusikia wamefanya jambo lolote kwenye jamii yenu?
4. Pia nikampa assignment afuatilie watu wanasimama pale mbele na kushuhudia. Mimi nilimwambia wale ni wa michongo akawa anabisha. Siku moja akafuatwa na washirika wa mchungaji waka mtengeneza jumapili ijayo atoe ushuhuda. Akaahidiwa kupewa 50,000. Nashukuru mungu siku hiyo ndo ikawa mwisho wa kuamini hao ndugu...na kidogo akapungiza kwenda na hatimaye akaacha.
Jihadharini na watu wanaotumia jina la yesu kujipatia kipato.
 
Inasikitisha sana kuona mtu anatumia mwanya wa shida za mtu mwingine ili kujinufaisha. Dunia ya leo wenye matatizo tupo wengi, na utakuta mtu amezunguka mahala pengi, na ametumia gharama kubwa, lakini hakufanikiwa.

Ikifikia hapo, ndipo huamua kujaribu mahala popote ambapo atasikia/ataambiwa anaweza kupata suluhisho la tatizo lake. Huwezi kumlaumu mtu kama huyu, kwakuwa anatafuta suluhisho la tatizo lake. Na kuna msemo tunasema "mfa maji hakosi kutapatapa".

Wa kuwalaumu ni hawa ambao wanajuwa kabisa wanachokifanya ni utapeli. Mtu unamwona mwenzio ana matatizo, na ametumia gharama kubwa lakini hakufanikiwa, na wewe tena unachukua kile kidogo kilichobakia. Hivi hamna huruma?!

Kama una nia ya kumsaidia, si umsaidie bure. Mbona Yesu (na mitume wengine) aliwaponya watu bure? Kama karama ya uponyaji unayo, si ulipewa bure na Mungu? Ninyi manabii wa mchongo, Mungu anawaona!
 
4. Pia nikampa assignment afuatilie watu wanasimama pale mbele na kushuhudia. Mimi nilimwambia wale ni wa michongo akawa anabisha. Siku moja akafuatwa na washirika wa mchungaji waka mtengeneza jumapili ijayo atoe ushuhuda. Akaahidiwa kupewa 50,000. Nashukuru mungu siku hiyo ndo ikawa mwisho wa kuamini hao ndugu...na kidogo akapungiza kwenda na hatimaye akaacha.
Du! Hawa jamaa ni matapeli wakubwa sana. Kama huyu hapa mngefanya mpango akamatwe na TAKUKURU akaozee ndani; ni watu wabaya sana katika jamii.
 
Inasikitisha sana kuona mtu anatumia mwanya wa shida za mtu mwingine ili kujinufaisha. Dunia ya leo wenye matatizo tupo wengi, na utakuta mtu amezunguka mahala pengi, na ametumia gharama kubwa, lakini hakufanikiwa.

Ikifikia hapo, ndipo huamua kujaribu mahala popote ambapo atasikia/ataambiwa anaweza kupata suluhisho la tatizo lake. Huwezi kumlaumu mtu kama huyu, kwakuwa anatafuta suluhisho la tatizo lake. Na kuna msemo tunasema "mfa maji hakosi kutapatapa".

Wa kuwalaumu ni hawa ambao wanajuwa kabisa wanachokifanya ni utapeli. Mtu unamwona mwenzio ana matatizo, na ametumia gharama kubwa lakini hakufanikiwa, na wewe tena unachukua kile kidogo kilichobakia. Hivi hamna huruma?!

Kama una nia ya kumsaidia, si umsaidie bure. Mbona Yesu (na mitume wengine) aliwaponya watu bure? Kama karama ya uponyaji unayo, si ulipewa bure na Mungu? Ninyi manabii wa mchongo, Mungu anawaona!
Nina shemeji yangu mmoja alikuwa anasali kwa Mzee wa Upako. Baadaye alhamia kwa Apostle Mtalemwa. Sasa hivi amehamia kwa Bulldozer Mwamposa. Na Mwaposa akishuka umaarufu atahamia labda kwa Masanja Mkandamizaji.

Hawa akina mama tuwaombee tu kwa Mungu awape ufahamu. Wanateseka sana.
 
