Lukonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,469
- 2,086
JF inawajuaji sana aisee.
Ni suala la mitizamo tu kulingana na uelewa, mtu anaona tatizo kulingana na exposure yake.
Lakini haya mambo ni mazito kuliko. Ni kwa kuwa wengine hawaruhusiwi kupanda jukwaani au kukata rufaa openly.