Serikali iwajibike kwa Ajali za barabarani zinazomaliza watanzania

Shida ya Traffic nao wengi ni wala rushwa za kulazimisha,ili wafikie malengo ya makusanyo ya Mapato.Kwenye Hili naunga Mkono hoja ya Kinana,hawa wapigwe chini wabaki wachache hawana msaada kama wanavyodai
 
Madereva ni SAwa na mbuzi bila kuchungwa RIP zitakuwa wimbo wa KILA siku
 
Hayo ni makafara ya CCM kuendelea kubaki madarakani
 
Ulevi Barabara nzima imejaa Viduka vinavyouza Pombe Madereva wanajua fika wakikutana na Trafiki polisi atawaambia washa taa piga wiper hakuna kipimo cha kutesti pombe.
Kweli kabisa ! Sasa waanze kuwapima ! Ajali zitapungua sana !!
 
Aliyeandika hili andishi anastahili kuwa mjumbe wa tume ya kuchunguza vyanzo vya ajali na mwarobaini wake.
Kongole sana kwake.
 

Na mida hii saa moja iliyopita ajali mbaya imetokea Manyoni kwa basi la Tanzanite lililokuwa kinatika Mwanza kwenda Dar.
 
Ajali hata Ulaya na Marekani zinatokea nyingi ni Pombe sasa wenzetu wana kipimo cha Pombe na Dereva akikamatwa ni Mahakamani vinauzwa Ebay sisi kama Taifa tunashindwa kununua mpaka tuletewe msaada?

Na hata Samia akituma maafsa wake wakamletee bei itakuwa mara 2000 ya Ebay 😂 sisi Wabongo sijui hii laana tulipigwa na nani.
 
Asilimia kubwa ya madereva bongo bi wendawazimu tu
Na huwa nasemaga wabongo wanakufa kizembe sana kila siku

Ova
 
Gari la abiria linatoka kituo A saa 12asubuhi, linafika kituo B saa 12 jion, kesho yake linatakiwa kuondoka kituo B saa 12 asubuhi kwenda kituo A.. Sasa nambieni gari hili linafanyiwa checkup sa ngapi?
 
Sasa ndugu yangu gari limeferi break Nani anawajibika hapo?

Utaonea watu tu
Mara zote gari kufeli breki ni makosa ya dereva ambaye hayuko makini
Aliyeandika hili andishi anastahili kuwa mjumbe wa tume ya kuchunguza vyanzo vya ajali na mwarobaini wake.
Kongole sana kwake.
Ni kweli lakini pia vile vichupa vidogo vidogo vya mvinyo badala ya viroba vimejaa njia nzima kwenye viosk na madukani ! Je hao NIT wanahusikaje hapo ??
 
Gari la abiria linatoka kituo A saa 12asubuhi, linafika kituo B saa 12 jion, kesho yake linatakiwa kuondoka kituo B saa 12 asubuhi kwenda kituo A.. Sasa nambieni gari hili linafanyiwa checkup sa ngapi?
Fanya checkup zako halafu mlevi anakuletea ajali, Matrafiki wanapewa za kubrashia viatu miezi sita wewe wakati huo umefukiwa ardhini unapambana na wadudu.

Mola atunusuru.
 
Saivi wajanja wa mjini wamekalia Tanzania wale washamba na malimbukeni wachunga ng'ombe wamepumzika. Na vibaka wamerudi Kama kawa na silaha zitaonekana mtaani jamani kila mtu na kamba yake.
Mie nipewe 20M niuze ama nikodishe ama silaha Ni kwa Nini nisile nilipofungwa? Nyie endeleeni kucheza ngoma Mana tumewapunguza mlitaka kujaazana huku ikulu jamani ngoja wajanja wa mjini wazoefu wa kula maisha kiulaini tuzidi kula. Na hizo Kodi zenu ndio nyie mnafanya kazi sie tunajichotea tu.
 
Shida ya Traffic nao wengi ni wala rushwa za kulazimisha,ili wafikie malengo ya makusanyo ya Mapato.Kwenye Hili naunga Mkono hoja ya Kinana,hawa wapigwe chini wabaki wachache hawana msaada kama wanavyodai
wamepunguzwa au huna taatifa??

siku hizi kero za rushwa zimepungua watu wanakulana vichwa wenyewe.
 
Trafiki wapewe vipimo vya ulevi kila mahali walipo !! Wafanye majaribio kwa miezi sita uone kama ajali zitatokea !!
 
RUSHWA na SIASA laghai kwenye maisha ya watu ndio matokeo ya maafa yanayoendelea kutokea Tanzania yakiangamiza uhai wa wananchi wasio na hatia.
 
  • Wanaokufa ni watolewa kafara, watoa kafara wanagonga mvinyo kushangilia mauzo na faida kuongezeka.
  • Wao wanaagiza na kutumia magari yenye usalama 100% , mwenye inji aliwahi sema si rushwa, ni hela ya kubrashia viatu. WHO CARES?
  • Mungu alimuuliza Kaini, kwa nini damu ya nduguyo inanililia ardhini? Tafakari, chukua hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…