Wajinga hawaishi wanazaliwa kila siku. Sio kazi ya Rais kuingilia uhuru wa watu
 
Wajinga hawaishi wanazaliwa kila siku. Sio kazi ya Rais kuingilia uhuru wa watu
Mkuu sisemi kwamba Rais aingilie dini lakini nashauri aweke utaratibu mzuri ili kuwasaidia wapigakura wake wasipotoshwe. Kumbuka 2025 sio mbali. Ikiwa hawa wananchi wataangamizwa kiuchumi ni yeye ndiye atakayelaumiwa kuharibu uchumi wakati uchumi unaharibiwa na wachumiatumbo wachache kwa smalahi yao binafsi.
 
Mkuu sisemi kwamba Rais aingilie dini lakini nashauri aweke utaratibu mzuri ili kuwasaidia wapigakura wake wasipotoshwe. Kumbuka 2025 sio mbali. Ikiwa hawa wananchi wataangamizwa kiuchumi ni yeye ndiye atakayelaumiwa kuharibu uchumi wakati uchumi unaharibiwa na wachumiatumbo wachache kwa smalahi yao binafsi.

You're overthinking mkuu.

Kuzuia manabii na waganga wote hakuwezi kukuza uchumi. Nchi ina uchumi mbovu sababu haina mazingira rafiki ya uwekezaji, haina viwanda, haina vyanzo vipya vya kodi nk. Manabii are the last on the list if they make it at all.
 
Huwezi kusikia shekhe anajiita mtume/nabii wala kusikia kaanzisha msikiti


Lakini hawa wa upande wa 2 ni matatizo kweli kwel
Ulitaka wafanane..kila imani na utaratibu wake..huko ukijiita mtume kichwa chako halali yao vitukuu vya mtume.

Acha wakristo wafurahie uhuru wao mana hata kristo aliwaambia wakiwa na imani wanaweza fanya zaidi ya miujiza aliyoifanya.

Get a job.

#MaendeleoHayanaChama
 
Inasikitisha sana kuona mtu anatumia mwanya wa shida za mtu mwingine ili kujinufaisha. Dunia ya leo wenye matatizo tupo wengi, na utakuta mtu amezunguka mahala pengi, na ametumia gharama kubwa, lakini hakufanikiwa.

Ikifikia hapo, ndipo huamua kujaribu mahala popote ambapo atasikia/ataambiwa anaweza kupata suluhisho la tatizo lake. Huwezi kumlaumu mtu kama huyu, kwakuwa anatafuta suluhisho la tatizo lake. Na kuna msemo tunasema "mfa maji hakosi kutapatapa".

Wa kuwalaumu ni hawa ambao wanajuwa kabisa wanachokifanya ni utapeli. Mtu unamwona mwenzio ana matatizo, na ametumia gharama kubwa lakini hakufanikiwa, na wewe tena unachukua kile kidogo kilichobakia. Hivi hamna huruma?!

Kama una nia ya kumsaidia, si umsaidie bure. Mbona Yesu (na mitume wengine) aliwaponya watu bure? Kama karama ya uponyaji unayo, si ulipewa bure na Mungu? Ninyi manabii wa mchongo, Mungu anawaona!
Mbona wanaombewa bure..na hakuna mtu anayeshikiriwa bunduki atoe sadaka.

Huko mahospitalini kwa waganga mbona mnatoa hela na hamlalalamiki.

Sikuhizi jf ina watu ambao wanaupeo mdogo wa kufikiri nakuhoji.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nina shemeji yangu mmoja alikuwa anasali kwa Mzee wa Upako. Baadaye alhamia kwa Apostle Mtalemwa. Sasa hivi amehamia kwa Bulldozer Mwamposa. Na Mwaposa akishuka umaarufu atahamia labda kwa Masanja Mkandamizaji.

Hawa akina mama tuwaombee tu kwa Mungu awape ufahamu. Wanateseka sana.
Hujawahi pata na matatizo unadhani wanapenda kuzunguka makanisani kutwa kuchwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu sisemi kwamba Rais aingilie dini lakini nashauri aweke utaratibu mzuri ili kuwasaidia wapigakura wake wasipotoshwe. Kumbuka 2025 sio mbali. Ikiwa hawa wananchi wataangamizwa kiuchumi ni yeye ndiye atakayelaumiwa kuharibu uchumi wakati uchumi unaharibiwa na wachumiatumbo wachache kwa smalahi yao binafsi.
Hakuna utaratibu mzuri zaidi ya serikali kuimalisha uchumi wa wanachi wake..kuwaelimisha zaidi na kuwa na huduma bora za ustawi wa jamik..haya mambo mbona ulaya yalikuwepo na yaliisha yenyewe baada ya serikali kuwekeza kwenye vitu nilivyokutajia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom