Mbona huo mpango hata huja uona halafu una upinga? Labda ni maboresho tu ya mipango iliyopo unajuaje?Magufuli alitoa sababu,kuwa gesi pamoja na kuwa yetu tunainunua kwa bei kubwa Maana iliisha uzwa zamani, Ndio Maana kaamua kuanzisha mradi mwingine wa kutupatia umeme wa kutosha tena kwa bei nafuu.Sasa hawa majambazi wanaturudisha kule tulikokuwa tuna pakimbia.Mungu atawapiga raana tu acha watuibie tu.
Mkuu lini unaanzisha machafuko ili tukuwahi kabla hujaleta madhara?Kama mradi wa umeme wa gas Magufuli aliupotezea na tukakaa kimya, hawa wengine watashindwa vipi kuutelekeza huu wakwake wa maji? Ingekuwa wanakaa madarakani kwa box la kura wangeogopa wananchi, lakini hii ya kukaa madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola watafanya watakalo. Bila machafuko hatuwezi kurudi kwenye mstari.
System ikiamua anaweza kuwa Rais na akaongoza vizuri tu.kwani Mama na Nape nani? Mwenye ushawishi kisiasa mbona anaweza?Kwani kuna tatizo la umeme?
Si kasema jana tu kuwa hii katakata ni "service" tu ambayo haikuwahi kufanyika kwa miaka mitano.
Nadhani hii wizara inahitaji mtu serious siyo watu wa porojo sampuli ya Makamba.
Mkuu lini unaanzisha machafuko ili tukuwahi kabla hujaleta madhara?
Wrong msgSystem ikiamua anaweza kuwa Rais na akaongoza vizuri tu.kwani Mama na Nape nani? Mwenye ushawishi kisiasa mbona anaweza?
TunakusubiriUsiku wa leo, na niko hapa ubungo external.
Sh trillion 4 na kitu ,anasema anakuja na mpango mpya, kwanini asiseme ana Mpango wa kumalizia hilo bwawa ili tuweze kupata umeme wa uhakika, maana hizo ela zinamaliza hilo bwawa na kubaki, Makamba ni fisadi anatafuta ela ya kuonga ili apate urais.Mbona huo mpango hata huja uona halafu una upinga? Labda ni maboresho tu ya mipango iliyopo unajuaje?
Tunakusubiri
DuuhSystem ikiamua anaweza kuwa Rais na akaongoza vizuri tu.kwani Mama na Nape nani? Mwenye ushawishi kisiasa mbona anaweza?
Umesikiliza hotuba yake bungeni kuhusu hili?Sh trillion 4 na kitu ,anasema anakuja na mpango mpya, kwanini asiseme ana Mpango wa kumalizia hilo bwawa ili tuweze kupata umeme wa uhakika, maana hizo ela zinamaliza hilo bwawa na kubaki, Makamba ni fisadi anatafuta ela ya kuonga ili apate urais.
Kumbe!?Mimi sisubiriwi na wanawake.
Huo ubongo ni mzigo kichwaniAcheni watu walambe asali ndo muda wao huu.nanyi tafuteni muda wenu wakulamba asali
Makamba ni certified thiefHahahah Manyoka nyoka tu! Makamba bwana taahira kweli!