DOKEZO Serikali itupie macho viwanda vya wahindi, kuna unyonyaji mkubwa dhidi ya wafanyakazi

DOKEZO Serikali itupie macho viwanda vya wahindi, kuna unyonyaji mkubwa dhidi ya wafanyakazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.

Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.

Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.

Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.

Kama unaona unateseka jwanini uendelee kubaki hapo?
 
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.

Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.

Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.

Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Serikali ipi?
 
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.

Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.

Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.

Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Kwani wakiwanyonyeni kuna shida gani?
 
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.

Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.

Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.

Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Usipokuwa na moyo.wa subira wahindi na wachina unaweza.kuwazaba vibao na kazi.ukaacha.hovyo ksbisa hawa wadudu
 
Serikali pekee wawekezaji.walikuwa.na.adabu na.woga.ni.enzi. za magufuli basi.

Sasa hivi mpaka foreigners wanajazana kwenye kampuni hata.vibali vua.kazi haijulikani nani.anatoa
 
Bado hujaambiwa kuwa na wanalazimishwa kufanya kazi usiku tena kwa kufungiwa?.....na polisi wakiambiwa huwa wanafika mpaka viwandani usiku huo na kuondoka na bahasha huku wafanyakazi mkiwa mmefungiwa kufanya kazi?.....
aiseee! kama ww unawahurumia mbona wenyewe hawajihurumii wala hawajali maana hapo unasema wanafungiwa ndani wakifanya kazi usiku kucha lakini wakifunguliwa kurudi makwao kesho,wiki hadi mwezi wanarudi tena na utaratibu ni huo huo kufungiwa ndani wakifanya kazi kama mchwa na huwaambii kitu..yanini kuumia roho kwa ajili yao achana nao
 
Serikali pekee wawekezaji.walikuwa.na.adabu na.woga.ni.enzi. za magufuli basi.

Sasa hivi mpaka foreigners wanajazana kwenye kampuni hata.vibali vua.kazi haijulikani nani.anatoa
Kwahiyo wakati wa Magufuri walikuwa wana lipa zaidi ya 7000 ila baada ya kuondoka ndo wakaanza kulipwa 7000?
Saa nyingine mpunguzage upumbavu.
 
Kama unaona unateseka jwanini uendelee kubaki hapo?
Kabisa watu wanaacha mashamba, mifugo, ngalawa za uvuvi kijijini kwao wanakimbilia mjini waajiriwe.

Halafu wakikuta watanzania wenzao wa asili mbalimbali iwe mswahili mwenzao anaendesha biashara za familia anakaa kwao ktk nyumba za kurithi, mtanzania asili ya kimatumbi, kisomali, kishelisheli, myemeni, kihindi mwarabu, goa n.k wanaendesha biashara viwanda wanaanza kauli za kibaguzi kebehi yule anaishi kwao, ubaguzu huyu ni mgeni kwa muonekano tu hawajui kuwa hao ndio walimchangie faini Nyerere asifungwe jela kwa uchochezi alipopigwa faini ya shilingi 3,000 kesi mahakama ya Kisutu n.k
 
aiseee! kama ww unawahurumia mbona wenyewe hawajihurumii wala hawajali maana hapo unasema wanafungiwa ndani wakifanya kazi usiku kucha lakini wakifunguliwa kurudi makwao kesho,wiki hadi mwezi wanarudi tena na utaratibu ni huo huo kufungiwa ndani wakifanya kazi kama mchwa na huwaambii kitu..yanini kuumia roho kwa ajili yao achana nao
Bado hujafikia "point of no choice"..wale sio waajiriwa ni vibarua na wanaambiwa ili walipwe hiyo 7,000 wawe wanafanya kazi na usiku , inapotakiwa,..
 
Bado hujafikia "point of no choice"..wale sio waajiriwa ni vibarua na wanaambiwa ili walipwe hiyo 7,000 wawe wanafanya kazi na usiku , inapotakiwa,..
ni sawa lakini unapoona mambo magumu kwenye hio kazi ww ukishapokea 7000 kesho yake hurudi tena hapo ila hawa wenzetu licha ya mateso yote hayo wanamaliza miezi kibao wakifanya hizo kazi kwa malipo yasiyolingana na uzito wa kazi wenyewe wanaona poa tu..mie nashangaa nyie mnaoumia na kuteseka ikiwa wao wamekubaliana na hali..embu tuambie mfano ww ukiwa na ofisi ya kuhitaji vibarua wakufanyie kazi utawalipa posho kiasi gani kwa siku ? kuwa mkweli mkuu.
 
ni sawa lakini unapoona mambo magumu kwenye hio kazi ww ukishapokea 7000 kesho yake hurudi tena hapo ila hawa wenzetu licha ya mateso yote hayo wanamaliza miezi kibao wakifanya hizo kazi kwa malipo yasiyolingana na uzito wa kazi wenyewe wanaona poa tu..mie nashangaa nyie mnaoumia na kuteseka ikiwa wao wamekubaliana na hali..embu tuambie mfano ww ukiwa na ofisi ya kuhitaji vibarua wakufanyie kazi utawalipa posho kiasi gani kwa siku ? kuwa mkweli mkuu.
10,000 minimum
 
Inasikitisha sana, waafrika tunadharaulika sababu viongozi wetu hawawezi kabisa kusimamia ustawi wa watu wao. Jamani wahindi na wachina wanatunyoosha vibaya sana. Rushwa Rushwa, wakija wakaguzi wanapewa pesa wanaondoka.
 
Back
Top Bottom