Serikali kuajiri Maafisa 800 wa TAKUKURU ili wakapambane na mafisadi

Serikali kuajiri Maafisa 800 wa TAKUKURU ili wakapambane na mafisadi

SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa...
Ogopa matapeli.
 
SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa...
Tunahitaji maofisa 800? Ni kufuja feza tu. Someni ripoti za CAG. Chukueni hatua. Habari zote zimo humo.
 
Mama mwenyewe hata kukemea majizi hawezi report ya CAG mpaka leo hakuna aliyewajibishwa hao 800 wataweza nini zaidi ya kujiunga kwenye hiyo chain.
Mmfyuu
Katiba hii ndo chanzo uongozi huu hovyo
 
Takukuru kabla ya kuja kukukamata wanakutonya kwanza, ila wakija wakose ushahidi.
 
SERIKALI imesema kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), itaajiri maofisa 800 wenye taaluma mbalimbali kwa lengo la kwenda kudhibiti upotevu wa fedha za umma hasa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa...
Chai, atupoi katika bandari hata mumteue makonda kuwa waziri mkuu
 
Wanaweza kumkamata anayewateua?

In case Rais ndiye fisadi, wana la kufanya hawa?

Kama hawawezi the jina libadilishwe waitwe wa kupambana na rushwa ya vidagaa.
 
Hawa waliopo hawana meno unaongeza wengine, CAG amesema trilioni zimepigwa hawa waliopo walikuwa wapi?
Hapo jiulize TAKUKURU ina watumishi wangapi na wameshindwa, hawa 800 wataongeza nini japo sipingi kuajiri ni jambo jema pia maana hali ya ajira pia sio nzuri sana, zinapotoka nafasi kama hivi ni ahueni kwa vijana wengi tu
 
Napendekeza idara ya takukuru kiwe kitengo chini JWTZ nakiitikie moja kwa moja na jwtz , kwa boresha sheria iliyotumika unda idara husika na kila msimazi mkuu kuanzia kitaifa ,mkoa mpaka wilaya awe ni mtumishi toka jwtz ,
Na tupime ufanisi kwa miaka miwili tuone kama rushwa itaongezeka ,au pungua linganisha na kipindi miaka nyuma ,
hao hawama uwezo wa kudeal na mambo ya kutumia akili, wao wamesomea kuua watu. Nguvu nyingi akili kidogo!
.

Yesu ni KRISTO/MASIHI
 
JWTZ wameshindwa kudhibiti wizi bandarini na Melelani , Takukuru ikiwa chini Yao ndio itakuwa nini? Hawataki pesa?
Wennda sheria haikupewa memeno, iwe chini yao alafu wapewe sheria yenye meno bila kujali chochote cha mla rushwa apewe mti aupige busu na shaba juu adhalani muone kama kuna mtu atadhubutu uza bandari, n.k

Nini namanisha, namanisha kila ambae atangudulika kula rushwa haukumiwe chini za sheria za kijeshi , kwanza unaanzwa biringitwa kwenye maji machafu bila kujali cheo chako mbele ya umma , then taratibu za mashitaka za kijeshi zinafuata , na huone kama utaona wizi au rushwa , mnazungumzia rushwa wakati hamtaki sheria kali uhuni ,

Pelekeni hii idara na ipe sheria meno then ona kama hamtakimbia wizara
 
hao hawama uwezo wa kudeal na mambo ya kutumia akili, wao wamesomea kuua watu. Nguvu nyingi akili kidogo!
.

Yesu ni KRISTO/MASIHI
Elewa nasema nini hapa , nimesema takukuru iwe idara ndani ya JWT , namanisha wenye fani zao watabaki vile vile ila kitengo chini ya JWTZ. Na ukaunda sheria yenye meno kwa idara hii , mtakimbia ofisi nyie mafisadi mapema sana kwa kuomba staafu, mnataka mambo muhim ila hamtaki mabadiliko mepesi , pumbavu
 
That's a waste of time and money, we all know PCCB is a barking dog without teeth.
 
Back
Top Bottom