Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Safi sana,Kama Yule Zuzu tu sasahivi anawatoa shimoni kila kona,Wakirudi hawa Makamanda lazima Hangaya arudi kwao Bububu huko
 
Lisu na Lema awawezi kurudi bongo wale ni wanasiasa kama kuna anaewaamini wanasiasa wa bongo basi ajijue kabisa kama ajui.
 
^➢ Mchakato wa Katiba Mpya usiendelee badala yake yaangaliwe mambo machache yanayolalamikiwa sana na hayo ndio yashughulikiwe. Aidha, Katiba Inayopendekezwa ifanyiwe marekebisho na kupitishwa badala ya kuanza mchakato upya;^
Je ni mimi pekee sijaelewa? Naona aya hii inaukinzani.
Hayajakinzana na ni mambo mawili separate kabisa yaliyopendekezwa kufanyika simultaneously ila kwa nyakati tofauti na mkutano ule ulioitwa "wa wadau wa siasa" lakini ukiwa chini ya uratibu wa Msajili wa Vyama & Baraza la Vyama vya siasa uliofanyika Dodoma siku chache zilizopita....

Ili uelewe kirahisi, tunaweza kuyaweka kwa namna hii;

1. KWANZA, kwa sasa tuachane na mchakato wa madai ya katiba mpya, badala mambo yaangaliwe mambo machache yanayolalamikiwa ndiyo yashughulikiwe...

Mfano: Tume Huru ya Uchaguzi (NEC)

2. PILI, baadaye sasa huko mbeleni ndipo mambo ya "katiba mpya" yashughulikuwe LAKINI tuendelee na KATIBA PENDEKEZWA iliyopitishwa na Bunge maalumu la Katiba na kwenye hiyo hiyo Katiba Pendekezwa, kufanyike marekebisho fulani fulani...

Mimi ndivyo nilivyoelewa na naona hakuna contradiction yoyote ISIPOKUWA naweza kusema ni pendekezo la HOVYO na la KIJINGA....!!
 
Mlopokaji kalopoka kama ilivyo kawaida yake nimesoma yote nimebaini kuwa mtu huyu ni mpenda sifa kwa hiyo kizuri mpaka akifanye yeye akifanya mtu mwingine atamopnda tu mambo aliyakosoa ni mengi kama si yote ila ni kichaa pekee yake ndiyo anaweza kuyaamini yote aliyoyasema
 
Amehakikishiwa usalama? Au nini kimetokea
 
Lisu na Lema awawezi kurudi bongo wale ni wanasiasa kama kuna anaewaamini wanasiasa wa bongo basi ajijue kabisa kama ajui.
Lissu anaweza kurudi ila Lema hawezi kurudi kamwe sababu ya madeni makubwa aliyonayo.
 
Believe me washafunikwa kitambo

..hotuba imegusa kila angle.

..it has a good intro.

..ina data mbalimbali.

..ina quotes / nukuu toka watu wengine maarufu ikiwemo Mama Ssh, Mzee Jk, Albert Einstein

..pia ina mwisho mzuri au imemaliza with a punch.

..hivi ndivyo hotuba za national figures zinavyotakiwa kuandikwa.

..Kama ni kutoa KASORO nitasema ni ndefu. Ilitakiwa iwe more compact.

Cc Nguruvi3
 
Back
Top Bottom