baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Kazi za mishaharaa midogo mwajiri ndio anatoa hela ya kula, hio ya 60,000 ni mshahara wa Mfanyakazi wa Ndani.Hapo mtu anaishije kodi labda 30 000 kwa mwezi. Nauli 40,000 kwa mwezi. Chakula 60,000 kwa mwezi. Na ukute huyu mtu ana familia.
Hiyo inasaidia kidogo. Wangeangalia kwenye nauli/ usafiri pia.Inategemea na kiwanda ila huwa wanakula mule mule bure.
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Kwani wamelazimishwa?
Kama unaona unateseka jwanini uendelee kubaki hapo?
Serikali ipi?Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Kwani wakiwanyonyeni kuna shida gani?Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Usipokuwa na moyo.wa subira wahindi na wachina unaweza.kuwazaba vibao na kazi.ukaacha.hovyo ksbisa hawa waduduSio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
aiseee! kama ww unawahurumia mbona wenyewe hawajihurumii wala hawajali maana hapo unasema wanafungiwa ndani wakifanya kazi usiku kucha lakini wakifunguliwa kurudi makwao kesho,wiki hadi mwezi wanarudi tena na utaratibu ni huo huo kufungiwa ndani wakifanya kazi kama mchwa na huwaambii kitu..yanini kuumia roho kwa ajili yao achana naoBado hujaambiwa kuwa na wanalazimishwa kufanya kazi usiku tena kwa kufungiwa?.....na polisi wakiambiwa huwa wanafika mpaka viwandani usiku huo na kuondoka na bahasha huku wafanyakazi mkiwa mmefungiwa kufanya kazi?.....
Kwahiyo wakati wa Magufuri walikuwa wana lipa zaidi ya 7000 ila baada ya kuondoka ndo wakaanza kulipwa 7000?Serikali pekee wawekezaji.walikuwa.na.adabu na.woga.ni.enzi. za magufuli basi.
Sasa hivi mpaka foreigners wanajazana kwenye kampuni hata.vibali vua.kazi haijulikani nani.anatoa
Kabisa watu wanaacha mashamba, mifugo, ngalawa za uvuvi kijijini kwao wanakimbilia mjini waajiriwe.Kama unaona unateseka jwanini uendelee kubaki hapo?
Bado hujafikia "point of no choice"..wale sio waajiriwa ni vibarua na wanaambiwa ili walipwe hiyo 7,000 wawe wanafanya kazi na usiku , inapotakiwa,..aiseee! kama ww unawahurumia mbona wenyewe hawajihurumii wala hawajali maana hapo unasema wanafungiwa ndani wakifanya kazi usiku kucha lakini wakifunguliwa kurudi makwao kesho,wiki hadi mwezi wanarudi tena na utaratibu ni huo huo kufungiwa ndani wakifanya kazi kama mchwa na huwaambii kitu..yanini kuumia roho kwa ajili yao achana nao
ni sawa lakini unapoona mambo magumu kwenye hio kazi ww ukishapokea 7000 kesho yake hurudi tena hapo ila hawa wenzetu licha ya mateso yote hayo wanamaliza miezi kibao wakifanya hizo kazi kwa malipo yasiyolingana na uzito wa kazi wenyewe wanaona poa tu..mie nashangaa nyie mnaoumia na kuteseka ikiwa wao wamekubaliana na hali..embu tuambie mfano ww ukiwa na ofisi ya kuhitaji vibarua wakufanyie kazi utawalipa posho kiasi gani kwa siku ? kuwa mkweli mkuu.Bado hujafikia "point of no choice"..wale sio waajiriwa ni vibarua na wanaambiwa ili walipwe hiyo 7,000 wawe wanafanya kazi na usiku , inapotakiwa,..
Pengine yupo kwa shemeji yake!Unaongea kula na kulala kwako sio ishu
10,000 minimumni sawa lakini unapoona mambo magumu kwenye hio kazi ww ukishapokea 7000 kesho yake hurudi tena hapo ila hawa wenzetu licha ya mateso yote hayo wanamaliza miezi kibao wakifanya hizo kazi kwa malipo yasiyolingana na uzito wa kazi wenyewe wanaona poa tu..mie nashangaa nyie mnaoumia na kuteseka ikiwa wao wamekubaliana na hali..embu tuambie mfano ww ukiwa na ofisi ya kuhitaji vibarua wakufanyie kazi utawalipa posho kiasi gani kwa siku ? kuwa mkweli mkuu.