Serikali kutangaza ajira mpya 32,000 wiki ijayo, Afya na Elimu kunufaika zaidi

Hiyo ni janja ili wasipandishe mishahara. Ni propaganda maana may mosi inakaribia.
 
Unamuamini jenester? Genester kweli unamwamini? Huwa simpendi ingawa simchukii
 
Na hao malaki kadhaa walioko kitaa wanawassidiaje kuweza kupata mkate wa kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…