peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Tamisemi wameng'angania wizara za watu yaani ili wale tu
Mkurugenzi wa wilaya ameshindwa kuwalipa madiwani wa CCM mshahara 350,000@ Kwa mwezi,hataweza kukarabati shule zaidi ya 49 zilizopo kwenye Halmashauri yake?weka picha. Pia shule hazikarabatiwi na Wzara ya elimu. Shule zipo chini ya Tamisemini. So toa taarifa kwa mkurugenzi wa wilaya
Ilani ya CCM 2020-2025, elimu Bure umemsahauUtaratibu wa michango urejee
Hivi Tamisemi sio serikali?weka picha. Pia shule hazikarabatiwi na Wzara ya elimu. Shule zipo chini ya Tamisemini. So toa taarifa kwa mkurugenzi wa wilaya
Hivi Tamisemi sio serikali?Mkuu, yeye anasimamia sera tu.
Shule za msingi na sekondari zipo chini ya TAMISEMI
Tamisemi ni Nini na serikali ni Nini?Hivi Tamisemi sio serikali?
Habari nusunusu.Kwenye bajeti ya Serikali juu 2021/22 sijaona fedha zilizotengwa na Serikali kukarabati shule za Msingi Tanzania.
Shule nyingi za Msingi Tanzania sasa zimekuwa magofu. Hapa Kilosa Mkoa wa Morogoro kuna shule ya msingi inaanguka.
Tamisemi- Tawala za mikoa na serikali za mitaa.Tamisemi ni Nini na serikali ni Nini?
Shule inakaribia kuanguka mkurugenzi na wasaidizi wake hawaioni mpaka mwananchi awapelekee taarifa ofisini?weka picha. Pia shule hazikarabatiwi na Wzara ya elimu. Shule zipo chini ya Tamisemini. So toa taarifa kwa mkurugenzi wa wilaya
Kwani serikali imeshindwa kuzihudumia shale zake au haitaki?Watoto wanakaa chini..inauma sana.. oondoeni ujinga wa wazazi kutochangishwa..ni ujinga..wachangie Elimu jaman.
Basi wasaidie kipengele walau kimoja cha dawati