Serikali iwalipe mishahara waalimu 89,475 wanaofundisha shule binafsi

Serikali iwalipe mishahara waalimu 89,475 wanaofundisha shule binafsi

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.

Kwa kumalizia, ninamwomba rais atoke huko kwenye self isolation aliko aje aungane na sisi wapiga kura wake katika kuchapa kazi tujenge uchumi ambao amesema ni muhimu kuliko kujihami (kisera na kifedha) dhidi ya korona. Amesema no lockdown kwa sisi wananchi, basi ni vyema naye pia asiendelee kuji lockdown huko Chato.

Wenu M-mbabe
Ni mwalimu katika public higher learning institution.

 
Umeweka mada nzuri ya kufikirisha. Nadhani Wizara husika ingetoa mwongozo. Pia kuna hizi home assignment wanazopewa wanafunzi kipindi hiki je zitawekwa kwenye gharama za ada? kuna kitu kinatakiwa kuwekwa sawa na Wizara
 
Mtamuua jiwe kwa presha jamani hebu mpeni break
emoji23.png
 
Alivyoongea Jana kwakweli hata mimi sioni sababu ya wanafunzi kuendelea tangatanga huko mtaani.

Ni hatari zaidi..

Sio corona tena ila wanafunzi wapo kwenye hatari ya ngono zembe na ndoa za ghafla ghafla.
 
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.
Huo ni uninga watoto wetu wabaki kwenye msongamano ili wafe.Nadhani wewe hujazaa na Kama unataka private school ziendelee mpeleke kwa kwako akasome ss wa kwetu watabaki nyumbani hats Kama atakuwa private . issue ya mishahara ni la mwenye shule awafikirie watumishi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni uninga watoto wetu wabaki kwenye msongamano ili wafe.Nadhani wewe hujazaa na Kama unataka private school ziendelee mpeleke kwa kwako akasome ss wa kwetu watabaki nyumbani hats Kama atakuwa private . issue ya mishahara ni la mwenye shule awafikirie watumishi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
hujaielewa mada.
 
Naamini walimu na wamiliki wa shule za private wanaumoja wao, wakutane na wizara husika ili watoe ufafanuzi, wananchi wengi wanaosomesha watoto private school hawajui hatima yao kuhusu ada ya msimu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.
Sio walimu peke yake wale was hotelini na mashirika binafsi ni mwendo wa likizo bila malipo .Nchi za wenzetu Kuna mfuko kwa ajili ya wanaokosa ajira wanalipwa kifuta jasho
 
Maoni yangu, waajili wa shule hizi waendelee kuwalipa waalimu hawa na watumishi wengine mishahara yao kama kawaida.Kwa nini nasema hivi.Wanafunzi wa shule hizi za binafisi Mara watakapo rejea shuleni watatakiwa kulipa ada yote ili hali wao hawatawalipa wafanya kazi wao mishahara.Kuna shule kadhaa wazazi walikwisha lipa fedha za remedial mwezi wa sita na. Chakula mbaya zaidi nao hawataki kuwalipa walimu mishahara.
Pili ikiwezekana serikali ifanye top up.
 
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.

Mkuu iliyoko kwenye lockdown siyo mashule tu. Biashara ipi inaendelea? Watu wanahimizwa kwa matangazo wasifanye safari zisizokuwa za muhimu. Ipi ni safari ya muhimu?

Uliza wenye maduka, wenye ma guest houses, wenye baa, wenye mabasi nk. Wenye mikopo benki wanalia. Wenye manyumba ya kupangisha ndiyo hao wanaoitishwa na Makonda wasilipwe kodi.

Haya yakiendelea kodi za serikali ziko pale na nyingine zimepandishwa. Faini za serikali ziko palepale na hata za kubrashia viatu ziko palepale.

Labda sekta inayofanya vyema ni hii ya utengeneza barakoa, sanitizer na upuliziaji dawa kwenye mitaa na mabasi. Maeneo ambayo serikali imeona fursa.

Hiki kisebu sebu na kiroho papo gharama yake ni kubwa, hakuna faida wala haisaidii kuondoa au hata kupunguza ugonjwa.

Hapa inapaswa kuchagua kum face jiwe. Bagonza, Niwemugizi na Zitto wameonyesha njia.

Kama hataki kuelewa muda ni sasa atwambie wagonjwa au vifo vikifika vingapi tujue kuwa mikakati yake imeshindwa tuchukue hatua mbadala za kuchukua.
 
Huu kweli ni mtihani kwa walimu. Uchumi utayumba tu
 
Siyo hawa wanaotunanga waajiriwa serikalini kuwa ni watumwa tu? Na kwamba private kunalipa na wana maendeleo kuliko waajiriwa wa serikali? Wapambane na hali zao, dharau zimewaishia sasa.
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.
 
Huu kweli ni mtihani kwa walimu. Uchumi utayumba tu
Shule kama Tusiime imekusudia kutowalipa waalimu wake mshahara wa mwezi April wakati wazazi tumelipa ada ya term sio sahihi. Wenye shule wanataka kujilimbikizia faida kubwa kwa kunyonya waalimu TUSIIME PRIMARY ACHENI UNYONYAJI WAZAZI HATUKUBALI WAALIMU WETU WAFANYIWE HIVI .LIPA APRIL NA MAY SALARY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta hoja kuwa muwazi, usiegemee upande wa serikali na wamiliki wa shule binafsi. Concern yako kubwa hapa Ni kwann walimu Hawa wasiendelee kulipwa mishahara na waajiri wait ambao Ni wamiliki wa shule binafsi

Lengo la serikali kufinga sekta ya elimu nchini hasa ilikuwa Ni focus kubwa ya wanafunzi ambao wengi wao wanaweza kuwa ktk risk kubwa ya kupata korona kutokana na uelewa wao kuwa mdogo na namna ya kuwa manage.

Kwahiyo iombe serikali kupitia kwa waziri Mwenye dhamana kukuaa chini na wamiliki wa shule binafsi kuona namna ya kuwalipa watumishi wao mishahara. Lkn pia kuwaba wamiliki hao kufanya marejereo ya mikataba ya kazi ya walimu Hawa. TUCKTA NA SERIKALI KAANI NA WAMILIKI WA SHULE BINFSI ikiwezekana muwapitishe kwnye sheria za ajira na kazi km watumishi wao wanastahili kulipwa mishahara ktk kipindi km hiki au la

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom