Serikali kuchangia gharama za matengenezo ya kanisa lililovamiwa Geita

Serikali kuchangia gharama za matengenezo ya kanisa lililovamiwa Geita

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo

RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo

Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo

===
Serikali mkoani Geita, imetoa pole kwa kanisa katoliki mkoani humo kufuatia tukio la kuvamiwa kwa jengo la kanisa hilo na kufanyika uharibifu mkubwa wa mali. Mkuu wa mkoa huo Martin Shigela, amesema serikali pia imeahidi kuchangia gharama za uharibifu uliojitokeza
 
Huyo wanayetunyesha kuwa ndiye mhalifu ni maigizo tu, hawasemi walimpataje, na kama ni ulevi mbona hakupiga kelele wakati anavunja na kunajisi
 
Rais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo

RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo

Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo

Source ITV Habari
Ushawishi wa Kanisa Katoliki la Rumi ni mkubwa sana nchini na duniani kote katika masuala ya kijamii na kiuchumi. Ukiangalia kwa jicho la tatu, hata dini ya Kiislamu na BAKWATA, wao ni waasisi na wanawajibika katika mamlaka ya Upapa.
 
Ushawishi wa Kanisa Katoliki la Rumi ni mkubwa sana nchini na duniani kote katika masuala ya kijamii na kiuchumi. Ukiangalia kwa jicho la tatu, hata dini ya Kiislamu na BAKWATA, wao ni waasisi na wanawajibika katika mamlaka ya Upapa.
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye....
 
Wangemchangia kwanza yule mama aliyepolwa ndizi zake na serikali ya Zanzibar, wakatoliki wanaweza kujitegemea
Wakatoliki hawawezi jitegemea,wamekua wakiweka mirija hazina tangu serikali ya mkoloni Hadi Leo,rejea kitabu Cha padre dk sivalon,kanisa katoliki na siasa za Tanzania,mwaka 1992 wakaamua kuingia mkataba kabisa na serikali (MoU),huenda magu aliwakazia..ndiyo unaona Leo kanisa Lina miradi ya kukaanga maandazi na kukamua waamini
 
Wakatoliki hawawezi jitegemea,wamekua wakiweka mirija hazina tangu serikali ya mkoloni Hadi Leo,rejea kitabu Cha padre dk sivalon,kanisa katoliki na siasa za Tanzania,mwaka 1992 wakaamua kuingia mkataba kabisa na serikali (MoU),huenda magu aliwakazia..ndiyo unaona Leo kanisa Lina miradi ya kukaanga maandazi na kukamua waamini
Kuna nchi Ulaya wanatoa 10% ya bajeti ya serikali kusaidia kanisa, ndio nguvu ya wakatoliki, Ila baada ya kianguka ukominist miaka ya 90, misaada mingi kutoka magharibi ikaelekezwa Ulaya mashariki, ikabidi makanisa ya Africa yaanze kujitegemea kwa sehemu kubwa, ndio michango ikaanza, Ila hakuna miradi ya kuuza mandazi, kanisa halijafika huko
 
Kuna nchi Ulaya wanatoa 10% ya bajeti ya serikali kusaidia kanisa, ndio nguvu ya wakatoliki, Ila baada ya kianguka ukominist miaka ya 90, misaada mingi kutoka magharibi ikaelekezwa Ulaya mashariki, ikabidi makanisa ya Africa yaanze kujitegemea kwa sehemu kubwa, ndio michango ikaanza, Ila hakuna miradi ya kuuza mandazi, kanisa halijafika huko
Parokia ya Mt benadeta kule nzega wanachoma maandazi,unabisha nini!?
 
Watu wanajitoa tu akili lakini Rumi na Jesuit wana nguvu sana duniani
Nguvu watoe wapi wewe,hao Wala Kodi tu za serikali,wangekua na nguvu wasingevutwa kuutambua ushoga Bali wangeuaukuma mbali,lile ni corporate tu Kama Lockheed Martin nk
 
Back
Top Bottom