Serikali ituambie sasa ni lini na wapi zabuni ya uwekezaji wa bandari ilifanyika?

Serikali ituambie sasa ni lini na wapi zabuni ya uwekezaji wa bandari ilifanyika?

Ina maana huoni tatizo waziri kusema uongo kuwa kulikuwa na makampuni saba (7) yaliyoshindanishwa? Akiambiwa ayataje hayo makampuni pamoja na matangazo ya kushindanishwa kuna tatizo gani?

Usijivike uchama ukasahau kuwa pamoja na kuchaguliwa na wananchi, viongozi yawapasa kufuata sheria za nchi. Siku nyingine usipende kujadili hoja kwa mihemko na itikadi za kichama au za kidini. Kama unataka kujadili, basi jikite kwenye hoja iliyopo mezani na si vinginevyo.
Nenda mahakamani kamshtaki waziri kavunja sheria. Ila msituletee udini, ukabila mitaani, amani muhimu kuliko tamaa zenu za madaraka.
 
Wewe mwenye kuelewa tuambie TICTS walikuwa wanafanya nini? Swissport wanafanya nini. acheni kuleta siasa kwenye mambo ya msingi mna hoja subiri chaguzi 2024 na 2025 matokea yake ndio utajuwa nafasi yenu iko wapi. Mtu hata akishinda 50.5% ana mandate ya kuamua kwa niaba uya nchi. Unaona wamevunja katiba nenda mahakamani.
Kwani hujui kuwa kuna kesi mahakamani?
 
Tanzania nchi ya maajabu leo kila mwananchi kawa mwanasheria, leo kila mtu anataka kuona zabuni kuna mamia ya zabuni yanatoka kila leo lakini hatuna habari ila watu wanasahau kuna kitu kina SSJ( Single source justification) unaweza kutumia kama exception hata SGR imetumika hiyo. Bwawa la Nyerere kuna mtu aliona zabuni ile? manunuzi ya ndege je tuliona zabuni ilitoka labda kwa Boeng, Airbus au bombadier? wakati wa JPM hakuna wanaharakati, wanasiasa au wacha Mungu aliyetoka kuthubutu kusema kitu. JPM alikuwa hana huruma ukivuka mipaka yako. Rais Samia huu upole utamponza sana hii nchi haitaki mtu mpole. CCM imechaguliwa kuongoza nchi siku muda ukiisha wanaopinga waende wachague wanayemtaka na atakayeshinda atafanya maamuzi.
Ni kawaida sana kujifunza kutokana na makosa.
Yalishatokea hapo kabla hivyo km tuna utimamu wa akili ni lazima kusahihisha makosa yetu.
 
Wewe mwenye kuelewa tuambie TICTS walikuwa wanafanya nini? Swissport wanafanya nini. acheni kuleta siasa kwenye mambo ya msingi mna hoja subiri chaguzi 2024 na 2025 matokea yake ndio utajuwa nafasi yenu iko wapi. Mtu hata akishinda 50.5% ana mandate ya kuamua kwa niaba uya nchi. Unaona wamevunja katiba nenda mahakamani.
Uchaguzi wa nchi gani mkuu?
Maana hapa kwetu huwa kuna maigizo.
 
Tanzania nchi ya maajabu leo kila mwananchi kawa mwanasheria, leo kila mtu anataka kuona zabuni kuna mamia ya zabuni yanatoka kila leo lakini hatuna habari ila watu wanasahau kuna kitu kina SSJ( Single source justification) unaweza kutumia kama exception hata SGR imetumika hiyo. Bwawa la Nyerere kuna mtu aliona zabuni ile? manunuzi ya ndege je tuliona zabuni ilitoka labda kwa Boeng, Airbus au bombadier? wakati wa JPM hakuna wanaharakati, wanasiasa au wacha Mungu aliyetoka kuthubutu kusema kitu. JPM alikuwa hana huruma ukivuka mipaka yako. Rais Samia huu upole utamponza sana hii nchi haitaki mtu mpole. CCM imechaguliwa kuongoza nchi siku muda ukiisha wanaopinga waende wachague wanayemtaka na atakayeshinda atafanya maamuzi.

Hasira zote hizo, kumbe una Ukereketwa??!!!!
 
Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world walipewa mkataba moja kwa moja bila kupitia mchakato mwingine wowote wa kuomba zabuni baada ya Rais Samia kutembelea Dubai na kutia saini makubaliano ya DP world kuja kuwekeza kwenye bandari yetu.

Kwa kuwa suala la uwekezaji wa bandari ni suala la kisheria, na sheria ya utoaji Zabuni inataka kufanyika mambo kadhaa muhimu ikiwemo.
1. Kutoa tangazo la Zabuni kwenye gazeti la serikali.
2. Kufunguliwa (kuwekwa wazi) kampuni zilizoomba Zabuni.
3. Kushindanishwa (kujadiliwa) kwa Zabuni kwa haki ili kumpata mzabuni mmoja atakayepewa mkataba.
4. Kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Zabuni.

Sasa ili kuondoa huu utata, bila kumumunya maneno, tunaitaka sasa serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.

-Ni vipi ushindani wa Zabuni ya uwekezaji wa bandari ungekuwa wa haki ikiwa DP world tayari walikuwa wameanza ubia na serikali ya Tanzania kupitia urais wa Tanzania katika kutaka kuwekeza bandarini.
KUNGEKUWA NA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA WAZIRI ANGEZIONYESHA BINAFSI NAAMINI DP WORLD WAMETEULIWA TU na MAFISADI
 
huyo mbarawa lazima atanyea debe. Ni kusubiri tu hawa madhalimu watoke madarakani
 
Tanzania nchi ya maajabu leo kila mwananchi kawa mwanasheria, leo kila mtu anataka kuona zabuni kuna mamia ya zabuni yanatoka kila leo lakini hatuna habari ila watu wanasahau kuna kitu kina SSJ( Single source justification) unaweza kutumia kama exception hata SGR imetumika hiyo. Bwawa la Nyerere kuna mtu aliona zabuni ile? manunuzi ya ndege je tuliona zabuni ilitoka labda kwa Boeng, Airbus au bombadier? wakati wa JPM hakuna wanaharakati, wanasiasa au wacha Mungu aliyetoka kuthubutu kusema kitu. JPM alikuwa hana huruma ukivuka mipaka yako. Rais Samia huu upole utamponza sana hii nchi haitaki mtu mpole. CCM imechaguliwa kuongoza nchi siku muda ukiisha wanaopinga waende wachague wanayemtaka na atakayeshinda atafanya maamuzi.
Wakati wa JPM hakuna wanaharakati waliokosoa, viongozi wa dini waliokosoa? Wanasiasa waliokosoa?

Ngoja nikuulize, fatma karume na Maria sarungi walikua wanamkosoa nani?

Wanasiasa Kuna haja wa kuwataja kweli? Hawa kina zitto na chadema wote walikua wanamkosoa ni? Lema Lissu sugu mbowe heche n.k hawa wote walikua wakiitwa polisi kufanya nini?

Viongozi wa dini wengi waliibuka wakosoaji wakati wa Magufuli,ngoja nikutajie askofu shoo, bagonza, mwamakula, niwemungizi hadi akapaata kesi ya uraia, kakobe alipewa hadi kesi, kitime na TEC waitoa hadi waraka kupinga anachofanya Magufuli

Au hukua Tanzania?
 
Wakati wa JPM hakuna wanaharakati waliokosoa, viongozi wa dini waliokosoa? Wanasiasa waliokosoa?

Ngoja nikuulize, fatma karume na Maria sarungi walikua wanamkosoa nani?

Wanasiasa Kuna haja wa kuwataja kweli? Hawa kina zitto na chadema wote walikua wanamkosoa ni? Lema Lissu sugu mbowe heche n.k hawa wote walikua wakiitwa polisi kufanya nini?

Viongozi wa dini wengi waliibuka wakosoaji wakati wa Magufuli,ngoja nikutajie askofu shoo, bagonza, mwamakula, niwemungizi hadi akapaata kesi ya uraia, kakobe alipewa hadi kesi, kitime na TEC waitoa hadi waraka kupinga anachofanya Magufuli

Au hukua Tanzania?
Karume and Sarungi hawa watoe humu wana maumivi yao kuhisi wazazi wao wametupiliwa mbali. Hao viongozi wa dini walikuwa wanakosea lakini hawakuwahi kutumia maneno ya kumuita hadharani huyu Msukuma, walikuwa wanamkosoa na ujumbe unafika., ila wachache. Leo wamechiwa imekuwa unamuita Rais matusi. waliokuwa wanamtukana matusi JPM walikuwa wanajificha wengine wanakosoe kwa heshima. JPM alikuwa hana ustahimilivu ukivuka mipaka yake.
 
