YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education kenya wazazi,walimu na wanafunzi hawautaki
Baadhi ya vyama vimeweka kama Agenda ya uchaguzi kuwa wakishika madaraka hup mfumo wa Competent based wataufuta sababu walimu hawautaki,wazazi hawautaki na wanafunzi hawautaki na wanashangiliwa sana
Serikali vizuri ikajifunza kupitia kenya kabla kukurupuka kuuanzisha.Wao walijiingiza kichwa kichwa
Baadhi ya vyama vimeweka kama Agenda ya uchaguzi kuwa wakishika madaraka hup mfumo wa Competent based wataufuta sababu walimu hawautaki,wazazi hawautaki na wanafunzi hawautaki na wanashangiliwa sana
Serikali vizuri ikajifunza kupitia kenya kabla kukurupuka kuuanzisha.Wao walijiingiza kichwa kichwa