Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Hotuba kama hizi ni Brain Nutrition
 

Lissu bure kabisa. Ndiyo maana amekuwa mmoja wa mifugo ya wazungu!

This book may be good for the nyumbus. Otherwise, independent thinkers do not buy criticisms; they buy solutions to problems. It’s funny that a high ranking leader of a major political party would offer to his countrymen and women a compendium of criticisms rather than a set of practical solutions to their problems.

This isn’t the kind of leadership we crave!
 
Akili yako haiko sawa, soma tena ulichokiandika.
 
Bei ya mchele ilikuwa ni 1000 - 1300 kwa zaidi ya mwaka mmoja mpaka pale aliposhika hatamu mama yenu, hapo kwenye sukari sidhani kama ni ukweli.


Kimsingi vitu vyote vimepanda kwahiyo hakuna utaofauti wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, Mchele haukuwa bei hiyo at least kwa bei za mchele mijini. Labda anazungumzia bei za mashambani Ifakara, Rukwa, Shinyanga nk. Hotuba nzuri lakini kuna upotoshwaji wa kitakwimu.
 
Kila siku mwendazake na wanakosoa kila kitu unajiuliza hivi yeye angefanyeje kwanini wasijikite kwenye changamoto yaan saiv hii nchi kazi ipo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli, Mchele haukuwa bei hiyo at least kwa bei za mchele mijini. Labda anazungumzia bei za mashambani Ifakara, Rukwa, Shinyanga nk. Hotuba nzuri lakini kuna upotoshwaji wa kitakwimu.
Mwanza mchele ulikuwa Tsh 1100 - 1300 kwa kipindi kirefu tu, mimi mpaka sasa bado nina gunia moja store kwangu ambalo nililinunua kwa hoyo bei.

Kwahiyo naongea kitu ninachokijua.
 
Rubbish
 
Mwanza mchele ulikuwa Tsh 1100 - 1300 kwa kipindi kirefu tu, mimi mpaka sasa bado nina gunia moja store kwangu ambalo nililinunua kwa hoyo bei.

Kwahiyo naongea kitu ninachokijua.
Kwahiyo tunakubaliana kuwa Lissu anazungumzia bei za mikoani (mashambani) au? Hizo bei za 1100-1300 ni bei za jumla katika maeneo ya uzalishaji. Namkubali sana Lissu ila kwenye takwimu kuna upotoshaji mkubwa tu karibu katika bidhaa zote ikiwemo sukari. Nakumbuka hiyo ni be kabla 2015 sio 2020.
 
Ahahaha sikuwa najua kama mwanza mjini ni mashambani mkuu, na hâta kama ni mashambani bado anaizungumzia Tz ileile. Kwanza kimsingi vitu kupanda bei mambo huanzia sehemu ya uzalishaji (huku mashambani) kwahiyo sijaona kosa lake kuzungumzia bei za mashambani.😅

Huku mashambani kama unavyodai mchele umeongezeka bei kutoka hiyo 1300Tsh hadi kufikia 2300- 2400Tsh, kwahiyo mantiki ni ileile vitu vimepanda, au kwenu huko mambo hajabadilika??

Diesel na Super je, mambo hayako kama alivyodai bwana LISSU?
 
Mkuu mfumuko wa bei unaanzia kwenye uzalishaji. Hapa Lissu kataja kwenye bei za walalahoi huko mikoani na vijijini. Huku Mjini Mchele sasa hivi 2500. Hii Bei Lissu angeitaja si ajabu ungepinga pia.
 
Kumbe nawe umeliona Hilo, pale alipoingiza jazba zake na Magufuli ndipo ilipoharibikia.
Wana CCM na jamii nzima ya watanzania wanajua Mwendazake aliwaharibia nchi kwa kipengele hicho. Lazima asemwe, hiyo ndiyo misumari. Ukiona unakerwa ujue ni mmoja wa waliokua wakimfurahia mtesi. Ukiona misumari kama hiyo acha kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…