Kwani ukistaafu hutakiwi kuishi sehemu tofauti na uliyozaliwaKama mimi ni mzaliwa wa Babati na kituo changu cha kazi ni Mtwara. Kiwanja nikipatiwa Mtwara itakuaje niki staafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukistaafu hutakiwi kuishi sehemu tofauti na uliyozaliwaKama mimi ni mzaliwa wa Babati na kituo changu cha kazi ni Mtwara. Kiwanja nikipatiwa Mtwara itakuaje niki staafu?
Cheque no zinawapumbaza sn wanakuwa wajingaHii nchi inashangaza sana yani limtu kama Muroto na majigambo yote yale linakua hata halina kibanda baada ya kustaafu loh, na kwa jinsi yalivyo na roho mbaya yanatakiwa yakistaafu yasipate hata wa kuyatembelea wale jeuri yao ,wanapokua kazini wanasahau kama na wao ni binadamu na watafika kipindi watarudi kwenye jamii
Wengi wanapenda kurudi nyumbani kuendeleza urithi wa ukoo.Kwani ukistaafu hutakiwi kuishi sehemu tofauti na uliyozaliwa
Wanawafanyia hivo ili wawe loyal( watiifu) kwa serikali na sio kwa raia. Ni kama wana wa bribePolisi ni Watumishi wa UMMA kama Walivyo Watumisho Wengine kama Utaratibu ni kuwafanyia Wasiteseke Wakati wa Kustaafu hata hao Watumishi wengine nao Wapatuwe Viwanja kwani nao Watastaafu kwanini Kuwe na Upendeleo?
Kwa sababu wameshika silahaUsenge kabisa,,polisi,gani wanafanya kazi nzuri na kazi gani,,taasisi,imejaa rushwa tu .
Watu na pesa ya posho, wana mshahara leo tena wanawazia viwanja, kwa hiyo hii nchi polisi tu ndiyo wanashida.
Usenge kabis HUU
Watu walioshika silaha mshahara wao haujawahi kushukaMajizi yanapendelewa. Polisi ndio wanaongoza kwa rushwa, kisha mahakama.
Ikumbukwe wana mshahara, posho, kazi maalumu na haramu kama rushwa na kubambikia watu kesi.
Bado yanapendelewa!
Huuu ni upendeleo. Iende Na kwa watumishi wengine wapatiwe pia
Kama walimu na madaktari. Haki kwa wote
TeteteteKwann Babati lakini
HatariiiTetetete
PoaHatariii
Utambulisho wa kazi yako utakusaidia kuombea kiwanja sehemu ulikozaliwa au unayohitajiKama mimi ni mzaliwa wa Babati na kituo changu cha kazi ni Mtwara. Kiwanja nikipatiwa Mtwara itakuaje niki staafu?