Serikali ijikite kuangalia na kuchukua hatua kwa kituo cha mkata kwenye suala la Afya .Juzi wakati nasafiri kutokea Tanga tulisimama hapo kupata Chakula nilichukua takeaway wakati nipo kwenye gari nimeanza kula nikahisi nimekula Chakula kilicholala na kimechacha ilibidi nikitupe kwenye dustbin.Kwa mustakabali wa afya za watu hotel hii Inapaswa kukaguliwa mara kwa mara maana inapokea abiria wengi kwa siku.