Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Ushajiuliza huyo mwekezaji 70tn atairudisha vipi na kwa miaka mingapi? Huwezi fananisha hela ya kwako na ya mwekezaji,hela ya mwekezaji huwezi kuicontrol bei ataamua na kupanga yy gesi aiuze kwa shilingi ngapi.

Bwawa la Nyerere gharama zake sio 8tn,hata ikiwa 8tn je ni sawa 70tn ambayo hapo ni uchimbaji, bado hutengeneza miundo mbinu ya kuichakata hiyo mitambo, hapo bado kusambaza hayo mabomba, ikiwe mpaka kufika dar 1.3tn, vip kwa mikoa mingine bado hatuja zungumzia mitambo kuichakata hiyo gesi.
Wewe ni mjinga mmja hivi, mwekezaji anazalisha LPG kwa matumizi ya ndani na hada exports.

Tzn itakuwa exporter wa gas na tutapata si tu mirahaba bali forex za kuzidi..

Sasa hili has nothing to do with Bwawa la Nyerere na upuuzi mwingine ulioandika hapa.
 
January amewekwa na wapigaji. Kitu kikubwa ni kutunga miradi na kandarasi za kula hela za tanesco. Hawezi kubali mipango ya kienyeji ya ukarabati na taratibu ya repair and maintance alizokuta. Hapo ni mkopo utatafutwa kutia deni nchi bila ulazima kwa kujua watakula hela hiyo kupitia kandarazi kupitia rushwa na cha juu.
Walaaniwe anti magufulist wote.
Wa kwanza kulaaniwa yuko chini ya kifusi 🤭🤭
 
Sawa mkopo ila bei itacontrol serikali, hiyo 70tn bei ata control nani kama sio mwekezaji?

Brother hata knowledge ya maswala ya ufundi hauna, system za electrical lazima ziwe na backup, what if Kinyerezi siku ikidondoka ipi itakayo lisha umeme?

Wewe unazani nchi zilizo endelea zina power plants moja tu ya gesi au nuclear, lazima unapo design backup lazima iwepo incase ikatokea moja imedondoka nyingine zina endelea kuserve.
Hivi mnaelewa mnachoongea nyie kweli?
 
Naanza ku feel kua kweli tumefiwa. Angekuwepo haya yasinge jitokeza.

Naanza kudhani kua pale ikulu Pana levya Sana.

Si amini kua huyu Bibi anaweza kutugeuka kiasi hiki.

Naombeni CCM 2025 tuleteeni Chuma hasa.

Msipo fanya hivo, picha na maneno ya marehemu yatawapa tabu Sana.

Mtashangaa kura zinapigwa upande ule.

Sipati picha Polepole akiamua kua kocha wa upande ule, tutaibaje Sasa.

Dol wataweza kweli kufaulisha masanduku.

H#tag, pumzisha huyu Bibi#
 
Wewe ni mjinga mmja hivi, mwekezaji anazalisha LPG kwa matumizi ya ndani na hada exports.

Tzn itakuwa exporter wa gas na tutapata si tu mirahaba bali forex za kuzidi..

Sasa hili has nothing to do with Bwawa la Nyerere na upuuzi mwingine ulioandika hapa.
Sawa mpuuzi hiyo LPG kwa matumizi ya ndani atakupa bure. Akupe mrabaha kabla ya kurudisha 70tn hamna mwekezaji atakaye fanya biashara hiyo ya kipuuzi.
 
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.

Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.

Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?

Huyu dogo si wakina Mpina wampe vitasa vilivyoshiba bungeni…wanamchelesha wa nini
 
Tanesco imekuwa inaendeshwa kwa miaka mingi kwa sababu ya operational costs, Poor management etc
January ataibadilisha Tanesco. Mpeni muda na mgawo utakuwa historia!!
 
Wewe ni mjinga mmja hivi, mwekezaji anazalisha LPG kwa matumizi ya ndani na hada exports.

Tzn itakuwa exporter wa gas na tutapata si tu mirahaba bali forex za kuzidi..

Sasa hili has nothing to do with Bwawa la Nyerere na upuuzi mwingine ulioandika hapa.


Hio gesi ni ya kwako unayo export
 
Back
Top Bottom