Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Acha ujinga!Serikali iache kununua midege ifanye ujinga kama huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi wa wilaya ameshindwa kuwalipa madiwani wa CCM mshahara 350,000@ Kwa mwezi,hataweza kukarabati shule zaidi ya 49 zilizopo kwenye Halmashauri yake?
Kwani serikali imeshindwa kuzihudumia shale zake au haitaki?
Serikali kama imeondoa michango sisi ni nani tulazimishe ?
Jambo la msingi kwa wananchi waende wakalie na Mkurugenzi wao mpaka shule yao ijengwe.
SSH aanze na safari za kwenda ulayaNgoja tununue Ndege na treni na Stieglers halafu tuone shule zinadai nini