Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa kwa yote ni kutenganisha uongozi na biashara, kwa mfano kuna mabasi yanaitwa Ester umeshayaona yanaguswa yakioverspeed!
[/QUOT
Yana nini yasiguswe
Kwanini matumizi ya teknolojia hayaonekani kuwa moja ya suluhisho la kudhihibiti ajali?Utaratibu wa kudhibiti ajali unahusisha mambo mengi, si sehemu zote askari wa barabarani watakuwepo kudhibiti mwendo au uzingativu wa sheria za usalama barabarani...
1. Umadhubuti wa vyombo vya moto - Hapa hakuna mandatory service kwa magari
2. Umakini wa madereva - Hapa inahusiana na dereva mwenye mafunzo, watu wengi wana leseni na hawana mafunzo
3. Utimamu wa afya ya akili na mwili - Watu wangapi wana shida ya macho na bado wanaendesha magari, watu wangapi wana shida ya magonjwa ya akili na wangali wanaendesha magari?
4. Uchakavu wa Miundombinu ya barabara - Kuna barabara ni chakavu zina mabondebonde naa mashimo shimo ikiwemo hiyo barabara ya Igawa - Mbeya, haswa hayo maeneo ya Inyala ambapo ajali imetokezea majuzi
5. Uhaba wa barabara - Barabara tulizonazo zinachangia ajali kwa sababu ni katika lane hiyo hiyo magari ya kwenda na kurudi hutumia na kinachotenganisha ni mstari wa kuchorwa tu.
Serikali iendelee kuboresha kwa kujenga walau njia moja kwenda na njia nyingine kurudi zilizotenganishwa na eneo pana katikati kama zionekanavyo njia za mjini haswa Dar
Waziri angekuwa Mkristo angeshatolewa sahivi ni dini pendwaHaiwezekani!
No. 1 ndiye mwenye mamlaka kama raia namba moja ktk nchi.
Ni muda muafaka sasa awajibike yeye. Too much.
Tumechokaa. Kama taifa limeingia maagano ya damu/ kishetani mtuambie.
Hao askari hata iweje hawawezi kudhibiti ajalli, kumbuka kuna wiki ya usalama barabarani still ajali zinatokea huku magari yakikaguliwa kila baada ya 1Km, ajali nyingi ukichunguza ni zinahusisha ubovu wa magari hayohayo wanayokagua kila siku.Masauni hakuna anachokifanya hapo
Kwanini matumizi ya teknolojia hayaonekani kuwa moja ya suluhisho la kudhihibiti ajali?
Kwanini askari wanang'ang'aniwa sana wawepo barabarani tena makundi kwa makundi?
Kwanini miaka nenda rudi hakuna vitendo ila maneno meeengi kwenye TV na redio?
Tatizo rushwa inasababisha haya yoteHao askari hata iweje hawawezi kudhibiti ajalli, kumbuka kuna wiki ya usalama barabarani still ajali zinatokea huku magari yakikaguliwa kila baada ya 1Km, ajali nyingi ukichunguza ni zinahusisha ubovu wa magari hayohayo wanayokagua kila siku.
Ukizungumzia sheria, wavunja sheria namba moja ni madereva wa magari ya serikali na mabasi au malori ya viongozi serikalini huku magari ya wengine yakiombwa rushwa na askari njiani, mjumuisho wa haya yote ndiyo hizo ajali
Kabla ya hiyo tume kuundwa matrafik wapewe vipimo vingi vya kupimia ulevi viwepo kila mahali walipo wao !!Nani amefanya tafiti na kuja na gunduzi hiyo ya kuwa vyanzo vingi vya ajali ni "vichupa vidogo vidogo vya mvinyo"!!??
Mimi nimeandika kuonyesha umuhimu wa mwenye andiko kuwa mjumbe wa tume ya kuchunguza vyanzo vya ajali iwapo itaundwa.
Dereva ni lazima uhakikishe gari unaloliendesha liko katika hali nzuri siku zote unapoliendesha, either kufeli kwa breki kutasababishwa na system ya upepo au system ya ya mafuta ya breki !! System hizo kama zinakaguliwa mara kwa mara breki itafeli vipi ghafla kabla dereva hajaviona viashiria vinavyomfahamisha kwamba hii breki itakuja kufeli wakati wowote ? !! Dereva makini anapokuwa anaendesha gari mlio wowote wa tofauti katika gari lake huwa anaanza kuusikia yeye hata mkiwa watu wanne kwenye gari yeye ndiye atakayeusikia kwanza! Na kama akiwa makini ni lazima ataliweka gari pembeni ili ajue tatizo lipo wapi !! Huo ndio udereva wa madereva wa zamani !!Kama umewahi kuendesha gari uwez kusema kufeli break ni kosa la dereva Kwa kukosa umakaini
So anakosa umakini mpaka na yy anakufa
You nailed it!!Dereva anayeendesha ndie mwenye dhamana ya kubeba usalama wa abiria wake na yeye mwenyewe.HAKUNA MWINGINE.
Yeye ndo anajua wapi apunguze nwendo,wapi aongeze,wapi afunge breki,wapi aovertake n.k.
Sio serikali.
Masauni hakuna anachokifanya hapo
Hivyo vyanzo vingine ndivyo traffic wameshhindwa kuvitumia vema, kwa mfano, wiki ya usalama barabarani magari yangekagulliwa badala ya kuuziwa stika, tyre za magari zingekaguliwa na kama hazifai garii iingeweka karantini mpaka iletewe tyre mpya na kuvishwa ikiwa yadi tena chini ya usimamizi wa askari waadilifu, madereva wangepimwa alcohol terminals za miji mikuu nk, lakini ilivyo sasa rushwa ndiyo inasababisha haya yote yatokeeNi sahihi kuhusisha teknolojia, lakini kwa mtazamo wangu teknolojia inatibu chanzo kimoja tu cha Uzembe wa dereva, wakati kuna vyanzo vingine vingi...
Mkuu waliokuwa wanapiga kelele wamepokea mapendekeza ya waharifu wenzao ili wapitishe magendo bila bughudhaSijui wale waliokuwa wanapiga kelele trafiki wapunguzwe barabarani wanasemaje kuhusu ajali kuongezeka?