Utawala wa kanisa,mkuu wa nchi Papa,wanaofanya kazi za kitaalam ni wataalam,kalenda Haina uhusiano na ukiristoLeo tarehe ngapi mwaka gani mwezi gani?na uniambie unatumia hizo tarehe kutoka kalenda gani iliyoasisiwa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala wa kanisa,mkuu wa nchi Papa,wanaofanya kazi za kitaalam ni wataalam,kalenda Haina uhusiano na ukiristoLeo tarehe ngapi mwaka gani mwezi gani?na uniambie unatumia hizo tarehe kutoka kalenda gani iliyoasisiwa na nani?
Kwani Samia amechangia kama muislam au kama RaisKuna uharibifu gani pale kanisa katoliki wameshindwa kugharamia hadi wasaidiwe? Kuna watu wanahitaji msaada sio kanisa.
Waislam na wakristu hawajawahi kupendana....unafiki tu .
Huon wananyenyekeaBangi bila kula hizi
Kachukua Hard disk yenye dataKwani aking'oa nyaya na kamera zenyewe anakuwa hajaharibu mfumo wa ulinzi? Mnaulizaga maswali ya kipopoma sana!
Hivi wakisema kulinajisi kanisa wanamaanisha nini? Naomba kueleweshwaHuyo wanayetunyesha kuwa ndiye mhalifu ni maigizo tu, hawasemi walimpataje, na kama ni ulevi mbona hakupiga kelele wakati anavunja na kunajisi
Hivi unawafahamu wanasiasa wakitaka jambo lao? Hata mtoto mdogo wanamwamkia, wanasiasa walishawahi kumwagilia mmea kwenye mvuaHuon wananyenyekea
DesacralizatioHivi wakisema kulinajisi kanisa wanamaanisha nini? Naomba kueleweshwa
DesacralizationHivi wakisema kulinajisi kanisa wanamaanisha nini? Naomba kueleweshwa
Uzushi tu huu.Yasemekana kwenye kanisa hilo kuliwekwa baadhi ya vitu na kumbukumbu za jiwe. Mhalifu hakufurahishwa na maamuzi hayo
Marekani hawezi kuwakoromea?Mkuu wewe kubali kataa lakini hao jamaa wana influence kubwa sana na hakuna nchi hapa duniani inayoweza kuwakoromea kila nchi ni washirika wake hata uko arabuni kwa masheikh
Mimi Kenge?Kwani Samia amechangia kama muislam au kama Rais
Hizi roho mbaya zenu si muombe mfe mpumzike
Yeye Raisi sio wa kigango Wala sio Raisi wa msikiti kenge nyie