Serikali kuwajadili waliokataa Ukuu wa Wilaya

Serikali kuwajadili waliokataa Ukuu wa Wilaya

Unajua lazima tukae chini tufikiri zaidi.
Hebu waza, huyu mtu ni Rais wa cwt, mwingine ni katibu mkuu...ok forget baadhi ya hoja ambazo naziona kwa baadhi ya wajumbe, mmoja akidai wakaguliwe n.k. sasa mtu ana cheo kama hiki, unampa ukuu wa wilaya, ndio kusema nchi haina watu mbadala wa kuwapa hiyo nafasi mpaka umpe mtu mwenye cheo kingine? Maana yake, huyo aachie hiyo ngazi ufanyike uchaguzi mwingine wa kumpata rais na katibu...
Hili jambo lisiangaliwe kimhemuka bali twende na uhalisia. Kuna sabb gani ya kufanya hivyo kwa watu wa namna hiyo?
Listi wa wasomi imeisha?
Na hapo lazma wazunguke nchi nzima kuomba kura.
 
Takukuru, CAG pishaneni hapo si bure kuna jambo zito! Ufujaji wa kutisha!
Wameogopa kuondoka possibly bila kuweka mambo sawasawa!, itakuwa hatari kwao!
 
Kikanuni mtumishi wa umma anaweza kupangiwa majukumu mengine na muajiri wake kama atamudu huku. Sekta ya elimu ina wataalamu wa fani zingine pia, wapo wa pr, sheria, uhasibu na wengine ni mafundi kwenye field zao. Sasa kama muajiri anaona ana rasilimali watu wa kufaa eneo jingine ataachaje kutumia manpower hiyo? Kwanza mikataba ya kazi ipo wazi kuhusu kupangiwa kazi nyingine
 
Takukuru, CAG pishaneni hapo si bure kuna jambo zito! Ufujaji wa kutisha!
Wameogopa kuondoka possibly bila kuweka mambo sawasawa!, itakuwa hatari kwao!
..."pishaneni hapo si bure"... Maana yake wakitoka hawa, wale waingie katika kufuatilia jambo hilo hilo ili kubaini ukweli usioacha shaka!

Staili hiyo ya ufuatiliaji aliiasisi Magufuli.

Tume tatu zenye wajumbe tofauti na kwa wakati tofauti, lakini hadidu za rejea wanapewa zenye kufanana, kisha kazi zao kuziwasilisha kwa mtu mmoja😆😆😆!

Madaraka ni raha sana saazingine jamani!

Nje kidogo na mada: Hivi CWT yaani chama cha walimu kina manufaa gani kwa mwalimu mmoja mmoja?

Sijaona popote chama hicho kupaza sauti za kutetea walimu.

Mfano wa juzi juzi walimu walivyovurugwa huko Kagera baada ya kuadhibu watoto kwa vibiko!

Ama kwingineko kokote waliponyanyaswa walimu, sijawahi kusikia wakitoa hata tamko la kuzugia kuonesha uwepo wao, sasa hapo chama kazi yake ni nini?

Hili "genge" linaloitwa Chama cha walimu Tanzania lina faida gani kwa walimu, hasa wanapopata matatizo pamoja na changamoto mbali mbali za kiutendaji?
 
Mbona kama sio wasomi waajiriwa? Muajiri wao ni serikali ambayo inawalipa mishahara na inaweza kuwapangia majukumu mengine kwa kuwa ni waajiri wake. Kwanza ni utovu wa nidhamu kugomea uteuzi huo
Ndio maana ukaitwa uteuzi, sio lazima.
 
Unajua lazima tukae chini tufikiri zaidi.
Hebu waza, huyu mtu ni Rais wa cwt, mwingine ni katibu mkuu...ok forget baadhi ya hoja ambazo naziona kwa baadhi ya wajumbe, mmoja akidai wakaguliwe n.k. sasa mtu ana cheo kama hiki, unampa ukuu wa wilaya, ndio kusema nchi haina watu mbadala wa kuwapa hiyo nafasi mpaka umpe mtu mwenye cheo kingine? Maana yake, huyo aachie hiyo ngazi ufanyike uchaguzi mwingine wa kumpata rais na katibu...
Hili jambo lisiangaliwe kimhemuka bali twende na uhalisia. Kuna sabb gani ya kufanya hivyo kwa watu wa namna hiyo?
Listi wa wasomi imeisha?
Kwa mantiki hiyo, hao watu ndo alpha na omega hapo cwt? Wamefanya makosa sana, naamini hapo walipo wanasema kama tungelijua. Huo ni utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu! Hata kama ningekuwa mimi nisengevumila
 
ni bora nikaachishwa kazi kuliko kuingia kwenye mifumo ya hovyo ya nchi hii.kama rais analalamika kuhusu pesa za plea bargaining wakati yeye alikuwa makamu wa rais na makamu wake wa sasa alikuwa waziri wa fedha sasa hayo si maajabu ya dunia?kama watashughurikiwa itakuwa ni uonevu wa hali juu na tutakuwa tunarudi kwenye mambo ya hovyo ya awamu ya tano.
Unawadanganya wenzako! Ukatae uteuzi wa mamlaka za Nchi? Kama ni mimi wangenikoma hawa wahuni
 
Wanachotaka wawape kofia afu wakawavue kituo Cha mbele afu kituo Cha nyuma waweke mamluki
 
Mmoja tayari ameshaanza kazi Kule Uvinza .
Yawezekana walikuwa na udhuru siku ya uapisho.Bilashaka na wengine nao watakuwa wameripoti.
 
Back
Top Bottom