Serikali iwalipe mishahara waalimu 89,475 wanaofundisha shule binafsi

Serikali iwalipe mishahara waalimu 89,475 wanaofundisha shule binafsi

mishahara ya watumishi wa sector za umma ni above 6.8b, watumishi wengine humo humo wanamnanga JPM ali a lokck Dar inayokusanya 80% ya total revenue, bado mnataka awalipe walimu wa private schools over 80thousands, pamoja na kutolock Dar mapato yote ya utalii ni 0% bado ulinzi na usalama wa Nchi bado Hospital na mahitaji yake bado kuna over 6b za kulipa madeni ya Nje na ndani makusanyo ya sasa hayawezi kubeba mzigo kama huo,
ungekuwa katika nafasi kama yake ungejua uzito wa suala hilo. 'niwarudishe kwenye hadithi ya mtumbWI uliopasuka baharini ukiwa umewabeba Mama mzazi, Mke na Mtoto jamaa ( Mume) alikuwa ana uwezo wa kumuokoa mmoja tu' anaulizwa atamuokoa nani? Mama wa Muhimu ndiye aliyekuleta duniani, Mke wa muhimu sana ndiye anayekupa maisha na starehe muhimu Mtoto ndiye mrithi wako na ungependa aishi, unafanyaje?.
Magu amefikishwa hapo pa kuamua, na nampongeza ameamua kiume, wafe wachache wasife wengi kwa njaa, na uchumi
wote wa Nchi kudorola, kuwepo Chato kunampa nafasi ya kutafakari zaidi anapokumbuka wakati anachunga ng'ombe milima ya kwao na Tanzania aliyoibeba kichwani pake, ndoto alizo nazo kwa Tz na vikwazo vinavyoingilia maono yake , si kazi nyepesi kabisa tunapoandika humu JF tujiweke kwenye nafasii yake. tukishatafakari tuachane na kejeli tumuombee.
 
mishahara ya watumishi wa sector za umma ni above 6.8b, watumishi wengine humo humo wanamnanga JPM ali a lokck Dar inayokusanya 80% ya total revenue, bado mnataka awalipe walimu wa private schools over 80thousands, pamoja na kutolock Dar mapato yote ya utalii ni 0% bado ulinzi na usalama wa Nchi bado Hospital na mahitaji yake bado kuna over 6b za kulipa madeni ya Nje na ndani makusanyo ya sasa hayawezi kubeba mzigo kama huo,
ungekuwa katika nafasi kama yake ungejua uzito wa suala hilo. 'niwarudishe kwenye hadithi ya mtumbWI uliopasuka baharini ukiwa umewabeba Mama mzazi, Mke na Mtoto jamaa ( Mume) alikuwa ana uwezo wa kumuokoa mmoja tu' anaulizwa atamuokoa nani? Mama wa Muhimu ndiye aliyekuleta duniani, Mke wa muhimu sana ndiye anayekupa maisha na starehe muhimu Mtoto ndiye mrithi wako na ungependa aishi, unafanyaje?.
Magu amefikishwa hapo pa kuamua, na nampongeza ameamua kiume, wafe wachache wasife wengi kwa njaa, na uchumi
wote wa Nchi kudorola, kuwepo Chato kunampa nafasi ya kutafakari zaidi anapokumbuka wakati anachunga ng'ombe milima ya kwao na Tanzania aliyoibeba kichwani pake, ndoto alizo nazo kwa Tz na vikwazo vinavyoingilia maono yake , si kazi nyepesi kabisa tunapoandika humu JF tujiweke kwenye nafasii yake. tukishatafakari tuachane na kejeli tumuombee.
vipi mustakabali wa elimu nchini, umelitafakari hili?
au ndiyo ule mkakati wa CCM kuwafanya Watanzania wawe wajinga ili iwe rahisi kuwaburuza kama misukule??
 
mishahara ya watumishi wa sector za umma ni above 6.8b, watumishi wengine humo humo wanamnanga JPM ali a lokck Dar inayokusanya 80% ya total revenue, bado mnataka awalipe walimu wa private schools over 80thousands, pamoja na kutolock Dar mapato yote ya utalii ni 0% bado ulinzi na usalama wa Nchi bado Hospital na mahitaji yake bado kuna over 6b za kulipa madeni ya Nje na ndani makusanyo ya sasa hayawezi kubeba mzigo kama huo,
ungekuwa katika nafasi kama yake ungejua uzito wa suala hilo. 'niwarudishe kwenye hadithi ya mtumbWI uliopasuka baharini ukiwa umewabeba Mama mzazi, Mke na Mtoto jamaa ( Mume) alikuwa ana uwezo wa kumuokoa mmoja tu' anaulizwa atamuokoa nani? Mama wa Muhimu ndiye aliyekuleta duniani, Mke wa muhimu sana ndiye anayekupa maisha na starehe muhimu Mtoto ndiye mrithi wako na ungependa aishi, unafanyaje?.
Magu amefikishwa hapo pa kuamua, na nampongeza ameamua kiume, wafe wachache wasife wengi kwa njaa, na uchumi
wote wa Nchi kudorola, kuwepo Chato kunampa nafasi ya kutafakari zaidi anapokumbuka wakati anachunga ng'ombe milima ya kwao na Tanzania aliyoibeba kichwani pake, ndoto alizo nazo kwa Tz na vikwazo vinavyoingilia maono yake , si kazi nyepesi kabisa tunapoandika humu JF tujiweke kwenye nafasii yake. tukishatafakari tuachane na kejeli tumuombee.

