joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wewe ndio huna unacho kijua, wewe unazani huyo mwekezaji anafanya kazi ya kanisa, huna ubavu wa kucontrol hiyo mitambo, halafu unazani mzungu mjinga aweke 70tn halafu kwenye mkataba aweke terms za kijinga.Narudia tena, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Mitambo sio yake, bali yeye anawekeza kwenye uchimbaji wa gas. Na huyo muwekezaji ameingia mikataba, akizingua hatua zinachukuliwa dhidi yake. Au unadhani ni suala la kuamua tu kuzuia gas?
Wee ndio mweupe hata design simple za electrical systems huzijui.Ndio maana nilikuambia huna ujualo.
Kuhusu mwekezaji kuchukuliwa hatua tena hao wa gesi sahau.
Dowans tu pamoja na utapeli waliowafanyiaa tanesco, na mkataba ukavunjwa Ila mwisho wa siku Tanesco walilipa billion of money.
Nakubaliana na wewe serikali ikicontrol sio ndio kuwa na Bei nafuu.Kwani hiyo gas akichimba muwekezaji ndio serekali inapoteza control? Nani kakuambia serikali ikikontrol bei ndio inakuwa nafuu?
Hii nakubaliana na wewe, Dowans tu kampuni ya mfukoni tulikosa control Tanesco wakawa wanalipa pesa nyingi kila siku.Wewe ndio huna unacho kijua, wewe unazani huyo mwekezaji anafanya kazi ya kanisa, huna ubavu wa kucontrol hiyo mitambo, halafu unazani mzungu mjinga aweke 70tn halafu kwenye mkataba aweke terms za kijinga.
Mkuu hiyo mikataba sasa ndio haipo na haijawahi kuwepo.Kwa hiyo mikataba ya kificho hilo ni sawa, ila mkataba usio na hila wala maslahi binafsi kwa viongozi, hatua zinachukuliwa vizuri tu ndugu.
Tindo 👆👆 tizama hii comment iliyobeba mfano halisi.Hii nakubaliana na wewe, Dowans tu kampuni ya mfukoni tulikosa control Tanesco wakawa wanalipa pesa nyingi kila siku.
$1.9b ni sawa na TSH 4.4TMradi upi huo?
Mradi pekee utakaotatua tatizo la umeme Tanzania ni Julius Nyerere Hydropower Project. Huu ukijumlisha na miradi ya gesi ya Kinyerezi, itakuwa ni suluhisho la kudumu la uhaba wa umeme nchini, wakati huo huo, mpango mkakati wa muda mrefu ukiwa Power Sufficiency kwa kuweka emphasis zaidi kwenye CHEAP SUSTAINABLE POWER GENERATION. Hii ni Afya both kwa local economy pamoja na kuvutia wawekezaji wa nje hususani viwanda vikubwa vinavyohitaji umeme mwingi lakini wa bei nafuu.
Kinyume na hapo ni matumizi mabaya ya rasilimani fedha yatakayozidi kuongeza madeni na mwisho wa siku gharama kubwa kwa wananchi.
Unreliable Power Supply means inefficient overall economy.
CjuiKwani Crane imeshanunuliwa?
$1.9b unajua ni sawa na TSH ngapi?Shida yako wewe ni nini hasa? Unachotaka mradi utatue changamoto au Una nongwa zako?
Hiyo timu ipo kazini kuiba, tatizo la umeme wamelibuni wao na wanataka kulitatua wao. Watanzania wanatakiwa wafanye maamuzi magumu.
Kufua tuu bila mifumo ya distribution itakusaidia nini? Naunga mkono hoja.Mradi wa kukarabati miundombinu una thamani kubwa kuliko mradi wa kufua umeme? Hii kweli bongo
Bomba la gesi tu toka mtwara hadi dar ilikua trillion 2 tu
Na wewe unaamini utapata umeme Kwa bei nafuu? 😂😂.Magufuli alitoa sababu,kuwa gesi pamoja na kuwa yetu tunainunua kwa bei kubwa Maana iliisha uzwa zamani, Ndio Maana kaamua kuanzisha mradi mwingine wa kutupatia umeme wa kutosha tena kwa bei nafuu.Sasa hawa majambazi wanaturudisha kule tulikokuwa tuna pakimbia.Mungu atawapiga raana tu acha watuibie tu.
Hao watu ni mavi ya paka achana nao Wana chuki za kipumbavu.Mbona huo mpango hata huja uona halafu una upinga? Labda ni maboresho tu ya mipango iliyopo unajuaje?
Aibu ya nini sasa?Daah Jamaa hana aibu kabisa aisee.
Wewe umekatazwa kupiga deal?Deal! Deal! Deal!
Ni ajabu kwa kweliMakamba simtetei ila mtu ata haja sikiliza alicho sema na kudhibitisha tayari ana hukumu.
Wewe nae na wengine ni wajinga na hopeless kabisa.Hivi huu mradi wa bwawa la Nyerere wanaukwepea nini kuumalizia?
I am just thinking loud.Umeme utakao kuwa generated na Bwawa la Nyerere utategemea upatikanaji wa mvua.Tunajua kuna tatizo la Climate Change, na mvua inapungua kila kukicha,sio Tanzania tu,bali worldwide.Je,hili Bwawa halitakuwa a White Elephant huko baadae?Why didn't we invest in Thermal Electric Power instead.Was it an oversight or what.Mradi upi huo?
Mradi pekee utakaotatua tatizo la umeme Tanzania ni Julius Nyerere Hydropower Project. Huu ukijumlisha na miradi ya gesi ya Kinyerezi, itakuwa ni suluhisho la kudumu la uhaba wa umeme nchini, wakati huo huo, mpango mkakati wa muda mrefu ukiwa Power Sufficiency kwa kuweka emphasis zaidi kwenye CHEAP SUSTAINABLE POWER GENERATION. Hii ni Afya both kwa local economy pamoja na kuvutia wawekezaji wa nje hususani viwanda vikubwa vinavyohitaji umeme mwingi lakini wa bei nafuu.
Kinyume na hapo ni matumizi mabaya ya rasilimani fedha yatakayozidi kuongeza madeni na mwisho wa siku gharama kubwa kwa wananchi.
Unreliable Power Supply means inefficient overall economy.