Wewe mwenye kuelewa tuambie TICTS walikuwa wanafanya nini? Swissport wanafanya nini. acheni kuleta siasa kwenye mambo ya msingi mna hoja subiri chaguzi 2024 na 2025 matokea yake ndio utajuwa nafasi yenu iko wapi. Mtu hata akishinda 50.5% ana mandate ya kuamua kwa niaba uya nchi. Unaona wamevunja katiba nenda mahakamani.
Kwa mawazo yako kila anaekosoa mkataba huu ana interest za kisiasa na mawazo ya uchaguzi..huu ulevi wa kichama hata kwenye rasilimali za taifa mnautoaga wapi?
 
Karume and Sarungi hawa watoe humu wana maumivi yao kuhisi wazazi wao wametupiliwa mbali. Hao viongozi wa dini walikuwa wanakosea lakini hawakuwahi kutumia maneno ya kumuita hadharani huyu Msukuma, walikuwa wanamkosoa na ujumbe unafika., ila wachache. Leo wamechiwa imekuwa unamuita Rais matusi. waliokuwa wanamtukana matusi JPM walikuwa wanajificha wengine wanakosoe kwa heshima. JPM alikuwa hana ustahimilivu ukivuka mipaka yake.
Ni kwa sababu alikuwa hafanyi mambo ya hovyo ambayo hata mtoto mdogo anaweza kubaini, alijua kuzitetea rasilimali za taifa kwa sauti na vitendo
 
Ni kwa sababu alikuwa hafanyi mambo ya hovyo ambayo hata mtoto mdogo anaweza kubaini, alijua kuzitetea rasilimali za taifa kwa sauti na vitendo
Sasa rasilimali kazi yake ni nini? kuzikalia au? elimu zero hii mijitu ya CDM. Nyinyi si mlikuwa kila siku mnamtukana JPM leo mnamkumbuka, na bado siku Rais Samia ataondoka kitakuja chuma mtamkumbuka Mama Samia
 
Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world walipewa mkataba moja kwa moja bila kupitia mchakato mwingine wowote wa kuomba zabuni baada ya Rais Samia kutembelea Dubai na kutia saini makubaliano ya DP world kuja kuwekeza kwenye bandari yetu.

Kwa kuwa suala la uwekezaji wa bandari ni suala la kisheria, na sheria ya utoaji Zabuni inataka kufanyika mambo kadhaa muhimu ikiwemo.
1. Kutoa tangazo la Zabuni kwenye gazeti la serikali.
2. Kufunguliwa (kuwekwa wazi) kampuni zilizoomba Zabuni.
3. Kushindanishwa (kujadiliwa) kwa Zabuni kwa haki ili kumpata mzabuni mmoja atakayepewa mkataba.
4. Kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Zabuni.

Sasa ili kuondoa huu utata, bila kumumunya maneno, tunaitaka sasa serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.

-Ni vipi ushindani wa Zabuni ya uwekezaji wa bandari ungekuwa wa haki ikiwa DP world tayari walikuwa wameanza ubia na serikali ya Tanzania kupitia urais wa Tanzania katika kutaka kuwekeza bandarini.
Wataalam toka CCM akina... GUSSIE Lord denning Faizafoxy covax choiceVariable wanakuja na ufafanuzi!!
 
