Unajua lazima tukae chini tufikiri zaidi.
Hebu waza, huyu mtu ni Rais wa cwt, mwingine ni katibu mkuu...ok forget baadhi ya hoja ambazo naziona kwa baadhi ya wajumbe, mmoja akidai wakaguliwe n.k. sasa mtu ana cheo kama hiki, unampa ukuu wa wilaya, ndio kusema nchi haina watu mbadala wa kuwapa hiyo nafasi mpaka umpe mtu mwenye cheo kingine? Maana yake, huyo aachie hiyo ngazi ufanyike uchaguzi mwingine wa kumpata rais na katibu...
Hili jambo lisiangaliwe kimhemuka bali twende na uhalisia. Kuna sabb gani ya kufanya hivyo kwa watu wa namna hiyo?
Listi wa wasomi imeisha?