Serikali ilishidwa kuweka continuity plan TICTS wakiondoka waweze kuendesha wenyewe? Investments zilizofanyika io miaka haitoshi kuandaa wazawa kuendesha bandari na hazina maana yoyote? Kama TICTS walikaa miaka 22 hawa watakaa miaka mingapi? Ni makosa gani yalionekana kwenye mkataba wa TICTS na yamekua addressed vipi kwenye mkataba mpya?Bandari ilikuwa imekodishwa na TICTS kwa miaka 22 na sasa biashara imekwisha, mbona kamuacha mke na sasa hivi anatafuta bwana mwingine?.
Mie hizo tarehe nitakutumia. Nipe namba yako ya simu na password yako.Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world walipewa mkataba moja kwa moja bila kupitia mchakato mwingine wowote wa kuomba zabuni baada ya Rais Samia kutembelea Dubai na kutia saini makubaliano ya DP world kuja kuwekeza kwenye bandari yetu.
Kwa kuwa suala la uwekezaji wa bandari ni suala la kisheria, na sheria ya utoaji Zabuni inataka kufanyika mambo kadhaa muhimu ikiwemo.
1. Kutoa tangazo la Zabuni kwenye gazeti la serikali.
2. Kufunguliwa (kuwekwa wazi) kampuni zilizoomba Zabuni.
3. Kushindanishwa (kujadiliwa) kwa Zabuni kwa haki ili kumpata mzabuni mmoja atakayepewa mkataba.
4. Kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Zabuni.
Sasa ili kuondoa huu utata, bila kumumunya maneno, tunaitaka sasa serikali ifanye haya;
-Ituambie ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari yetu ilitangazwa
-Ni lini makampuni yaliyoomba hizo Zabuni yaliwekwa wazi (zabuni ziliwekwa wazi)
-Ni kampuni gani hizo Saba zilizotajwa na Profesa Mbarawa ziliomba kuwekeza kwenye Zabuni za Bandari.
-Ni lini na wapi Zabuni za uwekezaji wa bandari zilifanyika.
-Ni vipi ushindani wa Zabuni ya uwekezaji wa bandari ungekuwa wa haki ikiwa DP world tayari walikuwa wameanza ubia na serikali ya Tanzania kupitia urais wa Tanzania katika kutaka kuwekeza bandarini.
Na mbaya zaidi hata kujieleza anashindwaMbarawa amekuwa kichekesho kabisa kwa hivi vioja vyake. Hivi haoni hata aibu na hiyo title yake ya uprofesa?
Password!?Mie hizo tarehe nitakutumia. Nipe namba yako ya simu na password yako.
Hali imekuwa siyo Hali,spin doctors Kila wakijaribu kuleta matukio ya kuwahamisha watz ndo kwanza moto unawaka🤣🤣wewe unataka kumuua mbarawa Sasa,si ana mji wake hapo daslam nenda mzungumze,tulia wenyewe amelikimbia gorofa lake,hapo jiran na saint jose,wamempa na mtaa kabisa hapo,ukigugo jina lake unafika hadi nyumbani kwake,saiv kaweka kambi mbeya,anaongea na machifu pale
Mbarawa amekuwa Kama mwigulu kuongea kwao tabu🤣🤣 mwigulu kile kiofisi Cha timu yake ya kizushi saivi kakipolish,pita singida,sabasaba barabaran unakiona,muda wote hakina hata secretary,Ila kinafanya kazi🤣🤣Na mbaya zaidi hata kujieleza anashindwa
AaahaaaaaaMbarawa amekuwa Kama mwigulu kuongea kwao tabu🤣🤣 mwigulu kile kiofisi Cha timu yake ya kizushi saivi kakipolish,pita singida,sabasaba barabaran unakiona,muda wote hakina hata secretary,Ila kinafanya kazi🤣🤣
🤣🤣🤣Ziweke mezan basi,zijadiliweKwamba zabuni za SGR, bwawa la nyerere hazijulikanai au ndo Mnajitoa ufahamu tu kama kawaida yenu
Ndio MAANA MAGU alimwita Mpumbavu akamtimua ,hAkika magu hakukoseaNa mbaya zaidi hata kujieleza anashindwa
Kamuulize Chongolo.Mkataba upi?. IGA, Consession au Lease?. Usikariri neno mkataba kama kasuku.
Tunatafuta nafasi ya kufika uchumi wa kati wa juu. Kuna suala zima la teknolojia, linaingia katika uwekezaji wa bandarini.Serikali ilishidwa kuweka continuity plan TICTS wakiondoka waweze kuendesha wenyewe? Investments zilizofanyika io miaka haitoshi kuandaa wazawa kuendesha bandari na hazina maana yoyote? Kama TICTS walikaa miaka 22 hawa watakaa miaka mingapi? Ni makosa gani yalionekana kwenye mkataba wa TICTS na yamekua addressed vipi kwenye mkataba mpya?
Unapokosa hoja unakuja na hivi vituko.Kamuulize Chongolo.
Wanahubiri utanganyika na siasa za udini na ubaguzi wakitumia majina ya bandia, wanadhani kuondokana na madhara ya dhambi hiyo ni kazi nyepesi tu.Nenda mahakamani kamshtaki waziri kavunja sheria. Ila msituletee udini, ukabila mitaani, amani muhimu kuliko tamaa zenu za madaraka.