Serikali kuajiri Maafisa 800 wa TAKUKURU ili wakapambane na mafisadi

Serikali kuajiri Maafisa 800 wa TAKUKURU ili wakapambane na mafisadi

Vijana fursa hizo hapo.


My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .

Napendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
 
Napendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
JWTZ wameshindwa kudhibiti wizi bandarini na Melelani , Takukuru ikiwa chini Yao ndio itakuwa nini? Hawataki pesa?
 
SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.

“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.

Chanzo: Nipashe

My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
Ufisadi wa bandari nani wa kupambana nao.
 
Napendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
Na atakaekamatwa anakula rushwa apelekwe jeshini miezi 6 tu

Tatizo hawa taku wanawajua taasisi zote ukienda kushtaki unageukwa na uadui juu
 
Pale Wala Rushwa wanapo ajiri Wala Rushwa!
Hiyo ni ngumi ya usoni ndugu yangu. Mimi nina mfano halisi wa mla rushwa aliyeajiriwa kwa maksudi kabisa ili asipambane na rushwa na kweli hakupambana kabisa na rushwa mpaka alipostaafu. Na huo ndiyo utawala (governance) wa nchi zetu za Afrika ambazo hazina dhamira ya dhati ya maendeleo ya nchi zao! Mataifa ya nje yanazipenda sana nchi kama zetu.
 
SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.

“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.

Chanzo: Nipashe

My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
Wanaoingia Takukuru wengine wanaingilia kupitia mlango wa uwani what fo you expect?
 
Yani takukuru tangu lini wakazuia rushwa? Haya ww jikombe tu kwa watanganyika.
Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu.
Asante
 
SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.

“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.

Chanzo: Nipashe

My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
Ili wakapambane mafisadi au ili wakawalinde mafisadi??
 
Back
Top Bottom