Serikali kutumia kigezo cha kupitia JKT ili kupata nafasi za kazi wakati si vijana wote huchaguliwa kujiunga na JKT ni ubaguzi wa wazi

Nimesoma matangazo ya kazi tume ya ajira hivi karibuni,wanataka waombaji wawe wamepitia JKT na wakati huox2 JKT hawana uwezo wa kuchukua wanafunzi wote.Nani wa kulaumiwa hapo,nashauri muondoe hicho kigezo.
 
Wasomi wa law school wajumuike kufungua kesi yakikatiba juu ya huo unoonekana ni ubaguzi .
Wanasheria changamkeni.peleken mahakamani kupata ufafanuzi kisheria
 
Kupitia jkt haikupaswa kuwa kigezo kulingana na mazingira yetu kwa sasa . Itabidi serilikal iliangalie upya swala hili lasivyo wahusika wanaligawa taifa
 
Naaply mwisho inagoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…