Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu naye ni waziri mzigo.
Tena ni mbobezi haswaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mama atakuwa mshirikina sn, haiwezekani kila Rais akija ana mrudisha pale pale na wakati hakuna kitu anafanya zaidi ya usanii sanii
Nasoma comments zenye watu wenye WIVU, CHUKI na ROHO MBAYA.Waziri Jenister Mhagama akitoa kauli ya Serikali bungeni kuhusu upungufu wa watumishi nchini, amesema Rais ameridhia na kutoa kibali cha kuajiri watumishi 30,000 na wiki ijayo atazitangaza.
Waziri Jenister Muhagama: Nasimama hapa kwa heshima kubwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninaomba niwaarifu waheshimiwa wabunge, mheshimiwa Rais na Serikali yake wametambua tatizo hili la uhaba wa watumishi na hasa kwenye miradi ya sekta ya afya na sekta ya elimu na hivyo basi, mheshimiwa Rais ametoa kibali, ahadi ya Serikali katika mwaka huu wa fedha ilikuwa tuajiri watumishi elfu 44.
Tayari Serikali ilikwisha kuajiri watumishi wapya na watumishi wa ajira mbadala 12,000. Niwathibitishie wabunge, mheshimiwa Rais ameridhia na wiki ijayo nitatoa tangazo Rasmi la ajira 32,000 na utaratibu wa ajira hizo na mgawanyo wake katika sekta ambazo zinaongoza kwa uhaba wa watumishi, maelezo yote nitayatoa wiki ijayo.
===========================
Serikali imeyangaza kuwa itataoa ajira za watumishi 32,000 ambapo miradi ya afya na sekta ya elimu ndiyo watakaokuwa wanufaika wakubwa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Jenista Mhagama ameyasema hayo Bungeni leo Aprili 6, 2022.
“Kumekuwa na hofu kuhusu sekta ya elimu na afya, naomba niwaarifu kuwa Rais na Serikali yake wametambua tatizo la uhaba wa watumishi hasa kwenye miradi ya afya na sekta elimu, ahadi ya Serikali kwa mwaka huu wa fedha ilikuwa tuajiri watumishi 44,000.
“Tayari Serikali imeshapitisha watumishi wapya 12,000, naomba niwathibitishie kuwa Rais ameridhia na wiki ijayo tutatoa tangazo la ajira 32,000 mpya. Utaratibu na mgawanyo wake, maelezo yote nitayatoa wiki ijayo,” – Jenista Muhagama.
Anajua kupuliza vizuri snTena ni mbobezi haswaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wiki ijayo siyo mbaliStori kama story zingine..kwenye hizo ajira kata nusu..hizo nusu ndio ziongelee..
Propaganda ndio wanazozijua.
#MaendeleoHayanaChama
Ni mtu wa kwetu na ni mbunge wangu, matambiko pale ndo kwake.Anajua kupuliza vizuri sn
Pole sn kwa kuwa na mbunge wa hovyo hivi mkuuNi mtu wa kwetu na ni mbunge wangu, matambiko pale ndo kwake.
Yaan had anaboa khaaah.
Nilidhani wataajiri hata laki 2 hivi kumbe elfu 32 pekee?Kwa hiyo kwenye elimu na afya ndo kaona uhaba wa watumishi, siyo? huyu mama hajui kwenye sekta karibu zote za serikali kuna uhaba mkubwa wa watumishi baada ya kufyeka watumishi kwenye lile zoezi lao la kionevu na kuishia kuajiri watu kiduchu tangu kipindi cha jiwe. Huyo naona kaletwa hapo kwa ajili ya kupiga propaganda na kukwamisha maslahi ya watumishi ikiwemo kupanda madaraja na nyongeza za mishahara, hana jipya.........
Elfu 32 ni kiduchu sana kutosheleza uhaba waliousababisha wenyewe, wanatafuta tu political milage na huenda hiyo elf 32 iko mdomoni zaidi.....Nilidhani wataajiri hata laki 2 hivi kumbe elfu 32 pekee?
Yaani ni mambo ya hovyo snElfu 32 ni kiduchu sana kutosheleza uhaba waliousababisha wenyewe, wanatafuta tu political milage na huenda hiyo elf 32 iko mdomoni zaidi.....
Ngoja tusubiri muongozo.Naona safari hii hii wizara ya Utumishi ya Umma(Sijui ndo inaitwa hvyo🤣🤣) pamoja na waziri wake wamejistukia na wameamua kuadirect kabisa Hadi siku/wiki ambayo watangazaji hizi Ajira mpya.
Ila wadau tunataka tujue kuwa zitakuwa za kada tofautitofauti AU ndo kama ilivyozoeleka tu kuwa Serikali hii inaajiri watumisy wa Afya & Elimu tu..?
Tunatarajia nafasi hizi ziwe za wizara zote na taasisi zote za serikali.Naona safari hii hii wizara ya Utumishi ya Umma(Sijui ndo inaitwa hvyo🤣🤣) pamoja na waziri wake wamejistukia na wameamua kuadirect kabisa Hadi siku/wiki ambayo watangazaji hizi Ajira mpya.
Ila wadau tunataka tujue kuwa zitakuwa za kada tofautitofauti AU ndo kama ilivyozoeleka tu kuwa Serikali hii inaajiri watumisy wa Afya & Elimu tu..?
Ngoja tusubiri muongozo.