..ukiambiwa uwe mwalimu au raisi wa tz utachagua kazi ipi?

..kwa maoni yangu Uraisi wa Tz ni mgumu kuupata, lakini ukishakalia kiti cha enzi ni kazi rahisi sana.
 
Hizo shule kwa nini hawakuweka Insurance kwa majanga kama haya? Serikali haikuleta Covid-19. Kwa nini iwe shule za private?
 
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.

Kwa kumalizia, ninamwomba rais atoke huko kwenye self isolation aliko aje aungane na sisi wapiga kura wake katika kuchapa kazi tujenge uchumi ambao amesema ni muhimu kuliko kujihami (kisera na kifedha) dhidi ya korona. Amesema no lockdown kwa sisi wananchi, basi ni vyema naye pia asiendelee kuji lockdown huko Chato.

Wenu M-mbabe
Ni mwalimu katika public higher learning institution.
Hujielewi. Lazima Wanafunzi wako watakuwa mataila
 
Just additional info: Wanafunzi huwa wanalipa karo zao kwa term au kwa mwaka? Je, muda huu wakati shule zimefungwa walikuwa wamelipwa karo au la? Je, kwenye sheria za kujiunga na hizi shule ikitokea dharura sheria zao zinasemaje?
 
Kuna bus limetoka mwanza kwenda dar Lina abiria sita na hao wawili wanashukia singida watatu dodoma na mmoja morogoro, hapo sidhani Kama dereva atapata posho
 
Jemedari Zitto, aliishauri serikali iruhusu mifuko ya hifadhi ya jamii iwape mishahara watumishi wa sekta binafsi ambao ni wanachama wa mifuko hiyo. Kwa sababu pesa iliyoko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ni michango yao kutoka kwenye mishahara yao. Cha kushangaza na cha hovyo kabisaaaaa, serikali ya dikteta jiwe imetia pamba masikioni.
 
hujaielewa mada.
hata mimi sijaielewa
umeona Sekta ya Shule binafsi tu walimu walipwe na Serikali wakati Ada tumepeleka kwa mkurugenzi wao naye kaongeza Mabweni na kujilimbikizia magari ya Starehe
Kma akiba kaweka kwani kila mwaka tunamchangia na hay majengo anajenga kwa hela zetu wakati sio ya kwetu sisi tumeambulia cheti cha living school tu
Mimi nia watoto watatu naowalipia na walikuwa bweni nalipa kwa awamu 3 kwa mwaka kila awamu mtoto ni 1.5M jumala 4.5M bado mavazi nk kwa mwaka ni zaidi ya 13M
sasa km Walimu unawatetea basi na walinzi, wafyeka majani, makarani nk
akakope Benk awaambie Corona lkn sio Serikali au Mzazi wakati mwanangu hajaenda kula, kulala au kusoma Sheleni
 
Wote tumemsikia rais wetu jana.

Ujumbe kwenye ile speech, literally, ni "Mtanzania, chagua ufe kwa Korona au ufe kwa njaa".

Amesema lockdown ni nonsense (iwe partial kama ya Kenya/Uganda au flully fledged). Amesisitiza uchumi wa watu na nchi utaporomoka tukifanya lockdown.

Lakini, mimi naona serekali haipo consistent kwani tayari ime impose full lockdown kwenye sekta ya elimu. Kuna kundi la watu huku litaathirika kiuchumi, in particular wamiliki wa shule binafsi na waajiriwa katika shule hizo (kuna jumla ya waalimu 89,475 katika shule hizi).

Serekali inasemaje kuhusu hawa waalimu? Maana kama private schools zingepewa option ya kutofunga shule zao am sure nyingi (kama siyo zote) zisingefungwa.

Kwa ku impose lockdown kwenye sekta ya elimu, serekali imewaathiri kiuchumi hawa maelfu ya waalimu na kwa hiyo inawajibika kuwalipa ili kuwa sustain kipindi cha lockdown.

Kwa kumalizia, ninamwomba rais atoke huko kwenye self isolation aliko aje aungane na sisi wapiga kura wake katika kuchapa kazi tujenge uchumi ambao amesema ni muhimu kuliko kujihami (kisera na kifedha) dhidi ya korona. Amesema no lockdown kwa sisi wananchi, basi ni vyema naye pia asiendelee kuji lockdown huko Chato.

Wenu M-mbabe
Ni mwalimu katika public higher learning institution.


kongole yenu kambi ya upinzani kwa kulibeba wazo langu na kuliwasilisha bungeni.
 
Mtamuua jiwe kwa presha jamani hebu mpeni break
emoji23.png
He is already on unlimited break
 
Ada hua zinalipwa kwa mhula au nusu mhula hivyo ada iliyokusanywa inatosha kuendesha shughli zote hadi mwezi wa 6,kwa maana hiyo ndani ya miezi hii wanapaswa kulipwa kama kawaida isipokua tu kama ugonjwa utafika mwezi wa saba na kama maazimio yatakua kwamba basi miezi hii ya corona ifidiwe hapo mbeleni kwa kuongeza muda wa ziada ili kucover syllubus wanapaswa kufikiliwa na serikali na sio sasa
 
Back
Top Bottom