Hapo ni ishu ya wiziLakini watuambie ukweli mlevi aliwezaje kuharibu mfumo wa CCTV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni ishu ya wiziLakini watuambie ukweli mlevi aliwezaje kuharibu mfumo wa CCTV
Kuna uharibifu gani pale kanisa katoliki wameshindwa kugharamia hadi wasaidiwe? Kuna watu wanahitaji msaada sio kanisa.Haya mambo ya dini yatatuchelewesha sana
Papa hausiki.Kwenye"SIASA" nimekuelewa Ila sio wale wanaosema sijui papa
Naona ni kete ya kisiasa hiyo kaisogeza vizuri unaweza kuta hata tukio lenyewe ni planned tangu mwanzoYani serikali inachangia nini wakati pale hata milioni haifiki?
Mama awe siriaz kuna vitu kibao vya kuchangia
Eti wanasema rais kafanya vile kwakuwa analiogopa kanisa katoliki, pale zinapigwa siasa tuPapa hausiki.
😅😅😅 anaogopa kunyimwa kura na si kingine.Eti wanasema rais kafanya vile kwakuwa analiogopa kanisa katoliki, pale zinapigwa siasa tu
Ni salamu,vp alizitoa kwa wakristu wote?"Saramu" ni kitu gani hiko ?
Wakiristo wa humu Jf mbona Mnatia aibu kwa malalamiko mengi na kulialia pasipo na misingi yeyote awamu hii ? Haya salamu hizo sema kipi kimeongezeka kwako baada ya salamu hizo..Ni salamu,vp alizitoa kwa wakristu wote?
Wakatoliki hawawezi jitegemea,wamekua wakiweka mirija hazina tangu serikali ya mkoloni Hadi Leo,rejea kitabu Cha padre dk sivalon,kanisa katoliki na siasa za Tanzania,mwaka 1992 wakaamua kuingia mkataba kabisa na serikali (MoU),huenda magu aliwakazia..ndiyo unaona Leo kanisa Lina miradi ya kukaanga maandazi na kukamua waamini
Nguvu watoe wapi wewe,hao Wala Kodi tu za serikali,wangekua na nguvu wasingevutwa kuutambua ushoga Bali wangeuaukuma mbali,lile ni corporate tu Kama Lockheed Martin nk
Very TrueAma kweli mwenye nacho huongezewa. Kampeni hizi
Kuna watu wanakosa matatibu ya 2M lakini huwezi kumsikia akichangia hata mia matokeo yake Malisa ndiyo amekuwa mfariji wa wanyongeRais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo
RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo
Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo
Source ITV Habari
Ushawishi wa Kanisa Katoliki la Rumi ni mkubwa sana nchini na duniani kote katika masuala ya kijamii na kiuchumi. Ukiangalia kwa jicho la tatu, hata dini ya Kiislamu na BAKWATA, wao ni waasisi na wanawajibika katika mamlaka ya Upapa.
Nguvu watoe wapi wewe,hao Wala Kodi tu za serikali,wangekua na nguvu wasingevutwa kuutambua ushoga Bali wangeuaukuma mbali,lile ni corporate tu Kama Lockheed Martin nk
Kuna watu wanakosa matatibu ya 2M lakini huwezi kumsikia akichangia hata mia matokeo yake Malisa ndiyo amekuwa mfariji wa wanyonge
Ananunua magoli ya Yanga na Simba huku watanzania kibao wanateseka kwa kukosa pesa za matibabuHakuna mwanasiasa anayefanya jambo bila hilo jambo kuwa na maslahi ya kisiasa.
Hakuna kalenda ya RC,Ile ni elimu tu Kama ambavyo rc wametumia elimu za watu wasio rcWe endelea kurukaruaka kama popcorns ila ukweli unaujua,rc sio dini ni mfumo unao run dunia,kwaku anza tu unatumia kalenda zao hata miaka yako ya kuzaliwa inaandikwa kwa kalenda ya rc.
Siyo ya maandaziMbona miradi ilianza zamani Sana.
Hakuna kalenda ya RC,Ile ni elimu tu Kama ambavyo rc wametumia elimu za watu wasio rc
Hakuna kalenda ya RC,Ile ni elimu tu Kama ambavyo rc wametumia elimu za watu wasio rc