Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yake?? Soma vizuri, yeye ni mtoa taarifa.Leo sasa Lucas ndio umeiandika kitu cha maana sana naunga mkono hoja yako
Kwani ccm iliwahi kuwa na kiongozi asiye msikivu?Wala usijali.endelea kuwa na imani na Mheshimiwa Rais wetu maana ni mama Msikivu sana
Aonwe mara ngapi? Ameteuliwa kwa kazi hiyo, na sasa kuna bongo fmLucas Punguza Siasa.
Lakini nakuombea Mama na kamati za TEUZI zikuonene. ni chawa Mzuri na kada Mtiifu kwenye Chama Chetu.
all the best Lucas Mwashambwa.
Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na jukumu la kutoa taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma kwa usahihi,wakati na kwa uaminifu mkubwa..ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
Inamaana sikuhizi kazi ya hazina ni kutumza mafaili ya Uteuzi na sio utumishi Tena da!?😁😁😁Sawa...na uteuzi viongozi ufanyike
Kimakini sana
Ova
SawaHoja yake?? Soma vizuri, yeye ni mtoa taarifa.
Kwanza unafahamu majukumu ya hazina? Unafahamu kuwa mashirika na taasisi za umma zinatakiwa kufuatiliwa na kupimwa utendaji kazi wake na nani?Inamaana sikuhizi kazi ya hazina ni kutumza mafaili ya Uteuzi na sio utumishi Tena da!?😁😁😁
Kwani siku hizi TISS inafanya kazi gani?? Au katika awamu ya Sita TISS haiaminiki tena?? Kama ni hivyo basi ndo maana mama anakosea Kila siku!! Nehemia acha utetezi usio na maanaNdugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.
Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.
Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.
Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
TISS Wana kazi gani wewe Kunguru?Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na jukumu la kutoa taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma kwa usahihi,wakati na kwa uaminifu mkubwa..ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
CCM ndio tanuri la kupika viongozi waadilifu na wachapa kaziSidhani kama Chama pendwa kitaukubali huo mfumo!
Hata mimi nakubali!CCM ndio tanuri la kupika viongozi waadilifu na wachapa kazi
Kama ni hivyo huo mfumo unakuja Kwa ajili ya makada wa CCM?CCM ndio tanuri la kupika viongozi waadilifu na wachapa kazi
Watakuteua tu tulia kama dada yako spikaNdugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.
Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.
Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.
Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani kavizuia? Acheni tabia za kibazaziTuache vyombo vya dola vifanye kazi yake.