Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Waziri Nape alitoa maelekezo watu kutoa taarifa polisi endapo watapokea jumbe za matapeli wanaokwambia tuma kwenye namba hii ama jumbe za waganga na kushinda jackpot ambapo kupata zawadi hiyo unaambiwa upige simu kwa maelekezo zaidi.
Badala ya watu kwenda kutoa taarifa polisi, kuwe na njia ya kidigitali ambapo mtu akipokea ujumbe huo ataweza kutoa taarifa hapohapo kwenda TCRA na ujumbe huo kupokelewa ukiwa taarifa zote na kuushughulikiwa moja kwa moja badala ya kuwa na mzunguko wa kwenda polisi, polisi nao wajivute mpaka kupeleka taarifa hizo TCRA watu wengi watakuwa wameshatapeliwa.
Badala ya watu kwenda kutoa taarifa polisi, kuwe na njia ya kidigitali ambapo mtu akipokea ujumbe huo ataweza kutoa taarifa hapohapo kwenda TCRA na ujumbe huo kupokelewa ukiwa taarifa zote na kuushughulikiwa moja kwa moja badala ya kuwa na mzunguko wa kwenda polisi, polisi nao wajivute mpaka kupeleka taarifa hizo TCRA watu wengi watakuwa wameshatapeliwa.