Wakati wa JPM hakuna wanaharakati waliokosoa, viongozi wa dini waliokosoa? Wanasiasa waliokosoa?
Ngoja nikuulize, fatma karume na Maria sarungi walikua wanamkosoa nani?
Wanasiasa Kuna haja wa kuwataja kweli? Hawa kina zitto na chadema wote walikua wanamkosoa ni? Lema Lissu sugu mbowe heche n.k hawa wote walikua wakiitwa polisi kufanya nini?
Viongozi wa dini wengi waliibuka wakosoaji wakati wa Magufuli,ngoja nikutajie askofu shoo, bagonza, mwamakula, niwemungizi hadi akapaata kesi ya uraia, kakobe alipewa hadi kesi, kitime na TEC waitoa hadi waraka kupinga anachofanya Magufuli
Au hukua Tanzania?