Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Nchi haina uwezo wa kutoa ajira 32,000. Uongo ulio uchi.Siku hazigandi subiri tuone ukweli wao unasimamia wapi
Maneno haya utayaamini siku ya machaguo kutoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi haina uwezo wa kutoa ajira 32,000. Uongo ulio uchi.Siku hazigandi subiri tuone ukweli wao unasimamia wapi
Soma hapa 👇Naona safari hii wizara ya Utumishi wa Umma(Sijui ndo inaitwa hvyo🤣🤣) pamoja na waziri wake wamejistukia na wameamua kudirect kabisa hadi siku/wiki ambayo watatangaza hizi Ajira mpya na waziri wa Utumishi amesema Leo kuwa Ajira zitatoka wiki ijayo
Ila wadau tunataka tujue kuwa zitakuwa za kada tofautitofauti AU ndo kama ilivyozoeleka tu kuwa Serikali hii inaajiri watumishi wa Afya & Elimu tu sisi na haya makozi yetu mengine kama Engineering ya umeme, maji, ujenzi, Kilimo, mifugo, maendeleo ya jamii, uhasibu tuendelee tu na Mfungo wa Ramadhani Huku tukimuomba Mungu angalau ikikaribia 2025 nasi tukumbukwe..?
Huwa hamkosekaniPropaganda..subirini mfurahishwe.
#MaendeleoHayanaChama
Huwa hamkosekani,wiki ijayo haijafikaNchi haina uwezo wa kutoa ajira 32,000. Uongo ulio uchi.
Maneno haya utayaamini siku ya machaguo kutoka.
Uhandisi na kilimoToa mfano, ni sekta ipi inauhaba zaidi ya Afya na Elimu ?!
Kbsa shombe uko sahih hata elfu tano tu watupe ss wa koz mbadala tupigane vikumbo pale utumishiDaaah, kiukweli hakuna Fair, just imagine kuna jobless wa vitivo mbalimbali alafu Kila siku zikitoka Ajira tunasikia ni Afya na Ualimu.. inatusikitisha sana, Sasa sijui hawa wa Afya na Ualimu ndo wanaowapigia kura miaka yote..!!!
Frankly tunaelewa hizo ni sekta nyeti sana ndani ya Taifa letu.. Ila kwenye Ajira 32000, wanaweza kugawa hata hizo 10,000 zikawa za faculty tofauti ili tugawanegawane kidogo
Naona kataka kuwaweka watu AttentionNa kwa nini asingesubiri hiyo week ijayo ndio atangaze?
Toa mfano, ni sekta ipi inauhaba zaidi ya Afya na Elimu ?!
Waziri Jenister Mhagama akitoa kauli ya Serikali bungeni kuhusu upungufu wa watumishi nchini, amesema Rais ameridhia na kutoa kibali cha kuajiri watumishi 30,000 na wiki ijayo atazitangaza.
Hamna jema kabisaAjira zenyewe zinaishia kwa watoto wa vigogo! Watoto wa maskini wanaishia kumaliza Soli za viatu kuhudhuria interview 😒😒