Serikali kukaa kimya kwa kauli 'Tutaingia barabarani" na hakuna kukamatwa kwa uchochezi. Tundu Lissu kashaiingiza Serikali kwenye mfumo

Serikali kukaa kimya kwa kauli 'Tutaingia barabarani" na hakuna kukamatwa kwa uchochezi. Tundu Lissu kashaiingiza Serikali kwenye mfumo

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Kwa sasa hahitaji hata kuomba kibali cha mkutano ni kusema TU. Polisi njooni mnilinde nina mkutano. Hata Heche juzi kamwambia RPC huko Tarime huna uwezo tena wa kuniweka ndani. Kwa Sasa ni makamu m/kiti wa Chama Kikuu cha Upinzani. Ukinikamata yowe itapigwa dunia nzima.
 
CCM wanajuta Mbowe kuendesha uchaguzi huru na haki. Hata wabunge wa CCM wataacha kumtukuza Rais na kugeukia wananchi. Kura ikiwa na nguvu kuwaingiza madarakani.
 
Ni kama kuangalia movie ileile kila baada ya miaka mitano....

DeJa vu..
 
Wanaccm wanatakiwa kumuunga Lissu mkono,kuondoa mateso wanayokumbana nayo kupitia uongozi wa juu wa CCM
 
Back
Top Bottom