Serikali ilishidwa kuweka continuity plan TICTS wakiondoka waweze kuendesha wenyewe? Investments zilizofanyika io miaka haitoshi kuandaa wazawa kuendesha bandari na hazina maana yoyote? Kama TICTS walikaa miaka 22 hawa watakaa miaka mingapi? Ni makosa gani yalionekana kwenye mkataba wa TICTS na yamekua addressed vipi kwenye mkataba mpya?Bandari ilikuwa imekodishwa na TICTS kwa miaka 22 na sasa biashara imekwisha, mbona kamuacha mke na sasa hivi anatafuta bwana mwingine?.