Serikali kama imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana, ijiandae kujenga magereza mengi

Serikali kama imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana, ijiandae kujenga magereza mengi

ENglish muhimu mkuu. Huoni watu wanavyoangaika kwenye interview au kupata connection ya kufanya kazi na wazungu. Ata kupata fursa nje ya nchi kuzamia marekani, Uarabuni bila kiingereza maisha ni magumu. Bila hiyo lugha ujasiri wa kutoka nje ya mpka kutafta fursa unaupata wap. Tuulize sisi tuliozamia Sauzi enzi za kikwete ujue umuhimu wa hiyo lugha
Englishi ambayo akina harmonize na diamond na dropout wengine wote ambao leo ni maarufu wanaongea wamefundishwa na Rasi Simba.

kama ni LUGHA YA KINGEREZA ndio shida yako kujua ni bora uende pale BRITISH COUNCIL wakusaidie ujue kingereza kuliko kwenda kupoteza pesa huko english medium alafu mtoto anamaliza shule kingereza chenyewe anaongea BROCKEN😄😄😄 misamiati ya kutafuta kwa manati shubaamit!!!Alafu bado hana ujuzi wowote anakazi ya kugombea remoti na wadogo zake😬😬😬
 
Endelea kuwaza kuendesha Escalade au rozirozi kama Mondi ila tambua hakuna cha bure hapa duniani.

Za kusoma kwenye vitabu vya motivation speaker changanya na za kwako.

Hivi wewe kwa akili yako unahela gani ya kuwekeza ili wewe uwe unakaa tu nyumbani hiyo hela yako iwe inajizalisha😄😄😄. Bwana mdogo shtuka hao wanawaandikia stori za mafanikio ili wauze vitabu.

Mfano UTT. Ukiwekeza millioni 100 kwenye mfuko wa liquid bond kwa riba ya 14% return yake ni 12millioni na ushee(point) kwa mwaka au 1million na point kwa mwezi.Ambayo hii pesa ya kubadilisha mboga tu and again hiyo million 100 unayo😂😂😂. Sasa hii biashara ni kwa watu wenye pesa zisizo na kazi ila wewe maskini mwenzangu huku unaweka hela kama unayo ila usitegemee utajiri wowote labda kwa wajukuu na vitukuu vyako ndo watakuta hela imejizaa vya kutosha🤝

Tafuta ujuzi kuna pesa nyingi kwenye ujuzi kijana weka usuperstaa pembeni🤝

#Kupanga ni kuchagua!!!
Utakuwa ni upuuzi mtu atoe jasho enzi za ujana alaf mpaka anafikisha umri wa miaka 50 bado anahustle. Kijana anatakiwa atumie pesa zake za kuhustle kuanzisha biashara au mradi utakaomuingizia pesa.
 
🤣🤣🤣 kuna muda unamshangaa kijana. Anaamini kuteseka napo ni tuzo. Unakuta mtu anakwambia hujateseka kuliko Mimi, aiseee
Ni kama laana kwa taifa. Ndo maana wanasiasa ikifika uchaguzi utakuta wanakula kwa mama ntilie na kupanda daladala kwa sababu washajua wananchi wengi wanapenda kuona mnateseka wote.
 
Mfano UTT. Ukiwekeza millioni 100 kwenye mfuko wa liquid bond kwa riba ya 14% return yake ni 12millioni na ushee(point) kwa mwaka au 1million na point kwa mwezi.Ambayo hii pesa ya kubadilisha mboga tu and again hiyo million 100 unayo😂😂😂. Sasa hii biashara ni kwa watu wenye pesa zisizo na kazi ila wewe maskini mwenzangu huku unaweka hela kama unayo ila usitegemee utajiri wowote labda kwa wajukuu na vitukuu vyako ndo watakuta hela imejizaa vya kutosha🤝
Sio lazima uwekeze hela kwaakina UTT unaweza kuwekeza hata kwenye ardhi kama una uwezo. Mfano nyumba za kupanga.
 
Utakuwa ni upuuzi mtu atoe jasho enzi za ujana alaf mpaka anafikisha umri wa miaka 50 bado anahustle. Kijana anatakiwa atumie pesa zake za kuhustle kuanzisha biashara au mradi utakaomuingizia pesa.
Mtafute chief Godluve anagawa mbinu za utajiri kwa watu WAJINGA wasiopenda kutoka jasho🤗

Ukimkosa nenda KAWE watu walio MATAHIRA wasiopenda mafanikio ya mchakato wanaombewa na kuuziwa mafuta ya mzaituni na udongo😂😂😂 ili wafanikishe matamanio yao ya mafanikio.

#kupanga ni kuchagua!!!
 
Sio lazima uwekeze hela kwaakina UTT unaweza kuwekeza hata kwenye ardhi kama una uwezo. Mfano nyumba za kupanga.
uwe unasoma na kuelewa nimetumia neno MFANO🤝

Hilo shamba utakalo ununua huko nje ya mji leo itakubidi ulisubirishe miaka ngalau 5 ndio uanze kukata viwanja ili kuona faida yake.

Hakuna mafanikio rahisa elewa concept kijana😁hapo bado kulilinda wavamizi wasije kuliuza kitapeli😄😄😄 too much risk in every f*cking way na hapo ndo utamu wa mafanikio unaonekana yaani ni kupambana tu!!!

#kupanga ni kuchagua.
 
Mtafute chief Godluve anagawa mbinu za utajiri kwa watu WAJINGA wasiopenda kutoka jasho🤗

Ukimkosa nenda KAWE watu walio MATAHIRA wasiopenda mafanikio ya mchakato wanaombewa na kuuziwa mafuta ya mzaituni😂😂😂 ili wafanikishe matamanio yao ya mafanikio.

