Competent based× = Competency based√Competent Based
Ni mfumo wa elimu , unaomuandaa mwanafunzi kutokana na uelekeo wa uelewa wake au kipaji chake ,au somo analoliwezaFafanua ni kitu gani hicho?? sio wote tulioko hapa ni walimu
Mwalimu wa shule ya Kata huyo.....msamehe bureCompetent based× = Competency based√
Kenya sio shule ya tz...hatujifunzi kwao!!! Dunia yasasa ujuzi ndiyo kilakitu na sio kukariri-kariri kulikotuletea maprofesa pumbafu!!Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education kenya wazazi,walimu na wanafunzi hawaitaki...
Mtu anaangalia wapi pesa ipo hasomi kwa malengo kuwa anapania kuwa nani matokeo ndio hayo .Mtu Askofu unakuta anakimbilia ubunge au Profesa anakimbia chuo kwenda kugombea ubunge.Bongo
O _level =Pcm
Chuo =Uhasibu
Kazi = Dalali
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] kanywe soda mzee ntalipaMtu anaangalia wapi pesa ipo hasomi kwa malengo kuwa anapania kuwa nani matokeo ndio hayo .Mtu Askofu unakuta anakimbilia ubunge au Profesa anakimbia chuo kwenda kugombea ubunge.Hakuna concentration ya eneo moja ndio maana nchi haina wagunduzi mtu ana change change kwa kuangalia tu pesa nyingi iko wapi.Ndio maana tuna maprofesa wanaomiliki baa badala ya kuwa na shule na vyuo vyao binafsi unakuta anashinda baa kugombana na ma bar maid kisa bar inalipa kuliko uprofesa wake!!!
Ukitaka ujuzi baada ya Kumaliza ngazi fulani ya elimu ya kawaida utajiunga na chuo kinachofundisha ujuzi huo. Nadharia ndio inayomjengea mtoto uwezo wa baadae kusomea fani.Ni Mfumo mgumu kuufuata, ambao unataka mwanafunzi hata wa darasa la saba akimaliza shule awe na ujuzi ambao ataweza kuutumia na kujiajiri.
Masomo yote yawe na hizo skills za kufanya mara umalizapo shule.
Ni mfumo wa elimu , unaomuandaa mwanafunzi kutokana na uelekeo wa uelewa wake au kipaji chake ,au somo analoliweza
Mfumo tulionao umamlazimisha mwanafunzi kukariri vitu ambavyo hata sio fani yake , ilimradi tu afaulu.
Sent from my RMX3085 using JamiiForums mobile app
Dalali wa DSE.Bongo
O _level =Pcm
Chuo =Uhasibu
Kazi = Dalali
Kwa kuwa hii ni forum , ni vema ukatuelewesha wana jamii mfumo unavyofanya kazi .Ni dhahiri kwamba huuelewi huo mfumo sawa sawa. Jaribu kujielimisha ili uue vizuri.ambao CBE isn’t about talent nurturing, my friend!
Kwa kuwa hii ni forum , ni vema ukatuelewesha wana jamii mfumo unavyofanya kazi .
Sisi tumelelewa na mfumo wa elimu ya kukariri, and im sure wewe na mimi ni pruduct ya elimu hiyo , thus why we're fighting.
Cbc is about tallent nurturing, na ndo system ya elimu yenye mafanikio na hutoa wataalam wazuri katuka umri mdogo, hawa wakina Zuckerberg , ambao wana billions in their bank accounts , ilhali hata hawajaota nywele za ukubwani , ni product za CBC.View attachment 2125492