ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Jibu swali wewe huwezi kula Rushwa ukiona pesa?You don't have a sense of purpose, rubbish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali wewe huwezi kula Rushwa ukiona pesa?You don't have a sense of purpose, rubbish
Vijana fursa hizo hapo.
My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
JWTZ wameshindwa kudhibiti wizi bandarini na Melelani , Takukuru ikiwa chini Yao ndio itakuwa nini? Hawataki pesa?Napendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
Jibu swali wewe huwezi kula Rushwa ukiona pesa?
Au ingeunganishwa na ile taasisi ya meno ya tembo ya komredi Kinana.Jambo la kushangaza sana
Hii taasisi ingefutwa kabisa
Ufisadi wa bandari nani wa kupambana nao.SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.
“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.
Chanzo: Nipashe
My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
[emoji38] [emoji23] [emoji38]Au ingeunganishwa na ile taasisi ya meno ya tembo ya komredi Kinana.
Na atakaekamatwa anakula rushwa apelekwe jeshini miezi 6 tuNapendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
Sehemu yeyote kwenye hela wape private sector wewe kubaliana nao malipo tuu ila ukijifanya unatumia Watumishi wa Umma imekukataUfisadi wa bandari nani wa kupambana nao.
Hiyo ni ngumi ya usoni ndugu yangu. Mimi nina mfano halisi wa mla rushwa aliyeajiriwa kwa maksudi kabisa ili asipambane na rushwa na kweli hakupambana kabisa na rushwa mpaka alipostaafu. Na huo ndiyo utawala (governance) wa nchi zetu za Afrika ambazo hazina dhamira ya dhati ya maendeleo ya nchi zao! Mataifa ya nje yanazipenda sana nchi kama zetu.Pale Wala Rushwa wanapo ajiri Wala Rushwa!
Ufisadi wa bandari, madini, mbuga na viwanja vya ndege nani wa kupambana nao.Sehemu yeyote kwenye hela wape private sector wewe kubaliana nao malipo tuu ila ukijifanya unatumia Watumishi wa Umma imekukata
Binadamu huwezi mdhibiti Kwa Asilimia 100% sana sana utapunguza tuu.Ufisadi wa bandari, madini, mbuga na viwanja vya ndege nani wa kupambana nao.
Wanaoingia Takukuru wengine wanaingilia kupitia mlango wa uwani what fo you expect?SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.
“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.
Chanzo: Nipashe
My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .
Wewe Huwa hudokoi kitu?Tatizo la Tanzania ni sheria ndogo za rushwa.
Yatakiwa wabadhirifu wafanywe mfano
Nyie mmeiba hadi Uchumi ikafa mkaanza ishi kwa wanaumeWewe Huwa hudokoi kitu?
Ndio hizo tabia za kisenge kwamba kila mtu ni mwizi kama wewe mwizi sio kila mtuWewe Huwa hudokoi kitu?
Ili wakapambane mafisadi au ili wakawalinde mafisadi??SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema maofisa hao watasambazwa maeneo mbalimbali nchini ili kukabiliana na vitendo vya rushwa katika miradi ya serikali inayotekeleza.
“Ninakiri kuwa kuna upungufu na ubadhirifu katika miradi mingi inayotekelezwa ikiwamo ile ya kimkakati, hivyo serikali imeamua kuongeza nguvu ili kudhibiti ubadhirifu huo kwa kuongeza maofisa hawa watakaotawanywa wilaya zote,”alisema.
Chanzo: Nipashe
My Take
Vijana msipotoka awamu hii ya Samia mjue ndio basi watakuja watu dizaini ya Rais wa Wanyonge harafu mtaona mtakavyoishia kuwa machinga .