Naingia telegram kuwaonaWakuu Telegram ndipo biashara ilipo sa hivi acheni kujidharirisha kwenda kuokota road watoto wapo telegram wanuza uchi hadi shetani mwenyewe kanyosha mikono juu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie bamia holder mbona kila siku mnaamka na ideas za kutusitishia huduma? Hadhi yako kaitafute kwa mkeo bwana weMngegoma kununua Wallah heshima na hadhi ya wanaume ingepanda
Yeah niqqa. Maswali yenye mantiki.
Nawatafutaje hawa viumbe telegram ni mejoin now lakini nashindwa kuwa find hao viumbe , nielekezeni wakuu
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Aisee mungu atusaidieKumbe wewe hujawaji kuingia kwenye vile vibanda pale Tmk Sudan. Mle ndani kuna vitanda 2. Kimoja cha business kingine chake. Kwanini 2. Mara nyingi kile cha business kinakua kimelowa sababu kuna wateja wanaopiga katerero. Ndio maana godoro lake limechakaa maeneo ya matako. Pia kuna toilet paper ya kukuvulia mpira. Pia kuna kapu la kuhifadhia mipira na toilet paper zilizotumika. Pia kuna karai la maji liko mvunguni. Haya maji hutumika na madam kuosha kitega uchumi chake kila baada ya tendo.
Ondoa wasiwasi utaikuta isha pigwa maji na imekaushwa na taulo maalum hata chumvini waweza ingia.
Wewe wasema.Nasikia Nyerere ameshatangazwa kuwa ni Mwenyeheri.
Maswali ya msingiSasa hasira zako ni kwasababu serikali haipati kodi kutoka kwa hao wanaojiuza au ni nini? Kwa hiyo wakilipishwa kodi utaifurahia hiyo biashara yao na hautakua na shida nao tena?
Lakini ni dots gani hizo uliunganisha mpaka ukajiaminisha kua "wanauza"? Ulienda kuuliza bei? Waliweka matangazo? Au ulipoona wanawake wanaota jua ukapata hisia kua wanauza?
"Tunda " kama ni muumin wa dini hz za Mungu mmoja just refer
Nawatafutaje hawa viumbe telegram ni mejoin now lakini nashindwa kuwa find hao viumbe , nielekezeni wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Umeongea ukweli kbsa....Duniani kote hii biasharainafanyika, vita yake ni ngumu sababu inafanywa kwa siri sana. Hauwezi kumkuta mdada wawatu kakaa sehemu ukasrma anajiuza hadi umkamate akilipwa hela ama anafanya kitendo kile. Pia kama hakuna wanunuzi basi biashara itakufa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani kote hii biasharainafanyika, vita yake ni ngumu sababu inafanywa kwa siri sana. Hauwezi kumkuta mdada wawatu kakaa sehemu ukasrma anajiuza hadi umkamate akilipwa hela ama anafanya kitendo kile. Pia kama hakuna wanunuzi basi biashara itakufa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
"Tunda " kama ni muumin wa dini hz za Mungu mmoja just refer
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Duuh hadi kawe? Sehemu gan tena hiyo yapo? Ukwaman? Mzimuni? AmaHuyu dogo hajafika Dodoma wakati mawaziri wako Dodoma. Wateja wengi wa makahaba wa Dodoma ni watunga sheria na mapolisi (polisi na wanajeshi wengi ni madomo zege) ndio maana ukienda kwenye madanguro ya Kawe na Mtoni utakuta vitanda, magodoro, mablanket na neti ni mali ya JW. Wanajeshi wenyewe wanavipelekaga ili wapewe huduma hata siku hawana pesa.