trigeminal
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,944
- 2,283
uliwapa ndege wakakataa kumpakia ?Mtoto alikuwa kwenye hali tete kiasi hicho angewezaje kumudu mikikimikii ua rough road hatimaye safari ndefu ya Kigoma to Dar?
Mimi sio daktari lakini hawa walilenga kulipana posho za safari vinginevyo wangetumia ndege kuokoa uhai.
Ndio niliwapauliwapa ndege wakakataa kumpakia ?
Hadi sasa hivi hamna kiongozi yeyote ambaye kashajiuzulu??Uongozi wa mkoa na hospitali ya Maweni ulishindwa kutumia akili kabla ya kuamua mtoto aliye mahututi asafirishwe kwa gari toka Kigoma mpaka Dar es Salaam kwa ajili ya tiba iliyowashinda, walishindwa kupata ndege ya Flying Doctor au kumpeleka Mwanza!
Walizipita hospitali za Kitete Tabora, Mkapa Morogoro na wakawa na nia ya kuipita ya Morogoro na mtoto akawafia njiani mkoani Morogoro! Hiki kitendo ni cha kijinga sana.
Naibu Waziri wa Afya ni Dokta wa Meno aliyenunuliwa na Mwendazake unategemea nini hapo.Hili tukio ni mfano tosha kuwa awamu hii maskini hawana chao.
Lawama as usual siyo? Tayari umeshafika conclusion kuwa ma-Dr ndio wapumbavu.Madakatari wenu wa miaka hii ni wapumbavu,harafu wakiswekwa Ndani utasikia mpuuzi mmja anasema siasa inaingilia taaluma..
Watu WA hivyo kama Hawa wanalipwa salary kwa Kazi gani hasa?
Mwisho , serikali imalisheni huduma za kibingwa bobezi kwenye hospital za Kanda ,hii biashara ya kila kitu Dar ikomeshwe.
Iwekwe kando na nani?Lawama as usual siyo? Tayari umeshafika conclusion kuwa ma-Dr ndio wapumbavu.
What if walitoa hiyo suggestion na ikawekwa kando kama ilivyo mara nyingi.
wengi wetu tuna-comment bila kuwa na taarifa sahihi na hatujui indication ya huyo mgonjwa kuwa reffered.
Nimesikitika sana[emoji22]Angekuwa wa familia fulani,mtoto wa mtu maarufu...angepelekwa kwa ndege na kupata michango ya kutaka sifa watu
Ila kwa sababu mtoto hyo katokea familia ya kawaida/chini watu hawana habari
Ova
Jamaa wanachukulia vitu kirahisi rahisi wanaona hiyo kazi ya kutembea na ambulance kigoma-Dar ni sawa na kupanda super FeoMwandishi unadhani hiyo Per Diem ni kiasi gani yenye thamani ya kuhatarisha maisha kwenye ambulance Kigoma to Dar?
Kwa sababu gani?Ingefaa wahusika wote wajiuzulu
Hongera sana.Kimsingi watu wanakurupuka kwa sababu ya ujinga,kama mtoa mada angelikuwa na uelewa kuhusu magonjwa/conditions na matibabu yake basi asingelithubutu kuongea upupu ule.Nilikuwa nasoma comment nione kama kunaatakae jali hata mmoja. Mods naombeni radhi kwa comment hii
1. Kuhusu kwenda Mwanza Bugando au Mkapa Dodoma nadhani Dokta alipima kulingana na hali ya mtoto na alijua alicho kifanya, usimuone zuzu kabisa.
2. Wakati wewe unamnyandua mke wako huko madaktari na manesi wamepambana kufa kupona kumsafirisha mtoto huyu aliyekatwa na mapanga vibaya. I know haikuwa safari rahisi kama ulivyokaa kwenye keyboard unatype... safari ya uchungu mwendo wa kasi kufa na kupona kuokoa maisha ya mtoto akafariki saa 1 kabla ya kufika muhimbili.
3. Watumishi hawa chini wanafanya kazi kama punda... mateso makali... wewe sijui ndio nyie wa wizarani huko mnao toaga maagizo kama MCD...
4. Binafsi nimewaza ipo umuhimu kuimalisha hospitali za kanda na mikoa. Kuliko kushikilia huo mzero iq harafu unaandika comment za kuwatukana punda wenzetu hao.
5. Chukueni posho... posho ya damu na uchungu japo najua hata hamtaweza kununulia kilo ya nyama kwa kumbukumbu ngumu ya usiku wa Giza la mauti
Posho, maslahi, upigaji, per diemUongozi wa mkoa na hospitali ya Maweni ulishindwa kutumia akili kabla ya kuamua mtoto aliye mahututi asafirishwe kwa gari toka Kigoma mpaka Dar es Salaam kwa ajili ya tiba iliyowashinda, walishindwa kupata ndege ya Flying Doctor au kumpeleka Mwanza!
Walizipita hospitali za Kitete Tabora, Mkapa Morogoro na wakawa na nia ya kuipita ya Morogoro na mtoto akawafia njiani mkoani Morogoro! Hiki kitendo ni cha kijinga sana.
KingwangwalwaAngekuwa wa familia fulani,mtoto wa mtu maarufu...angepelekwa kwa ndege na kupata michango ya kutaka sifa watu
Ila kwa sababu mtoto hyo katokea familia ya kawaida/chini watu hawana habari
Ova
Tanzania hii maajabu hayatakaa yaishe, ni wajinga na wapuuzi sana, Mfyuuuuuuuu zaoUongozi wa mkoa na hospitali ya Maweni ulishindwa kutumia akili kabla ya kuamua mtoto aliye mahututi asafirishwe kwa gari toka Kigoma mpaka Dar es Salaam kwa ajili ya tiba iliyowashinda, walishindwa kupata ndege ya Flying Doctor au kumpeleka Mwanza!
Walizipita hospitali za Kitete Tabora, Mkapa Morogoro na wakawa na nia ya kuipita ya Morogoro na mtoto akawafia njiani mkoani Morogoro! Hiki kitendo ni cha kijinga sana.
Sio kituo cha muhimbili aisee, kigoma - dar? hata kama ni hiyo ambulance, hapana aisee....hizo hospital za rufaa za mikoa wanazosema wameboresha, wameboresha nini...kigoma hadi dar hapo katikati wamevuka hospital ngapi za rufaaInategemea kama shida ya msingi ingeweza kupatiwa ufumbuzi pale Bugando. Wakati mwingine watu hupiga simu na kushauriana kuwa kwa hali ya mgonjwa ni vyema aende kituo X au Y.
SureSiyo serikali, ilitakiwa waziri awajibike,
Sio kituo cha muhimbili aisee, kigoma - dar? hata kama ni hiyo ambulance, hapana aisee....hizo hospital za rufaa za mikoa wanazosema wameboresha, wameboresha nini...kigoma hadi dar hapo katikati wamevuka hospital ngapi za rufaa