Wakimaliza hii kazi nzuri wajenge na vyuo vya kilimo vingi.Katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimaliza hii kazi nzuri wajenge na vyuo vya kilimo vingi.Katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.
Ni wazonzuri sana, lakini hao vijana watajifunza technologies gani? Na wakimaliza watakuwa wame gain nini?Katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.
Kwani huwa unajitawaza ndo ujisaidie?..kwa hiyo wasiboreshe viwango vya taaluma waongeze mavyuo tu sio?
Kwani huwa unajitawaza ndo ujisaidie?
Huwezi boresha kiwango bila vyuo, unaviborshea wapi? Unajenga vyuo ndo mengine yanafuata in process. Ajira, vifaa n.k
Sawa. Ila na majengo yawepo pia...kabla hujajisaidia unatakiwa ujihakikishie kwamba kuna mazingira ya kutoka ukiwa msafi.
..lazima choo kiwe na karatasi za kujisafisha, maji safi, pamoja na sabuni.
..hivi unavyotaka twende ni sawa na mtu anayejisaidia kwanza, bila kujali hatua na mazingira niliyoyaeleza hapo.
..Mtu huyo anaweza hata kujisaidia kwenye suruali, na mambo ya kujiswafi ata-deal nayo baada ya hapo.
..Naendelea kusisitiza kwamba Veta zizingatie VIWANGO vya taaluma na mafunzo badala ya idadi ya wanafunzi wanaoandikishwa.
Jitahidi uondokane na hizi akili za kushindwa kabla hata hujaanza...kama masomo marahisi kama hisabati na kiswahili yanatushinda kuyafundisha, je, tutaweza masomo ya ufundi?
Tumechelewa Sana'a!!Kati ya vitu vya maana serikali ya awamu ya sita imefanya ni hili la veta bola tupate ufundi tujiajiri maana kukaa kusubiri michongo sio kabisa nasikia vitakuepo vyuo vya veta kila wilaya hii ni neema kwa sisi wa mikoani
Ni kweli tumechelewa sana. Lakini hata hivyo naomba kuuliza kama program ya mambo vijana watajifunza unaijua?Tumechelewa Sana'a!!
Jitahidi uondokane na hizi akili za kushindwa kabla hata hujaanza.
Nimesikia kwa watu, mimi mwenyewe sijafika huko, kuwa kwenye chuo cha VETA Chang'ombe wamekuwa equipt na CNC Lathe machines na CNC milling machines with CATCAM program, lakini hazitumiki, kwasababu hawana wataalaam wa kuzi operate hizo machines.Ni kweli tumechelewa sana. Lakini hata hivyo naomba kuuliza kama program ya mambo vijana watajifunza unaijua?
Habari hii ni nzuri sana kwa sisi watanzania. Hongera Rais Samia wa JMTKatika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.