inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Aibu South Africa kuwa rejea yako ya kukwepa ufisadi na kupata uongozi Bora...Africa nchi fisadi ni Nigeria,South Africa na kenyaNdio sababu watu wanataka katiba mpya. Itatuongoza namna nzuri ya kupata viongozi na namna nzuri ya kuwatoa wakiboronga. Refer to S/Africa.