Tanzania nchi ya maajabu leo kila mwananchi kawa mwanasheria, leo kila mtu anataka kuona zabuni kuna mamia ya zabuni yanatoka kila leo lakini hatuna habari ila watu wanasahau kuna kitu kina SSJ( Single source justification) unaweza kutumia kama exception hata SGR imetumika hiyo. Bwawa la Nyerere kuna mtu aliona zabuni ile? manunuzi ya ndege je tuliona zabuni ilitoka labda kwa Boeng, Airbus au bombadier? wakati wa JPM hakuna wanaharakati, wanasiasa au wacha Mungu aliyetoka kuthubutu kusema kitu. JPM alikuwa hana huruma ukivuka mipaka yako. Rais Samia huu upole utamponza sana hii nchi haitaki mtu mpole. CCM imechaguliwa kuongoza nchi siku muda ukiisha wanaopinga waende wachague wanayemtaka na atakayeshinda atafanya maamuzi.
serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.
 
serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.
Kwa hiyo shida yako wewe zabuni tu? wewe ulikuwa unajuwa zabuni ya SGR, unajuwa zabuni ya bwawa na Nyerere, unajuwa zabuni ya Airport. Shida yako ni nini DP au zabuni au mkataba maana hamjulikani mnataka nini
 
Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world walipewa mkataba moja kwa moja bila kupitia mchakato mwingine wowote wa kuomba zabuni baada ya Rais Samia kutembelea Dubai na kutia saini makubaliano ya DP world kuja kuwekeza kwenye bandari yetu.

Kwa kuwa suala la uwekezaji wa bandari ni suala la kisheria, na sheria ya utoaji Zabuni inataka kufanyika mambo kadhaa muhimu ikiwemo.
1. Kutoa tangazo la Zabuni kwenye gazeti la serikali.
2. Kufunguliwa (kuwekwa wazi) kampuni zilizoomba Zabuni.
3. Kushindanishwa (kujadiliwa) kwa Zabuni kwa haki ili kumpata mzabuni mmoja atakayepewa mkataba.
4. Kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Zabuni.

Sasa ili kuondoa huu utata, bila kumumunya maneno, tunaitaka sasa serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.

-Ni vipi ushindani wa Zabuni ya uwekezaji wa bandari ungekuwa wa haki ikiwa DP world tayari walikuwa wameanza ubia na serikali ya Tanzania kupitia urais wa Tanzania katika kutaka kuwekeza bandarini.
Kuna njia nyingi za kumpata mzabuni sio lazima hiyo unayoieleza wewe.

Wapi na lini nenda wizarani na ppra
 
Nani ana operate airport, watu mnafahamishwa mara mia lakini kwakuwa hamtaki na tunaendeshwa ni mihemuko ya kisiasa ndio tunabaki kuongea vitu havina mantiki mara mmeuza mara hakuna kikomo mare hakuna tender hujui watu wanataka nini.
Zungumzia vipengele vya mkataba. Tafsiri ya jumla ya mkataba huu ni kwamba Tanzania imeiuzia Dubai bandari zake zote za bahari na maziwa yote, pamoja na miundombinu na fursa zozote zilizopo na zitakazojitokeza, na hatuwezi kumualika muwekezaji mwingine bila ruhusa ya Dubai. Shida sio uwekezaji, sio udini wala sio uzanzibari na utanganyika. Shida ni vipengele vya mkataba.
 
Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world walipewa mkataba moja kwa moja bila kupitia mchakato mwingine wowote wa kuomba zabuni baada ya Rais Samia kutembelea Dubai na kutia saini makubaliano ya DP world kuja kuwekeza kwenye bandari yetu.

Kwa kuwa suala la uwekezaji wa bandari ni suala la kisheria, na sheria ya utoaji Zabuni inataka kufanyika mambo kadhaa muhimu ikiwemo.
1. Kutoa tangazo la Zabuni kwenye gazeti la serikali.
2. Kufunguliwa (kuwekwa wazi) kampuni zilizoomba Zabuni.
3. Kushindanishwa (kujadiliwa) kwa Zabuni kwa haki ili kumpata mzabuni mmoja atakayepewa mkataba.
4. Kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Zabuni.

Sasa ili kuondoa huu utata, bila kumumunya maneno, tunaitaka sasa serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa

-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)

-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.

-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.

-Ni vipi ushindani wa Zabuni ya uwekezaji wa bandari ungekuwa wa haki ikiwa DP world tayari walikuwa wameanza ubia na serikali ya Tanzania kupitia urais wa Tanzania katika kutaka kuwekeza bandarini.
Imetangazwa mpaka JF tuliileta. Jifunze kutumia google.
 
Back
Top Bottom