#kupanga ni kuchagua!!!
Mchungaji anaendesha cruiser ya milion 400 muumini anatembelea daladala tena kutokea gongo la mboto 🤣mwingine anatoka magogoni kufika zake kariakoo mwendokasi haupo
 
Englishi ambayo akina harmonize na diamond na dropout wengine wote ambao leo ni maarufu wanaongea wamefundishwa na rasi simba.

kama ni LUGHA YA KINGEREZA ndio shida yako kujua ni bora uende pale BRITISH COUNCIL wakusaidie ujue kingereza kuliko kwenda kupoteza pesa huko english medium alafu mtoto anamaliza shule kingereza chenyewe anaongea BROCKEN😄😄😄 misamiati ya kutafuta kwa manati shubaamit!!!
Hiyo Broken ina maana sana ukiwa nje ya mipaka ya TZ. Ila kama ni Bongo mpaka kifo haina hsja
 
Hiyo Broken ina maana sana ukiwa nje ya mipaka ya TZ. Ila kama ni Bongo mpaka kifo haina hsja
Dunia uwanja wa fujo, ndio maana hujashikiwa fimbo. If you dont trust my way follow yours!!!


#Kupanga ni kuchagua!!!
 
Mchungaji anaendesha cruiser ya milion 400 muumini anatembelea daladala tena kutokea gongo la mboto 🤣mwingine anatoka magogoni kufika zake kariakoo mwendokasi haupo
Wajinga ndio waliwao!!!

#kupanga ni kuchagua.
 
Ndo maana nikasema kama una uwezo. Pia kuna uwekezaji mwingi kama kumiliki bodaboda.
Imagine kijana anaingiza laki 2 kwa mwezi. Yule kijana akamua kusave 50,000 kila mwezi. Baada ya miezi 20 atakuwa ana million 1 kwenye savings zake akaamua labda afungue duka na kumuajiri kijana mwenzake huku yeye akiendelea na mishe zake hii itasaidia kuboost kipato chake na akiendeleza utamaduni huu anawezafika mbali.
 
Nashangaa majibu ya watu humu.., nachelea kusema hawajui hata wajibu wa Serikali yao ambayo ndio wanailipa Kodi.., Wanadhani ipo pale kutoa Hisani... Ila kwa taarifa yako mleta uzi Mchuma Janga hula na wakwao (Extreme Poverty anywhere is a threat to Society Everywhere...) Hawa walamba asali wasiojua kula na vipofu watatuletea Janga ambalo litaleta chuki kwa wenye nazo na hapo kutakuwa hakuna usalama popote pale..., Tutaanza kukabana Kitaa...




 
Englishi ambayo akina harmonize na diamond na dropout wengine wote ambao leo ni maarufu wanaongea wamefundishwa na Rasi Simba.

kama ni LUGHA YA KINGEREZA ndio shida yako kujua ni bora uende pale BRITISH COUNCIL wakusaidie ujue kingereza kuliko kwenda kupoteza pesa huko english medium alafu mtoto anamaliza shule kingereza chenyewe anaongea BROCKEN😄😄😄 misamiati ya kutafuta kwa manati shubaamit!!!Alafu bado hana ujuzi wowote anakazi ya kugombea remoti na wadogo zake😬😬😬
Kumpeleka mtoto shule ni sehemu ya ukuzi wake ili baadae aweze kutatua changamoto zake na za jamii yake.

Kuamua atasoma shule gani ni uamuzi na uwezo wa mzazi wake.
 
Kumpeleka mtoto shule ni sehemu ya ukuzi wake ili baadae aweze kutatua changamoto zake na za jamii yake.

Kuamua atasoma shule gani ni uamuzi na uwezo wa mzazi wake.
Basi kama mnajiweza pelekeni huko hao watoto wenu na muache kufungua nyuzi za kulalama kuwa ada ni kubwa pia yaambieni matoto yenu yaache kulialia kuwa hakuna ajira na maisha ni magumu.Wapambane na kingera chao kupata pesa🤗

Mmekaririshwa sana, sasa huyo broila wako anatoka huko English medium hana ujuzi wowote zaidi ya tabia za kichokochoko hapo huyo atakuja mtaani kutatua changamoto gani zaidi ya kuja kulelewa.
 
kama mtu unataka elimu bora atafuta hela mpeleke mtoto INTERNATIONAL SCHOOLS maana huko atafundishwa kwa mtaala wa nchi zilizoendelea mtaala unaoendana na mazingira na uhitaji wa dunia ya leo, ila sio hizi KANJANJA za ENGLISH MEDIUM huku utaenda kutupa hela bure na mtoto atambulia BROCKEN ENGLISH.
 
Basi kama mnajiweza pelekeni huko hao watoto wenu na muache kufungua nyuzi za kulalama kuwa ada ni kubwa pia yaambieni matoto yenu yaache kulialia kuwa hakuna ajira na maisha ni magumu.Wapambane na kingera chao kupata pesa🤗

Mmekaririshwa sana, sasa huyo broila wako anatoka huko English medium hana ujuzi wowote zaidi ya tabia za kichokochoko hapo huyo atakuja mtaani kutatua changamoto gani zaidi ya kuja kulelewa.
Mimi nafikiri ni swala la kukosa pesa tu ndio linakusumbua mkuu. Mtoto mwenye tabia za hovyo anatengenezwa popote usijifungie sana chumbani dunia iko kasi mzee
 
Back
Top Bottom