Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Kama kawaida mzee wa MIGA amekuja na ujinga mwingine tena
 
Mkuu mfumuko wa bei unaanzia kwenye uzalishaji. Hapa Lissu kataja kwenye bei za walalahoi huko mikoani na vijijini. Huku Mjini Mchele sasa hivi 2500. Hii Bei Lissu angeitaja si ajabu ungepinga pia.
Hâta huku mwanza (mashambani kama anavyopaita yeye )bei ya 1300 tumeshaisahau, sasahivi ni 2400Tsh.

Mwaka huu hakukuwa na uzalishaji mkubwa wa mpunga hivyo tegemea kilo moja kufikia 3000Tsh Mwaka huu.
 
Hawa jamaa bna,[emoji23][emoji23], kama ndio kauli yake hiyo basi itoshe tu kusema huyu jamaa kuna mahala anakosea sana na wengi hawapendi kuona huyu mtu akikosolewa sabbu ya kukalilishwa kuwa CDM hawakosei[emoji23][emoji23]...
mnajipa matumaini
 
Ile ya mama yenu, inasema kwamba mwaka huu serikali yake imafanikiwa sana katika kuthibiti mfumuko wa bei.
Sijaisoma bado na pia sina agenda ya kulinganisha wawili hao, lakini mfumuko wa bei kwa sasa ni tatizo la kidunia zaidi. Imagine nchi kama Uturuki ambayo ni wazalishaji wazuri wa sehemu kubwa ya bidhaa zao, serikali ilibidi ioongeze mshiko kwa watumishi wake ili kukabiliana na hali hiyo.

On the other side, there are a very obvious economic reasons why price surge at this time, and for sure a non lamenting case, at least for Tanzania; thou quick remedial actions needed before a situation turns so worse.
 
Hotuba haina jipya imejaa majungu yale yale ya kila siku space na kwingineko kifupi hotuba mbovu tangu niwahi kumfahamu Lissu!
 
"Kila mkulima aliyenyang’anywa au kukopwa mazao yake; kila mfugaji aliyeporwa mifugo yake au maeneo ya kuichungia; kila mfanyakazi ambaye hajapata nyongeza yake ya mshahara au kunyimwa stahili zake nyingine; kila mwanafunzi aliyenyimwa haki yake ya kupata elimu bora na kila ...
 
Wana CCM na jamii nzima ya watanzania wanajua Mwendazake aliwaharibia nchi kwa kipengele hicho. Lazima asemwe, hiyo ndiyo misumari. Ukiona unakerwa ujue ni mmoja wa waliokua wakimfurahia mtesi. Ukiona misumari kama hiyo acha kusoma.
Kwa nini uongelee marehemu Mwaka mzima? Tulishasikia yte kuhusu mwendazake haswa chuki yake na Lissu, muda umefikia SASA jamaa aendelee mbele na Maisha mengine, sympathy ya kumsema haiwezi kuleta credit yyte, inabidi sasa jamaa aanze kuwin credit hata Kwa wafuasi wa mwendazake, kumuongelea muda wte kunafanya watu wajue kuwa Huyu jamaa akipata Urais atakuwa mtu wa kulipa visasi, kma hujanielewa hutonielewa tena.
 
Mungu naomba unisaidie mbona sina Imani na hii mijitu simpendi huyu mkimbizi ingawa hakuna kitu kibaya alichonifanyia! Kauli za uzandiki,kujenga chuki,uhasama na kashfa vinanifanya nimchukie kwa kiwango Cha kutamani kumleta mbele yako ili umpe adhabu anayostahili.

Nchi hii imezalisha wanasiasa na wafuasi wao wenye kufanya harakati za siasa kwa gharama yoyote na kila siku wanajimwambafai kwa maslahi Yao BINAFSI hawawezi kutupigania sisi wanyonge Bali ni kujipigania wao na rafiki zao au ndugu zao kwa kutumia koti la vyama.
 
Hadi nilicheka! Katika hotuba yake jana kasema baada ya kuuziwa vitambulisho feki serikali ikaanza kuwatimua mitaani!
Serikali nayo kwa utapeli imo!
 
Tundu lisu mtu mwenye hulka ya allogancy awe amiri jeshi, mbona tutakoma.
 
Lihotuba lirefu utafikiri mkeka ,,,for nothing akiwa Rais itakuwaje
 
... ndio ukwel wenyewe hajakosea! Nakumbuka RC's walivyovalia njuga wamachinga kulipia vitambulisho! Hivi ni sheria ipi ilianzisha vitambulisho vya machinga? Vinginevyo kama alivyosema Lissu ni zaidi ya utapeli!
 
Siipendi CCM lakini nathubutu kusema angalau kidogo Samia amepunguza baadhi ya matendo ya kikatili ukilinganisha na Magufuli.
 
Unajua sio vizuri kuwa mtu anasema ni mwenzetu wakati yeye analishwa na wazungu

Tukimwamini huyu jamaa tanzania itakuwa nchi mbaya sana

Tundu lisu ni MUONGO HOTUBA KAMA HII NI YA KUSIKILIZWA NA MABEBERU


TUNDU LISU SIO MWENZETU HATA KIDOGO


tunatakiwa tumpuuze hotuba maetoa rais haya waganga njaa hakuna watakachotusaidia siye watanzania

Mfano TUNDU LISU AMETUSAIDIA NINI MPAKA LEO TOFAUTI NA YEYE KUSAIDIWA NA NCHI NATHANI

CHADEMA NDIYO WANANUFAIKA NA MIRUZI YAKE
We mwenyewe na nchi yako yote mnalishwa na haohao wazungu, rejea mikopo mnayodaiwa na hao wazungu na namna mnavyoendelea kukopa kwa speed ya jet.
 
... ndio ukwel wenyewe hajakosea! Nakumbuka RC's walivyovalia njuga wamachinga kulipia vitambulisho! Hivi ni sheria ipi ilianzisha vitambulisho vya machinga? Vinginevyo kama alivyosema Lissu ni zaidi ya utapeli!
Na kuhoji uhalali wa vitambulisho ndiyo vilimpeleka Sugu jela.

Vilinzishwa kwa sheria ipi na hela zilikuwa zinaingia kwenya account gani?
Ila nchi hii wananchi wamepigwa sana chini ya CCM.
 
...huyu jamaa ccm wanamshinda kwasababu wana resources nyingi.

..lakini kama ni KIPAJI na BIDII jamaa amewazidi wengi ndani ya ccm.

..nawashauri Cdm wamtafutie Lissu a good economist atakayemnoa ktk masuala ya uchumi, fedha, na biashara.

..wengi tulimzoea Lissu kuzungumzia sheria ila sasa naona anazungumzia hata kilimo, uchumi, etc.
Kwa alichokiongea jana ni wazi kuna think tank ya uchumi itakuwa inamshauri, hata hivo mdogo wake Lisu ni mhadhiri wa uchumi so i think unaweza connect dots hapo..
 
Back
Top Bottom