peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ukumbuke. tanesco, pura, TPDC, madini, bandari, ewura, madini, gst, mifugo, kilimo, TARURA, Tanroads , mamlaka Za maji, viwanja vya ndege, Tanapa, tbs, osha, ardhi, sheria, viwanda, walimu, manesi, madaktari, phamasia, ujenzi, Jeshi, polisi, maendeleo ya jamii, gasco, TISS, misitu,Waziri Jenister Mhagama akitoa kauli ya Serikali bungeni kuhusu upungufu wa watumishi nchini, amesema Rais ameridhia na kutoa kibali cha kuajiri watumishi 30,000 na wiki ijayo atazitangaza...