Serikali kuilipa Symbion Tsh Billion 356

Huyo Mungu wako jiwe unayemwabudu pia alikuwa Mwizi. wewe mwenyewe mtu akikosea mwamala akatuma kwenye simu yako unakimbia haraka kwenda kuutoa na kwenda kwenye mataputapu.
Sasa Jiwe kaingiaje hapa!? Mwacheni Marehemu apumzike zake,Kesha maliza yake hapa Duniani,kazi imebaki kwetu na sisi kusubiri zamu zetu za Umauti kutufikia!!
 
Tamaa, Apes nature hata yale Machipanzee huwa yanawazuia wenzao kula matunda pori mti mzima linahodhi limoja na kutoa kibano cha haja kwa yeyote atakae gusa mti.
ushamba wa hela sio mzuri kabisa
 
hata Ya Barrick mlisema hivyo hivyo wataenda MIGA je yaliishia wapi?
 
Kwani sheria inasemaje ulivunja mkataba bila kufuata taratibu mlizowekeana??
Maana nakumbuka kipindi cha jpm walilipa kimya kimya ili ndege ziachiwe...
Sass kama mmevunja mkataba why mtu asidai chake. Hata wewe mtu avunje mkataba ambao mmekubaliana kihuni lazima udai fidia. Na si ulivunjwa kipindj cha Jpm maana yeye ndio alikuwa bingwa wa kutofuata sheria. Akizani anamkomoa Mzungu.....
 
 
Angekuwa shujaa saizi si angekuwa Ikulu? Tatizo hakuwa na akili πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Bora ziende tuu kuliko zilivyokuwa kwa sukuma gang wala hazikutusaidia.
 
Kwa hiyo awamu ya sita ndio ilivunja mkataba mnavolalamika hapa kuwa awamu ya sita haifai?
Kuna watu sijui mnwazia kupitia naniliu!
Dawa ya deni ni kulipa,afu unakuta mama kakwama kwenye mambo yake Kisa upuuzi wa sukuma gang walipokuwa madarakani so kaamua ku clear mess
 
Kipindi Cha jpm kulikuwa na maendeleo gani zaidi ya kuwafanya vijana machinga waliosoma na wasiosoma hakuna tofauti.
Hili ndio swali huwa nawauliza watu watuambie hayo Maendeleo yaliyokuwepo ni yapi maana naona kufa kwake kumefungua maendeleo kuliko ilivyokuwa sasa watusaidie maana hata miradi hakuna hata mmja alikamilisha.
 
Moja ya swali zuri, yaani ukiangalia wapiga kelele huko nje si tuu wako disorganized na Wana migogoro isiyoisha zaidi ni wezi wanaopiga makelele kwa sababu wako Nje ndio maana walifoka bei na hawawezi kurudi..

Nani wa kuongoza Tzn kwa sasa zaidi ya CCM?
 
Huwezi kataza kampuni kutoa mgao,hiyo ni wenyewe ..Swali la msingi ni je kwani hawakutoa huduma ya umeme? Pili kwa nini ulikiuka mkataba uliosaini mwenyewe?

Lipeni deni Mzee Ili next time mpate akili...

Hii Nchi kuna watu wajinga Sana,watu walikuwa wanadanganya wananchi eti tunajenga kwa pesa zetu sio mikopo kumbe Hali halisi iko hivi πŸ‘‡,,huu si ni upopoma huu.

 
Kwani hawakutoa huduma waliyokubaliana kwenye mkataba?
 
Mbona sukuma gang walileta kampuni feki za kujenga Bwawa hamsemi,VP alilisema hili na akaongesea wanacvm ndio wanahujumu Bwawa..

Hao hao sukuma gang walipiga dili kwenye Mradi wa bandari ya Tanga mko kimya nk..

Msemaji wao amekwiba maelfu ya ekari za wanavijiji Huko Morogoro na mko kimya..

Acheni ufala kabisa πŸ‘‡

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…