Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

Mtoto wa kike anapaswa kulinda maana hana uwezo wa kujisimamia, kuiachia mtoto wa kike hovyohovyo kuzurura ni kuidhalilisha jamii atokayo.
 
Kumekuwa na zuio la watanzania wanaopata chance kwenda kufanya kazi ugaibuni kuzuiwa kusafiri hasa hasa siku ya safari,licha ya kwamba mtu anakuwa na vielelezo na viambata vyote muhimu kwa madai kwamba wanaenda kufanyiwa vitendo vibaya,Yamkini wapo mabosi wanafanya hivyo la kini si wote .

Suala la ajira nchini ni kitendawili ambacho chief ameshindwa kutegua,kwa watu ambao elimu hawana ndio kabisa,sasa wanapopata nafasi ya ajira mnawazuia ni deformity,mnaziba riziki za watu.

Serikali itengeneze utaratibu maalumu wakuwatambua watu wake badala ya kuwazuia,kuwa na mfumo maalumu wa komputa utakaotumiwa na balozi zetu katika nchi husika ambapo watu wote nwanaofanya kazi huko wataweza kutuma taarifa zao endapo kuna vikwazo wanakutana navyo ,na kuwe na option yakuwasiliana na waajiri.

Mtu ameshipatewa passport lakini bado mnamkqmia,waliotoa passport maana yake si wanajua kuwa amekizi vigezo?,suala la kufanyiwa vitendo vya ho yo mbona hata hapa wanafanyiwa tu,,hebu tumieni bongo zenu acheni kukumbatia madhaifu na hoja nyepesi.
Mkiumizwa na kulawitiwa huko muanze Tena ilaumu serikali
 
Ni uzembe wa serikali,balozi zao zinafanya nini? Nini maana ya diplomasia,kuna upimbi tu
Sasa unataka serikali ya Tanzania iwafanye nini waarabu ili wasiwaue nyie masikini zaidi ya kuwazui msiende au iwapeleke akina mwamposa wakawahubirie waache roho mbaya?
 
Serikali yeyote haitaruhusu watu hasa wadada wakanyanyaswe saudia
 
Mtoto wa kike anapaswa kulinda maana hana uwezo wa kujisimamia, kuiachia mtoto wa kike hovyohovyo kuzurura ni kuidhalilisha jamii atokayo.
Umesoma ujjmne wangu na kuelewa maudhui yangu? Maana naona unajibu njee ya hoja uyangu
 
Then why wawazuie? Na hili hali wamefuata taratibu zote halafu una mtisha kabisa mtu ati atamuweka polisi,Venezuelaaaah
ni wao wenyewe (hasa akina mama) ndiyo wanaojirekodi kwenye mitandao na kutoa matusi kila leo. Wanawatukana mabosi wao na hivi majuzi walimtukana mpaka Raisi, kwa hivyo wakapigwa marufuku wasiingie nchini hasa Omani.

Sasa wanalalamika nini? Wenzao wa Ethiopia, Uganda, Kenya, Malawi, wahindi tele wanafanya kazi wanachukua riali zao na kwenda kufanya maendeleo.
 
Hii yote ni sababu ya mifumo mibovu,serikali iweke utaratinj maalumu waku wa monitorwawapo huko.
 
Wakenya kila siku wanarudishwa kwenye majeneza, na bado tu hawakomi.
Wacha ujinga huo, na wakenya hao hao wamejaa kibao nchi za uarabuni wanafanya kazi Watanzania wana roho mbaya sana wakiwaona watu wanakwenda kupata riziki zao wanakuwa na choyo kisa yeye hawezi kusafiri na hataki mwenzake asafiri .Immigration sio unamuuliza mtu una kwenda wapi wakati ana viza na tiket yake ,ww kazi yako ni kuangalia passpoti tu kuwa ni halali mambo ya safari au anakwenda fanya nini hayawahusu.
 
Wacha ujinga huo, na wakenya hao hao wamejaa kibao nchi za uarabuni wanafanya kazi Watanzania wana roho mbaya sana wakiwaona watu wanakwenda kupata riziki zao wanakuwa na choyo kisa yeye hawezi kusafiri na hataki mwenzake asafiri .Immigration sio unamuuliza mtu una kwenda wapi wakati ana viza na tiket yake ,ww kazi yako ni kuangalia passpoti tu kuwa ni halali mambo ya safari au anakwenda fanya nini hayawahusu.
Yaani umeandika kama vile mimi ndiyo ninaye wazuia kwenda huko Uarabuni!

Mimi naongelea kuhusu masahibu yanayowakuta raia wengi wa Kenya kurudishwa wakiwa kwenye majeneza! Na pia sina uhusiano na watu wa uhamiaji. Hivyo huo ujinga unao uongelea, utakuwa unakuhusu wewe mwenyewe bila shaka.
 
wacha kueneza uongo wewe
Nieneze uongo ili nifaidike nini, na wakati ni kweli. Mkienda huko Urabuni kwenyewe huwa mnatumikishwa tu kama watumwa.

Naunga mkono muendelee kuwekewe sheria za kuwabana na hao uhamiaji, ili mfuate utaratibu rasmi wa kwenda! Badala ya kupelekwa huko kinyemela, na kugeuzwa kuwa watumwa.
 
Waarabu wana roho mbaya kuliko wazungu.
Ila wavaa pedo wanawapenda kisa Tende na Misikiti
 
Mbona huko kuna dini ya haki na ya amani ya mnyazimungu.
Eti mtu anahoji kwanini nazuiwa wakati ninakila kitu kwa mujibu wa sheria,wanamwambia oh,huko mnaeda mnafanyiwa mambo ya hovyo bora mmbaki,anauliza kama hayo yapo mbona nimepewa nyaraka na vibali muhimu,anamtisha ati usibishane na mimi,,leo nilikuwa natoka safari,nimekuta mabinti na wakina dada zaidi ya 12 wamezuiwa na wengine hii ni mara ya 6,hapo si wanatengeneza uhuji tu
 
Utaratibu maalum upo wa kwenda kufanya kazi huko mkuu, na wapo wanaenda kihorela kuhusu usalama kwa huko ni mdogo sana ukifahamika wewe sio wa huko
Mbona huko kuna dini ya haki kwanini kusiwe na usalama?
 
Saudi arabia wadada wa kazi wanaisoma namba sana
Hata hapa kwetu msichana wakazi wanaosoma namba sh 50000 kwa mwezi wa mwisho kulala wa kwanza kuamba si bora ya kubatisha saudia wapo walio pasua maisha mshahara kwa mwezi 800,000/ kula kulala kwa tajiri kutibiwa mkataba miaka 4 wanaoteswa hiyo ni hajari kazini
 
Waarabu wana roho mbaya kuliko wazungu.
Ila wavaa pedo wanawapenda kisa Tende na Misikiti
Hapa msikiti umeigiaje? tabia za mtu unazifananisha na dini ilijibiwa unachukia chunga domo lako hilo
 
Back
Top Bottom