Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Mkuu wewe kubali kataa lakini hao jamaa wana influence kubwa sana na hakuna nchi hapa duniani inayoweza kuwakoromea kila nchi ni washirika wake hata uko arabuni kwa masheikhNguvu watoe wapi wewe,hao Wala Kodi tu za serikali,wangekua na nguvu wasingevutwa kuutambua ushoga Bali wangeuaukuma mbali,lile ni corporate tu Kama Lockheed Martin nk
Jiwe hakuwa jimbo la Geita bali Rulengw-NgaraYasemekana kwenye kanisa hilo kuliwekwa baadhi ya vitu na kumbukumbu za jiwe. Mhalifu hakufurahishwa na maamuzi hayo
Pongezi kwa Mh.RAISRais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo
RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo
Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo
Source ITV Habari
"Saramu" ni kitu gani hiko ?John hivi mama alitoa saramu za mfungo kwa wakristu wote?
Walinzi wa usalama wa raia na mali zao ungetosha. Mengine ni siasa.Rais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo
RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo
Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo
Source ITV Habari
Mkuu acha kuzungumza kama umekatwa kichwa uislamu unawajibika kwa papa? papa yupi huyu shark au?.Ushawishi wa Kanisa Katoliki la Rumi ni mkubwa sana nchini na duniani kote katika masuala ya kijamii na kiuchumi. Ukiangalia kwa jicho la tatu, hata dini ya Kiislamu na BAKWATA, wao ni waasisi na wanawajibika katika mamlaka ya Upapa.
Kuna kodi za wakristo pia serikalini.Mlevi alishawahi hudumu kwenye Hilo kanisa,kinachoshangaza ni serikali kugharamia ujenzi wa kanisa...pesa za Kodi za waislam zitagharamiaje ujenzi wa kanisa!?
Mambo ya diplomasia hakuna offence, ila dini na mfumo ni mbali mbingu na ardhi na wao ni maadui tangu kale mpaka qiyamah.Mkuu wewe kubali kataa lakini hao jamaa wana influence kubwa sana na hakuna nchi hapa duniani inayoweza kuwakoromea kila nchi ni washirika wake hata uko arabuni kwa masheikh
Kuna nchi Ulaya wanatoa 10% ya bajeti ya serikali kusaidia kanisa, ndio nguvu ya wakatoliki, Ila baada ya kianguka ukominist miaka ya 90, misaada mingi kutoka magharibi ikaelekezwa Ulaya mashariki, ikabidi makanisa ya Africa yaanze kujitegemea kwa sehemu kubwa, ndio michango ikaanza, Ila hakuna miradi ya kuuza mandazi, kanisa halijafika huko
Kwani aking'oa nyaya na kamera zenyewe anakuwa hajaharibu mfumo wa ulinzi? Mnaulizaga maswali ya kipopoma sana!Lakini watuambie ukweli mlevi aliwezaje kuharibu mfumo wa CCTV
Wapo wataosema mama ni mdiniRais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo
RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo
Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo
Source ITV Habari
Tuseme ukweli hii nchi tangu tupate uhuru huyu ndiye rais tumempata Sasa, siipendi ccm na sijawahi kuipenda Ila naunga mkono apige 5 nyingineRais Samia amemtumia pole Askofu wa Kanisa Katoliki Geita kufuatia uvamizi wa Wezi ulipotokea Kanisani hapo
RC Martin Shigella na RPC Sophia Jongo walimwakilisha Rais Samia katika kukagua uharibifu uliotokea Kanisani hapo
Shigella amesema Serikali itachangia gharama za ukarabati wa Kanisa hilo
Source ITV Habari
Tuwe wakweli jamani hivi yangetokea hayo msikitini serikali isinge gharamia? Wanasiasa ni hatari mzeeWatu wanajitoa tu akili lakini Rumi na Jesuit wana nguvu sana duniani
Bangi bila kula hiziMkuu wewe kubali kataa lakini hao jamaa wana influence kubwa sana na hakuna nchi hapa duniani inayoweza kuwakoromea kila nchi ni washirika wake hata uko arabuni kwa masheikh