Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
For this case, why only viongozi wa CWT leaders denied an appointment? Hupati maswali ya kujiuliza? Hujiulizi kuna nini CWT?Siyo kila mtu anaweza kuwa DC
Kuna mahali nilisoma moja ya indications za fraud ni mtu kugomea kuhama ofc, teuzi, Likizo etc.... kuna namna ambayo mtu huyo anataka kuficha uchafu anaoufanya kupitia ofc ile!
That could be the case..... Serikali iwe upande wa Waalimu ifanyike special Auditing ya mfuko wa CWT....tutapata majibu ya kiburi cha hawa viongozi!!!