Englishi ambayo akina harmonize na diamond na dropout wengine wote ambao leo ni maarufu wanaongea wamefundishwa na Rasi Simba.ENglish muhimu mkuu. Huoni watu wanavyoangaika kwenye interview au kupata connection ya kufanya kazi na wazungu. Ata kupata fursa nje ya nchi kuzamia marekani, Uarabuni bila kiingereza maisha ni magumu. Bila hiyo lugha ujasiri wa kutoka nje ya mpka kutafta fursa unaupata wap. Tuulize sisi tuliozamia Sauzi enzi za kikwete ujue umuhimu wa hiyo lugha
kama ni LUGHA YA KINGEREZA ndio shida yako kujua ni bora uende pale BRITISH COUNCIL wakusaidie ujue kingereza kuliko kwenda kupoteza pesa huko english medium alafu mtoto anamaliza shule kingereza chenyewe anaongea BROCKEN😄😄😄 misamiati ya kutafuta kwa manati shubaamit!!!Alafu bado hana ujuzi wowote anakazi ya kugombea remoti na wadogo zake😬😬😬